Kwanini Serikali isiige mfumo wa elimu kama IST?

Kwanini Serikali isiige mfumo wa elimu kama IST?

Walimu wengi wa IST ni wakenya, wako na mishahara 'minono'

and btw, uko tayari kulipa 50m ya ada ?
Mkuu acha kupotosha uma..io walimu wengi wa IST ni wakenya umeipata wapi?au umekariri? Kuna aina mbili za walimu mosi TO ambao wote ni wa Tanzania na T ambao mostly ni wazungu na watanzania,km kuna wakenya hazidi mmoja, elimu yao hairuhusu kufundisha pale(mind you pale kigezo sio kujua kuongea kiingereza tu ili upate nafasi).

Turudi kwenye mada kua na shule km IST ni jambo jema na linawezekana tatzo linakuja kwenye gharama za uendeshaji...kuwalipa walimu kutoka nje na kuhudumia miundo mbinu ya elimu...serikali ipi itakua teyari ku allocate budget ya mwezi ya shule zote tz kwa shule moja?itakua ujuha kufanya hio kitu

Pia watz tuna lalamika sana, watanzania tushazoea maisha ya kijamaa(flat life) ukiona mwenzio yupo juu lazima watafte namna..juzi nliona thread ya watu wakilalamika kuhusu mashirika ya serikali yanavyolipa zaidi kuliko halmashauri( hili lazima tulitegemee kwa walimu ikianzishwa shule km IST). Kuna program pale ya one to one(kila mwanafunzi na laptop or ipad yake), bungeni wapo 300+ watu walizungumza sana kuhusu ipads, ss ukanunulie wanafunzi 1000+ kelele zake unadhani zitakuaje?

Tunachoweza kufanya tuanzishe mitaala ya IB tufundishe locals kwa content za wenzetu then tuanzishe IST zetu bt nayo naona ngumu maana sisi hatulipi walimu vzuri (tuwalipe vzuri) otherwise wakisha graduate lazima wasepe nje maana soko lao huko sio la kitoto.

So wale wanaodhani swala la kutokua na shule km hio ni swala la kisiasa wafute hayo mawazo hayo mgando...swala ni pesaaa na aina ya walimu tulionao Tanzania.
 
Tatizo sio mfumo kaka tatizo ni inaquate of fund. Ili ufanye mapinduzi ya elimu Bora hata kwenye ngazi ya familia Tunaweza unahitaji fund, chukua tu huo mfano mdogo ukianzia ngazi ya familia.

Tunaweza hata tukaamua kuzibadiri shule zetu zote za kataa zikawa kama Tech or VETA, shida inapokuja we don't have enough fund to invest on that kind of education. Shule za Tech na VETA zinahitaji ununue machine ufungue ma work shop, ni hela hizo mkuu. Hata ww mwenyewe tu jiulize kwanini umeshindwa kumpeleka mwanao huko IST.

Ni kwasababu huna fedha ya kutosha. So sisi viongozi sio kwamba hatupendi nchi yetu itoe elimu bora tunapenda sana tu, ila tatizo ni fund.
 
Tatizo sio mfumo kaka tatizo ni inaquate of fund. Tunaweza hata tukaamua kuzibadiri shule zetu zote za kataa zikawa kama Tech or VETA, shida inapokuja we don't have enough fund to invest on that kind of education. Shule za Tech na VETA zinahitaji ununue machine ufungue ma work shop, ni hela hizo mkuu. Hata ww mwenyewe tu jiulize kwanini umeshindwa kumpeleka mwanao huko IST. Ni kwasababu huna fedha ya kutosha. So sisi viongozi sio kwamba hatupendi nchi yetu itoe elimu bora tunapenda sana tu, ila tatizo ni fund.
Lakini mkuu inashindikana kweli endapo tukilivalia njuga hili na kulipa malengo ya muda fulani kwa nia ya dhati?

Kwasababu elimu tuliyopitia mpaka huwa nasikitika kabisa.
 
Ni vizuri lakini pesa pia inachangia, walimu na wafanyakazi wanalipwa vizuri sana, hivyo wanafanya kazi bila mawazo, watoto mazingira wanayosomea wana kila kitu, serikali kama shule zake madarasa hayatoshi watoto hawana madawati, walimu wengine wanafundisha tu kwakuwa wapate pesa unadhani itawezekana mkuu?
 
Ukiwafungua sana akili watakuwa wagumu kutawalika
Alumni wa shule km IST hua ht hawana mawazo ya kisiasa...wapo bze ku change the world na kufanya mabiashara yao..amalize pale aende MIT, Stanford, Yale , oxford and the likes...Amalize huko akafanye kazi Nasa, amazon, microsoft or amazon...hayo mambo ya kukimbizana na ccm wanayatoa wapi?Muangalie Manji or Mo...wapo bze na biashara zao..sisi st kayumba tusio kua na option ndo hua wasumbufu(tunaona siasa ndo sehemu ya kutoboa maana wanasiasa ndo wanajilipa vzuri)...any person with alot of oppotunities to utilize siasa ni jambo la mwisho kwake maana anaona litaishia kumuharibia tu mambo yake.
 
Alumni wa shule km IST hua ht hawana mawazo ya kisiasa...wapo bze ku change the world na kufanya mabiashara yao..amalize pale aende MIT, Stanford, Yale , oxford and the likes...Amalize huko akafanye kazi Nasa, amazon, microsoft or amazon...hayo mambo ya kukimbizana na ccm wanayatoa wapi?Muangalie Manji or Mo...wapo bze na biashara zao..sisi st kayumba tusio kua na option ndo hua wasumbufu(tunaona siasa ndo sehemu ya kutoboa maana wanasiasa ndo wanajilipa vzuri)...any person with alot of oppotunities to utilize siasa ni jambo la mwisho kwake maana anaona litaishia kumuharibia tu mambo yake.
Kutawalika siyo kuingia siasani, kutawalika ni pamoja na kukimbizana na hao wafanyabiashara unaozungumza, wakiwa vizuri upstairs utapata shida kuwadhibiti kwenye ukwepaji wa kodi nk
 
Hii shule ni Moja kati ya shule bora katika kuaanda watoto level ya primary.

A full Graduate wa shule hii humlinganishi na katoto ka shule yeyote ile hapa Tanzania katika communication skills.

Nimefikiria na kujiuliza hivi kwanini serikali isijaribu walau kuiga mfumo wa shule walau katika shule chache ndani ya Tanzania katika kanda tofauti.

Maana walimu wa shule hizi wapo pia Watanzania wenzetu na tena wamesoma katika vyuo hivi hivi vyetu na hata hao volunteers watakuja kwa wingi watasaidia pia katika hizo shule chache zitakazo chaguliaa.

Mwalimu aliye feli ndiye hana kufundishia mtoto wako.unazani IST wanaokota walimu
 
Back
Top Bottom