Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kundi ni dogo sana nahisi ni dogo kuliko hata la watoto yatimaLinaweza kuwa wazo zuri ila si kazi rahisi kama unavyofikiria. Vipo vituio vinavyolea watu wenye matatizo ya akili nchini ila sio vingi kukidhi mahitaji. Kuna ghalama kubwa kuwatunza watu wasiozalisha ila wanaingiza hasara.
Miaka ya nyuma kulikuwa na wodi ya vichaa katika kila hospitali ya wilaya na mkoa, siku hizi hatuoni vichaa mahospitalini
Who owns that hospital??..Mkuu
Mkuu labda sijakuelewa ila sijamaanisha kuwatenga, nimemaanisha kuwaweka katika uangalizi wa huduma ya chakula na matibabu kama wafanyavyo wale wa lutindi hospital wilayani lushoto hii kitu inawezekana
Inawezekana huyo unayemjibu hivyo ni mmoja wao..Tusifanye siasa kwenye afya ya mwanadamu asiyeweza kujipambania vichaa hawana zaidi ya pumzi tu ya Mungu ila katika dunia hawana chao kingine tuwahurumie hapa naongea na serikali kuweni na huruma please
Kichaa mwingine huyu hapa..Ikifanya hivyo,TAL hataweza kugombea nafasi aliyoomba.
Mkuu tuko wengi tutasombwa mitaani
Lutindi ni hospital ya kanisa ni kama bweni la machizi ukienda wana madarasa ya kila level ya kichaaWho owns that hospital??..
Kichaa anachekesha akiwa sio ndugu yakoIkiwachukua sisi tutachekaje mtaani na maisha hiv yalivyo magumu.
Magonjwa anayoongelea Janabi yanathiri <1% of the population.hii ndio tanzagiza, wao ndiyo wataambiwa wachange kumchukulia fomu, btw “profesa” janabi yuko busy na magonjwa yanayoathiri <1% of the population, anasifiwa na kuwa promoted.
Pale morogoro hospital ya mkoa, nadhani ipo ward ya vichaaMiaka ya nyuma kulikuwa na wodi ya vichaa katika kila hospitali ya wilaya na mkoa, siku hizi hatuoni vichaa mahospitalini
Na mimi nalisubiria kwa hamu!Dkt. Gwajima D anaweza kutupa jibu ya hili swali.
Ni kweli mama etu aje atupe matumaini kwa hawa watu hakika wanateseka wengi wao wametelekezwa na ndugu zao wanaishi kama wafu angali wako haiDkt. Gwajima D anaweza kutupa jibu ya hili swali.