Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Wana hasira za kukosa ulaji 😊😊😊
 
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Anaretweet

Wakati imekatazwa.!
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
CCM inasomesha watu!?
 
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Hivi kweli kama una akili kichwani unweza ukalazimisha kuelezwa mahali aliko rais,kwani alikwenda kumtafuta pale chamwino akakuta pamefungwa
 
Tunaingia kwenye machafuko kwa sababu Rais anaumwa? Kwani kuna nini cha ajabu? Utakuwa na matatizo kichwani wewe,si bure!
wewe ulimuona rais anaumwa? hivi nyinyi kwsho mkikuta jf imefungiwa mtalalamika na mnayazua wenyewe mabalaa
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.

IMG_5411.jpg

Kosa la Maria ni lipi kwa mfano??
Hawa waliozusha kuwa Baba yake kafariki mbona mnaona ni sawa tu, kunakuwa na double standard??
 
Wana hasira za kukosa ulaji 😊😊😊
Imeshapitwa na wakati hiyo!! Halafu sijui kwanini mnadhani kila anayem-criticise Magu ni kwa sababu eti mara walikuwa mafisadi mara eti wamekosa ulaji! The problem mnadhani kila mtu kazaliwa akiwa na silika ya kujikomba ili apate cheo au apate favor!! Ni fikra za kishamba kabisa kwa sababu duniani kote kuna critics wa serikali! Hata Mitume walikuwa na critics dhidi yao enzi za utume wao na hadi kesho! WHO'S MAGUFULI hadi ionekane kila anayempinga eti amekosa ulaji kwa namna moja au nyingine?!
 
waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Taifa linamuhitaji RAIS awe salama ,na hasa amalize miradi aliyeanzisha ambayo itainua uchumi.kwani Kila ajayo ana vipaumbele vyake.
Waziri mkuu amesema Yuko?
Na wamechelewa kujibu watu wengi wangependaa kumuona ili kuamini RAIS wao yupo salama salimi.kama hili nalo ni kosa Basi Kama taifa Kuna tatizo kubwa.
Kila la kheri mh dk JPM.
 
Imeshapitwa na wakati hiyo!! Halafu sijui kwanini mnadhani kila anayem-criticise Magu ni kwa sababu eti mara walikuwa mafisadi mara eti wamekosa ulaji! The problem mnadhani kila mtu kazaliwa akiwa na silika ya kujikomba ili apate cheo au apate favor!! Ni fikra za kishamba kabisa kwa sababu duniani kote kuna critics wa serikali! Hata Mitume walikuwa na critics dhidi yao enzi za utume wao na hadi kesho! WHO'S MAGUFULI hadi ionekane kila anayempinga eti amekosa ulaji kwa namna moja au nyingine?!
Wewe huyo Maria angepewa nafasi serikalini unadhani angekuwa anakesha Twitter kuchafua nchi? amekosa ulaji angepewa akatae tungejadiliana hahahahaha
 
Back
Top Bottom