Kwanini serikali isiwachukue hawa vichaa wanaozagaa mitaani na kuwaweka kwenye makempu kwa ajili ya kuwahudumia na kuwatibia

Kwanini serikali isiwachukue hawa vichaa wanaozagaa mitaani na kuwaweka kwenye makempu kwa ajili ya kuwahudumia na kuwatibia

Ndo maana when you live in this oldest country you need to be Care kutunza Sana Afya ya akili na mwili

Watu hawana habari na mtu

Kuna vichaa ambao walikuza Sana uchumi Ila walipopata mental illness wametupwa huko hakuna anayewajali.
 
Uchumi mkubwa,kifupi Mambo mengi wanatuzidi
Ni kweli lakini kundi hili ni dogo sana linaweza lisifike hata robo ya wanafunzi ambao wanapewa elimu bure

Haiwezi kuzidi hata nusu ya bajet ya kununua magari ya watumishi kila mwaka
 
Ndo maana when you live in this oldest country you need to be Care kutunza Sana Afya ya akili na mwili

Watu hawana habari na mtu

Kuna vichaa ambao walikuza Sana uchumi Ila walipopata mental illness wametupwa huko hakuna anayewajali.
Kweli kabisa ukiwa kichaa nchi hii andika umeumia heri upate ukimwi kuliko ugonjwa wa akili
 
Mkuu, huko serikalini watu wanawaza per diems, posho na kujaza Matumbo yao tu. Suala la social stability au kumuwazia mema mtu wa hali ya chini hakuna kabisa mkuu wangu.

People are fighting for their stomachs my dear brother..
Futa hii sentensi ya lugha ya kigeni.....
 
Serikali ya Tanzania inaiona Tanzania kama mbuga kubwa ya wanyama wao na familia zao ndio binadamu...... hivyo kiongozi akikuona unavuka bara bara anakuwa kama kaona ngedere mikumi.....
 
Kuna watu ukiwaona inatia huruma sana ningekuwa sio suala la fedheha ningewatuma humu wanavyoteseka

Hawajulikani ndugu zao nani wala wanatoka wapi wapo tu mtaani miaka nenda miaka rudi wakidhalilika hivi waziri mwenye zamana hawaoni hawa walemavu wanavyotaabika?
 
Ndugu wa hao vichaa ni walipa kodi na wao pia kabla ya kuwa vichaa walikuwa walipa kodi hivyo serikali inapaswa kuchukua jukumu hili la kuwahudumia katika mazingira wezeshi

Baadhi ya ndugu wanahangaika na kuwapeleka walemavu wao hospital lakini wengine wanashindwa kulingana na ugumu wa maisha ni vyema serikali ikaliona hili hawa pia ni watanzania.

Nawasilisha.
halina faida kwao
 
Walemavu nchi hii ni albino, vipofu na viwete lakini wa ugonjwa wa akili hawathaminiwi wala kufikiliwa kabisa naomba waziri ndarichako kama sijakosea wafikilieni na hawa watu wanateseka sana bila misaada
 
Back
Top Bottom