Pre GE2025 Kwanini Serikali ya Rais Samia imeruhusu maandamano ya CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Serikali ya Rais Samia imeruhusu maandamano ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika dunia ya leo, siasa za maandamano ni siasa za kijinga. Ni u-harakati usikuwa na effect yoyote kisiasa. Ni afadhali kuwe na spontaneous maandamano ya wananchi wa itikadi mbalimbali kuliko hayo ya kuandaliwa na chama kimoja cha upinzani.
 
Missile of the Nation umeanza uchambuzi vizuri ila badala ya kujadili hoja na matarajio ya maandamano, ukajikita kueleza sababu za kuyaruhusu maandamano.

Hoja ya kwanza ya maandamano ambayo ni sheria mbovu, umedai kwamba haina mashiko; sawa!

Lakini hukuchambua hoja ya pili ya maandamano ambayo ni ugumu wa maisha.

Je, huoni kwamba hoja ya pili ni pana sana inayogusa Watanzania wengi, na inaweza kumeza hata hoja ya kwanza?

Hivi leo ukiwaambia Watanzania ugumu wa maisha unadhani kati ya raia 10, ni wangapi watakuambia ni magumu kama siyo 9 kati ya 10?
 
Agenda kuu ya CDM ni kuiondoa miswada hii Bungeni ambayo wao wanaita ni cosmetic. wanashinikiza kufanya Reform kwenye Katiba iliyopo kwanza.Hivyo Agenda ya katiba mpya imebebwa na hoja ya miswada inayoendana na haja ya mabadiliko madogo ya katiba, na ndiyo mojawapo ya msukumo wa maandamano.hiyo ndiyo agenda yao kuu. Utasoma mabango kesho

Unamaanisha kuwa CHADEMA wanataka mabadiliko ya katiba ta sasa?

Siyo kutaka katiba mpya?
 
Pengine tunaweza kujiuliza, kwa nini serikali ya raisi Samia wakati huu imeamua kupotezea na kuruhusu CHADEMA wafanye maandamano wakati inafahamika kuwa siku zote unapoleta ajenda ya maandamano basi serikali ya CCM huwa wanakuwa wagumu na wakali kama pilipili kuyaruhusu. Nitaeleza hapa chini kwa nini safari hii Samia na serikali yake wameamua kuyaacha yafanyike. Sababu zenyewe ni hizi.

1. Sababu ya kwanza ni kuwa , ajenda kuu za maandamano hazina athari kubwa kisiasa kwa Samia na CCM yake.

Kwa mujibu wa taarifa iliyosonwa na katibu mkuu John Mnyika mbele ya waandishi wa habari, Ajenda kuu za maandamano ambazo waliwaandikia Polisi wa Dar ni mbili
a) Miswada ya sheria mbovu za mambo ya uchaguzi
b) Hali ya ugumu wa maisha ya Wananchi.

Katika Ajenda hizo hakuna kabisa suala la KATIBA mpya.
Sasa ukiangalia hizo Ajenda, kisiasa hakuna hata moja yenye uzito wa kisiasa wa kuitetemesha CCM. Tena ukichunguza vizuri ajenda ya kwanza inawaportray CHADEMA kama wenye uchu na chaguzi ili wapate nafasi za ubunge udiwani, ruzuku n.k

Tegemea kuanza kuona CCM wakiwageuzia kibao CHADEMA kwenye ajenda yao hiyo ya mambo ya uchaguzi, kwamba CHADEMA ni wasaka madaraka tu lakini hawako serious na mambo makubwa ya mabadiliko ya kweli.

2. Sababu ya Pili ni Kumuonyesha Samia kama mwanademokrasia

Haya maandamano, yakifanyika, kitakachofuata baada ya hapo ni kumtengenezea taswira rais Samia kama mwanademokrasia, mwanasiasa mkomavu ambaye yuko tayari kuvumilia vyama vingine kutumia haki yao ya kidemokrasia kuandamana n.k. Itamjengea taswira chanya ndani na nje.

3. Sababu ya tatu, ni kupunguza fukuto la Wataka maandamano.

Yamekuwepo majaribio ya watu kutaka kuandamana kwa mysa mrefu huku Jeshi la polisi likiyazima kikatili. Safari hii baona wameona wayaache ili kuoffload steam ( fukuto lipumue). Hii itasaidia kupunguza joto, mshawasha wa kutaka kuandamana, kitu ambacho ni dream ya wanadiasa na wanaharakati nchini.

4. Kwa kuruhusu maandamano katika ajenda nyepesi kunaipa serikali mtaji wa kukataa maandamano ya ajenda ngumu bila lawama kiviiile!

Zipo ajenda kuu nchini za mambo ya msingi.
1. Ajenda ya dhulma kwa Wamasai huko ngorongoro
2. Ajenda ya Katiba mpya
3. Ajenda ya Ufisadi, ubadhirifu na kutowajibishwa ipasavyo wanaofanya hayo
4. Ajenda ya Elimu mbovu
5. Ajenda ya kutapanya rasilimali za nchi kwa kuziuza bei chee na kuingua mikataba mibovu
6. Ajenda ya kumnyonya mkulima.

