Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Sasa wewe unaelipwa na lumumba hela za watanzania za wizi
 
ukitakiwa utapatikana tu, si unajifanyaga usalama wewe. unadanganya wajinga wenzio sasa utashughulikuwa ukiendelea..... yule demu wa umu wa kinodnoni ndio kakuuza hahaahhaahah
 
Huna akili.
Pumbavu
 

Sawa nimesikia maoni yako.
Nakuja kumkamata
 
Huu upumbavu wapelekee wapumbavu wenzio. Fedha ya Umma mnaifanya fedha ya CCM? Tangu lini CCM imetoa hela kusomesha watoto wa Sarungi? Imewanyima nafasi watoto wa Nyerere itakuwa wa Sarungi?
 
Huu upumbavu wapelekee wapumbavu wenzio. Fedha ya Umma mnaifanya fedha ya CCM? Tangu lini CCM imetoa hela kusomesha watoto wa Sarungi? Imewanyima nafasi watoto wa Nyerere itakuwa wa Sarungi?
mzee sarungi mpigaji tunamjua, pesa yetu ya meremeta ataitapika
 
Ndomaana CCM inaonekana kuwa na watu wajinga. Sasa kwakosa gani? Kuhoji alipo Rais?
Kwahi hata wewe hutamani kumuona Rais?
Shithole kabisa nyie viumbe
Yaan hii nchi bana,
Hivi mtu kuulizia aliko Rais wake ni kosa??
 
Wote ni mashahidi wewe na nani?
Yaan hiyo wote umetujumuisha na sisi unajuaje kwamba sie ni mashahidi wako?
Tulikuwepo wote na wewe mpaka sie tuwe mashahidi wako kuhusu huyu dada?
Na ni wapi huko tulikokuwepo tukamshuhudia huyu dada mpaka useme wote ni mashahidi??

Nyie ndio mnaoiharibu Sinza ya siku hizi ionekane haina tena Wajanja.
 
PM kajibu lini?
Na Maria Sarungi akaandika lini?
Na Kaandika nini?
haya maswali ni ya kitoto sana majibu yake yote ingia page ya maria sarungi kibaraka wa wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…