Kwanini serikali isiwachukue hawa vichaa wanaozagaa mitaani na kuwaweka kwenye makempu kwa ajili ya kuwahudumia na kuwatibia

Kwanini serikali isiwachukue hawa vichaa wanaozagaa mitaani na kuwaweka kwenye makempu kwa ajili ya kuwahudumia na kuwatibia

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Ndugu wa hao vichaa ni walipa kodi na wao pia kabla ya kuwa vichaa walikuwa walipa kodi hivyo serikali inapaswa kuchukua jukumu hili la kuwahudumia katika mazingira wezeshi

Baadhi ya ndugu wanahangaika na kuwapeleka walemavu wao hospital lakini wengine wanashindwa kulingana na ugumu wa maisha ni vyema serikali ikaliona hili hawa pia ni watanzania.

Nawasilisha.
 
Mkuu, huko serikalini watu wanawaza per diems, posho na kujaza Matumbo yao tu. Suala la social stability au kumuwazia mema mtu wa hali ya chini hakuna kabisa mkuu wangu.

People are fighting for their stomachs my dear brother..
 
Ikiwachukua sisi tutachekaje mtaani na maisha hiv yalivyo magumu.
 
hii ndio tanzagiza, wao ndiyo wataambiwa wachange kumchukulia fomu, btw “profesa” janabi yuko busy na magonjwa yanayoathiri <1% of the population, anasifiwa na kuwa promoted …
 
kIukwel serikal ingefanya kitu,kuna mmoja huwa namuona mtaan kila mara siku moja nikamuona kwenye mtaro usiku kalala nilisikitika sana
Ww kama wewe ulichukua hatua gani baada ya kumuona mtaroni?
 
Mtusamehe ndugu zetu Hawa akina Lisu wanatuchanganya sana, hao wengine ni CCM wenzetu pia ila nguvu tuna zielekeza kuitokomeza CDM kwanza. Tutawaludia ndugu wananchi baada ya muda mtuamini ndugu wananchi.
Ni shida sana mtanzania anathaminiwa akiwa mzima tu
 
Mkuu, huko serikalini watu wanawaza per diems, posho na kujaza Matumbo yao tu. Suala la social stability au kumuwazia mema mtu wa hali ya chini hakuna kabisa mkuu wangu.

People are fighting for their stomachs my dear brother..
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom