sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #21
Wana hasira za kukosa ulaji πππMaria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
AnaretweetMaria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Anakosoa serikaliWeka kosa moja la Maria Sarungi
Fatuma tuna msamehe anajulikana dishi limecheza aka manjegekaKafanyaje tena, ni yule shoga ake fatuma
Hawa Lumumba wamejazwa uji kwenye fuvu la kichwa. Hawana ubongo wa kufikiri.Weka kosa moja la Maria Sarungi
CCM inasomesha watu!?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Hivi kweli kama una akili kichwani unweza ukalazimisha kuelezwa mahali aliko rais,kwani alikwenda kumtafuta pale chamwino akakuta pamefungwaMaria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Tunaingia kwenye machafuko kwa sababu Rais anaumwa? Kwani kuna nini cha ajabu? Utakuwa na matatizo kichwani wewe,si bure!waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Kuandika au kusambaza ujumbe wa kuhatarisha usalama wa rais na nchi kwa ujumlaWeka kosa moja la Maria Sarungi
ndio akili yako imeishia hapoHivi kweli kama una akili kichwani unweza ukalazimisha kuelezwa mahali aliko rais,kwani alikwenda kumtafuta pale chamwino akakuta pamefungwa
wewe ulimuona rais anaumwa? hivi nyinyi kwsho mkikuta jf imefungiwa mtalalamika na mnayazua wenyewe mabalaaTunaingia kwenye machafuko kwa sababu Rais anaumwa? Kwani kuna nini cha ajabu? Utakuwa na matatizo kichwani wewe,si bure!
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Imeshapitwa na wakati hiyo!! Halafu sijui kwanini mnadhani kila anayem-criticise Magu ni kwa sababu eti mara walikuwa mafisadi mara eti wamekosa ulaji! The problem mnadhani kila mtu kazaliwa akiwa na silika ya kujikomba ili apate cheo au apate favor!! Ni fikra za kishamba kabisa kwa sababu duniani kote kuna critics wa serikali! Hata Mitume walikuwa na critics dhidi yao enzi za utume wao na hadi kesho! WHO'S MAGUFULI hadi ionekane kila anayempinga eti amekosa ulaji kwa namna moja au nyingine?!Wana hasira za kukosa ulaji πππ
Taifa linamuhitaji RAIS awe salama ,na hasa amalize miradi aliyeanzisha ambayo itainua uchumi.kwani Kila ajayo ana vipaumbele vyake.waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Sasa ni kipi alichozushiwa Rais?wewe ulimuona rais anaumwa? hivi nyinyi kwsho mkikuta jf imefungiwa mtalalamika na mnayazua wenyewe mabalaa
Wewe huyo Maria angepewa nafasi serikalini unadhani angekuwa anakesha Twitter kuchafua nchi? amekosa ulaji angepewa akatae tungejadiliana hahahahahaImeshapitwa na wakati hiyo!! Halafu sijui kwanini mnadhani kila anayem-criticise Magu ni kwa sababu eti mara walikuwa mafisadi mara eti wamekosa ulaji! The problem mnadhani kila mtu kazaliwa akiwa na silika ya kujikomba ili apate cheo au apate favor!! Ni fikra za kishamba kabisa kwa sababu duniani kote kuna critics wa serikali! Hata Mitume walikuwa na critics dhidi yao enzi za utume wao na hadi kesho! WHO'S MAGUFULI hadi ionekane kila anayempinga eti amekosa ulaji kwa namna moja au nyingine?!