KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kitu sikielewi NI tume ya uchaguzi hii hii vyama vya UPINZANI vinasemaga haifai na hawaamini,napia husemaga mpk mwenyekiti wao achaguliwe sijui kwa maombi na intavyuu,lkn tume hii hii ambayo hawaitaki ndo sasa inekuwa sukari kwenye uchaguzi serikali za mitaa,sasa sielewi kipi NI kipikipara kipya, Lucas Mwashambwa, the big boss, CHAWA, ChawaWaMama na wengine.
Naomba majibu.
Kwanini hamjiamini? Je ni kweli bila figisu CCM haishindi?
Haaa umenikumbusha hadithi ya kwenda maporini bila kutumwakipara kipya, Lucas Mwashambwa, the big boss, CHAWA, ChawaWaMama na wengine.
Naomba majibu.
Kwanini hamjiamini? Je ni kweli bila figisu CCM haishindi?
Inasikitisha sanaHaaa umenikumbusha hadithi ya kwenda maporini bila kutumwa
Unatarajia Lucas Mwashambwa anene nini? Mkuu wa wilaya ya Longido alishasema wao ndio vinara wa uchafuzi wa uchaguziWanaogopa watabaki na sonona baada ya matokeo huku wanalia kwa mtindo wa kubweka.Kwako Lucas Mwashambwa.
Atabaki anatafuna kahawa kavu huku anatazama kwa huzuni kama anaangalia nyumba inaungua.Unatarajia Lucas Mwashambwa anene nini? Mkuu wa wilaya ya Longido alishasema wao ndio vinara wa uchafuzi wa uchaguzi
Jibu swali wewe acha upuuzi.Nani kakwambia kuwa hatujiamini?
UchafuziEhh hivi kuna uchaguzi
Ova
Wewe nawe huiko CCM anakujua nani, wewe ni kidampa tu mlamba viatuNani kakwambia kuwa hatujiamini?
Hiyo tume huru ipo sehemu gani?kipara kipya, Lucas Mwashambwa, the big boss, CHAWA, ChawaWaMama na wengine.
Naomba majibu.
Kwanini hamjiamini? Je ni kweli bila figisu CCM haishindi?
Albadir naona imeanza kukutafuna tayariNani kakwambia kuwa hatujiamini?
Huyu PS hana lolote kwenye chamaUnatarajia [B]Lucas Mwashambwa[/B] anene nini? Mkuu wa wilaya ya Longido alishasema wao ndio vinara wa uchafuzi wa uchaguzi
Kuokoa gharamakipara kipya, Lucas Mwashambwa, the big boss, CHAWA, ChawaWaMama na wengine.
Naomba majibu.
Kwanini hamjiamini? Je ni kweli bila figisu CCM haishindi?
Si lazima tuambiwe na mtu...Nani kakwambia kuwa hatujiamini?
Kwanini iliunda tume huru ya uchaguzi? Je ni Jambo gani ambalo serikali inalifanya pasipo ya gharama?Kuokoa gharama
Albadir naona imeanza kukutafuna tayari
Huyu Mnyiha ni MTU hatari sana, hawa kumchuna MTU ngozi kwao kawaida kabisa.Nani kakwambia kuwa hatujiamini?
Mashetani hayoHuyu Mnyiha ni MTU hatari sana, hawa kumchuna MTU ngozi kwao kawaida kabisa.