Umenikumbusha kesi ya manyaunyau alimpigaga mama mmoja helaSuala la utapeli kwenye mambo ya imani ni mgumu sana kuufanyia kazi kisheria. Nawaza tu. Hata wale kekundu na keusi wanachezaga hadharani watu wanapigwa na hawaendi shitaki na sometimes police wanajua kabisa..yani hapo usiyepitiwa na utapeli huo unabaki kujifunza..
Kwa kosa gani?Ni suala la kawaida Kwa mataifa mengi , na huo ndio Ushirikiano , Raia wa Nchi A anafanya kosa, anakimbilia Nchi B, basi negotiations zinafanyika, Huko huko Nchi B anakamatwa na kurudishwa Nchi A.
Huyu Tapeli Licha ya kuumiza watanzania ,.huko Mitandaoni anaonekana kujitapatapa sana , jambo linalothibutisha makusudi, kiburi ,jeuri zake.
Kama Mnashindwa, kwanini Majasusi wasiingie CONGO na kuhakikisha wanamuua Mara Moja au kumrejesha Nchini ( Huu Ujinga kwann wanaufanyia Tanzania?? Hivi kweli Paul Kagame umletee Ushenzi wa namna hii Kwa Watusi wake, alafu akuache??
Kama nahili Mnashindwa, inamaana Tanzania ni shamba la bibi yaan hamna cha jasusi Wala nn π€£ ni kuwindana wenyewe Kwa wenyewe , na kama ni Ivo basi Hongera Paul Kagame!!.
Mkishindwa kabisaa kabisaaa kabisaa, yaan kweli kuanzia Wizara mpaka Ujasusinieshindwa, Basi hakikisheni Mnapitia Upya Sheria za kusajili haya makanisa uchwara ya kishenzi ambayo Moja baada ya jingine kazi kubwa ni kuwaumiza watanzania !!
Serikali kazi kubwa ni kulinda na kuhakikisha Usalama wa Raia,, Nchi ipo ipo tuuu , Mara Vanila ,Mara Kuku, Mara vile, sahizi manabii feki, yaan Serikali haijifunzi tu??.ipoipo !!.
Inaweza kua ni Uthibitisho tosha kua RUSHWA Kwa Top officials ni kubwa sana kiasi kwamba Mfumo umekua Corrupted , ikimaanisha kua ,haya matapeli Kwa Kila aina zao, kwanza uhakikisha yanatoka Rushwaaa, ndipo yanapewa kibali.!!.
Ikishindikama basi tumuombe Kagame atusaidie !!.
Hivi hapo Mwamposa amekujaje? unaonekana unachuki binafsi na Mwamposa,endelea kuumia,sadaka tunazozitoa hukutusaidia kuzitafuta.Kama we unatapeliwa huku unasema "Ameen" sasa serekali iingilie kati ya nini? Endelea kuwatajirisha kina mwamposa tu
Mwamposa ni tapeli na wajinga mtaliwa sana maana nyumbu ni chakula ya mambaHivi hapo Mwamposa amekujaje? unaonekana unachuki binafsi na Mwamposa,endelea kuumia,sadaka tunazozitoa hukutusaidia kuzitafuta.
Wewe mwerevu bakia hukohuko usiliwe tuache sisi wajinga manyumbu tuendelee kuliwa,ni hiari yetu hatujalazimishwa na mtu.Mwamposa ni tapeli na wajinga mtaliwa sana maana nyumbu ni chakula ya mamba
Chakula ya mamba weweWewe mwerevu bakia hukohuko usiliwe tuache sisi wajinga manyumbu tuendelee kuliwa,ni hiari yetu hatujalazimishwa na mtu.
Mkuu na wewe ulikuwa mteja wake nini?Hiyo ni kazi ya Interpol kabisa.Huyu mtu ni muhalifu halafu hana akili wala kifua.Kama kuna wakubwa alikua anakula nao wakae chonjo.Akishikiwa pliers au moto uelekezwa kwenye korodani atatamka yoootee!
Ahahahaha ila mrangi we kiboko aiseeUnakutana mtu eti kawa nabii sjui mtume,wakati we unamjuwa mwanzo mwisho
Nlikutanaga na mmoja moro wakati fulani nkasema huyu si fulani π ehh anaitwa mtume nabii π alipooniona akasema babu mezea haya maisha tu
π
Ova
Nasikia moro kakimbia kahamia mkoa mwingine πAhahahaha ila mrangi we kiboko aisee
Ningekuwa na baba kama wewe ningemtia kiberitiSoga kapige na mama yako mzazi mbwa wewe.Kazi ushoga tu kuuza kijambio.Unaweza ukamwambia baba yako mpige soga?Gunioo guhutufu kabisa wewe.
Tatizo serikali ikisema iwatie adabu nyie wakristo mtakuja na waraka za kila namnaIla serikali yetu inawalea sana hawa matapeli wanaotumia dini
Ova
Mimi simo humo πTatizo serikali ikisema iwatie adabu nyie wakristo mtakuja na waraka za kila namna