DOKEZO Kwanini Serikali kupitia Wizara ya Nje, wasishirikiane na Wizara ya Nje ya Congo, kumkamata Tapeli alojiita Nabii kiboko ya wachawi?

DOKEZO Kwanini Serikali kupitia Wizara ya Nje, wasishirikiane na Wizara ya Nje ya Congo, kumkamata Tapeli alojiita Nabii kiboko ya wachawi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Suala la utapeli kwenye mambo ya imani ni mgumu sana kuufanyia kazi kisheria. Nawaza tu. Hata wale kekundu na keusi wanachezaga hadharani watu wanapigwa na hawaendi shitaki na sometimes police wanajua kabisa..yani hapo usiyepitiwa na utapeli huo unabaki kujifunza..
Umenikumbusha kesi ya manyaunyau alimpigaga mama mmoja hela

Ova
 
Alafu huyu jamaa alikuwq mgombanishi, 😄
Anakuambia fulani ndugu yako ndiyo mchawi anakuaribia watu wanajaa

Ova
 
Watanzania wenzangu hatujifunzagi tu kila siku tunapigwa tukio watu kama mabwiga
 
Ni suala la kawaida Kwa mataifa mengi , na huo ndio Ushirikiano , Raia wa Nchi A anafanya kosa, anakimbilia Nchi B, basi negotiations zinafanyika, Huko huko Nchi B anakamatwa na kurudishwa Nchi A.

Huyu Tapeli Licha ya kuumiza watanzania ,.huko Mitandaoni anaonekana kujitapatapa sana , jambo linalothibutisha makusudi, kiburi ,jeuri zake.

Kama Mnashindwa, kwanini Majasusi wasiingie CONGO na kuhakikisha wanamuua Mara Moja au kumrejesha Nchini ( Huu Ujinga kwann wanaufanyia Tanzania?? Hivi kweli Paul Kagame umletee Ushenzi wa namna hii Kwa Watusi wake, alafu akuache??

Kama nahili Mnashindwa, inamaana Tanzania ni shamba la bibi yaan hamna cha jasusi Wala nn 🤣 ni kuwindana wenyewe Kwa wenyewe , na kama ni Ivo basi Hongera Paul Kagame!!.

Mkishindwa kabisaa kabisaaa kabisaa, yaan kweli kuanzia Wizara mpaka Ujasusinieshindwa, Basi hakikisheni Mnapitia Upya Sheria za kusajili haya makanisa uchwara ya kishenzi ambayo Moja baada ya jingine kazi kubwa ni kuwaumiza watanzania !!

Serikali kazi kubwa ni kulinda na kuhakikisha Usalama wa Raia,, Nchi ipo ipo tuuu , Mara Vanila ,Mara Kuku, Mara vile, sahizi manabii feki, yaan Serikali haijifunzi tu??.ipoipo !!.

Inaweza kua ni Uthibitisho tosha kua RUSHWA Kwa Top officials ni kubwa sana kiasi kwamba Mfumo umekua Corrupted , ikimaanisha kua ,haya matapeli Kwa Kila aina zao, kwanza uhakikisha yanatoka Rushwaaa, ndipo yanapewa kibali.!!.

Ikishindikama basi tumuombe Kagame atusaidie !!.
Kwa kosa gani?
 
Kama we unatapeliwa huku unasema "Ameen" sasa serekali iingilie kati ya nini? Endelea kuwatajirisha kina mwamposa tu
Hivi hapo Mwamposa amekujaje? unaonekana unachuki binafsi na Mwamposa,endelea kuumia,sadaka tunazozitoa hukutusaidia kuzitafuta.
 
Ntashangaa sana wakifanya hivyo. Wanatakiwa kukamata wafuasi na kuwachapa viboko wenda qkili zikastuka. Anachokifanya kiboko wa wachawi yeye amekuwa muwazi kwa kile qmbacho wenzake wote hapa bongo wanafanya kwa siri au kistaarabu.

Labda ndio walimfitini walipoona upepo wake haupoi.
 
Hivi hapo Mwamposa amekujaje? unaonekana unachuki binafsi na Mwamposa,endelea kuumia,sadaka tunazozitoa hukutusaidia kuzitafuta.
Mwamposa ni tapeli na wajinga mtaliwa sana maana nyumbu ni chakula ya mamba
 
Mwamposa ni tapeli na wajinga mtaliwa sana maana nyumbu ni chakula ya mamba
Wewe mwerevu bakia hukohuko usiliwe tuache sisi wajinga manyumbu tuendelee kuliwa,ni hiari yetu hatujalazimishwa na mtu.
 
Hiyo ni kazi ya Interpol kabisa.Huyu mtu ni muhalifu halafu hana akili wala kifua.Kama kuna wakubwa alikua anakula nao wakae chonjo.Akishikiwa pliers au moto uelekezwa kwenye korodani atatamka yoootee!
Mkuu na wewe ulikuwa mteja wake nini?
 
Unakutana mtu eti kawa nabii sjui mtume,wakati we unamjuwa mwanzo mwisho
Nlikutanaga na mmoja moro wakati fulani nkasema huyu si fulani 😄 ehh anaitwa mtume nabii 😄 alipooniona akasema babu mezea haya maisha tu
😄

Ova
Ahahahaha ila mrangi we kiboko aisee
 
Kuna Ka mama kako mitandaoni eti kanamtetea hatari, jamani, kakamateni hako Ka mama kwanza, nahisi NI kamojawapo Ka wanufaika wa hela za kiboko ya wajinga.
 
Ila serikali yetu inawalea sana hawa matapeli wanaotumia dini

Ova
 
Back
Top Bottom