Hizo ni Ajenda ambazo CCM wanaziogopa na siyo mambo ya miswada ya uchaguzi. Kwa hiyo, kwa kuruhusu maandamano ya Ajenda dhaifu, Wanajiwekea kigingi cha kuzuia maandamano ya ajenda nzito zaidi kwa hojs za kiintelijensia.

5. Maandamano haya, yanawasaidia CCM kuwashusha mzuka watu ambao wako serious kuandamana kwa ajili ya katiba mpya.

Katika nchi yetu, jinsi mifumo ya kisiasa ilivyo. Ni vigumu kumobilise watu, au kufanya jambo lenye mguso wa kisiasa bila kupitia platform za kisiasa. Ndiyo maana akina Mwabukusi walipata shida sana kuandaa maadamano yao ya kudai katiba mpya na kupinga ugawaji wa bandari yetu. Hata hivyo fukuto la madai yao lilikuwa kubwa miongoni mwa Watanzania, kwa hiyo kingetokea chama cha siasa kikawa na guts za kuandamana jwa ajenda hizo bila shaka ingeweka pressure kubwa zaidi kwa serikali ya CCM. Sasa hakuna Chama kilichojitokeza kubeba ajenda hizo, bali CHADEMA imekuja na ajenda za kupapasapapasa bila kuifanya KATIBA MPYA kuwa ni AJENDA kuu. Matokeo yake watu watashushwa mzuka, Na hii itaisaidia CCM kubuy time katika danadana zake za kutotupatia katiba mpya!. Mpaka Joto la kuwapush watu kuingua barabarani tena kwa ajili ya katiba mpya lipande, itakuwa labda miaka mingine 10 ijayo!

KWA KUMALIZIA.
1. Maandamano ya Chadema yatamjenga Samia aonekane mwanademokrasia.

2. Maandamano ya CHADEMA yasiyobeba Katiba mpya kama ajenda kuu ni kama Controlled demolition ya kuzima hasira ya watu kimkakati ya kuingia barabarani kwa ajili ya katiba mpya.

3. Maandamano yasiyoogopwa na CCM hayo siyo maandamano halisi.

4. Maandamano haya yanaweza kutumika kuwaportray CHADEMA kama Flip-Floppers wakubwa. Leo wanazungumza habari za sheria za uchaguzi, wakati miaka michache iliyopita walikuwa wanasema kuwa hakuna reform yoyote ya sheria za kawaida inayoweza kusaidia uchaguzi huru na haki. Leo wanaandamana kwa ajili ya reform ya sheria hizohizo!.

Kwa maoni yangu, bila ya KATIBA MPYA kuwa ndiyo Ajenda kuu ya kila kitu, basi madai yetu yote mengine ni bure!
Kitendo cha kukubaliwa kuandamana kimewakata chadema maini.
Kwanza imetumika protoko kubwa sana kichama (ccm)
Mpaka hapo chadema ile nguvu hawana tena ni kama wanasindikiza mwenge.
Kwanza wanaandamana ujumbe wanaupeleka wapi
 
Missile of the Nation umeanza uchambuzi vizuri ila badala ya kujadili hoja na matarajio ya maandamano, ukajikita kueleza sababu za kuyaruhusu maandamano.

Hoja ya kwanza ya maandamano ambayo ni sheria mbovu, umedai kwamba haina mashiko; sawa!

Lakini hukuchambua hoja ya pili ya maandamano ambayo ni ugumu wa maisha.

Je, huoni kwamba hoja ya pili ni pana sana inayogusa Watanzania wengi, na inaweza kumeza hata hoja ya kwanza?

Hivi leo ukiwaambia Watanzania ugumu wa maisha unadhani kati ya raia 10, ni wangapi watakuambia ni magumu kama siyo 9 kati ya 10?

Katiba mpya ni muarubaini wa mambo mengi.
 
Kitendo cha kukubaliwa kuandamana kimewakata chadema maini.
Kwanza imetumika protoko kubwa sana kichama (ccm)
Mpaka hapo chadema ile nguvu hawana tena ni kama wanasindikiza mwenge.
Kwanza wanaandamana ujumbe wanaupeleka wapi
Wanaenda UN badala ya kwenda Ikulu.

Sijui UN itasaidia nini kwa kudai "maisha yamekuwa magumu"
 
Pengine tunaweza kujiuliza, kwa nini serikali ya raisi Samia wakati huu imeamua kupotezea na kuruhusu CHADEMA wafanye maandamano wakati inafahamika kuwa siku zote unapoleta ajenda ya maandamano basi serikali ya CCM huwa wanakuwa wagumu na wakali kama pilipili kuyaruhusu. Nitaeleza hapa chini kwa nini safari hii Samia na serikali yake wameamua kuyaacha yafanyike. Sababu zenyewe ni hizi.

1. Sababu ya kwanza ni kuwa , ajenda kuu za maandamano hazina athari kubwa kisiasa kwa Samia na CCM yake.

Kwa mujibu wa taarifa iliyosonwa na katibu mkuu John Mnyika mbele ya waandishi wa habari, Ajenda kuu za maandamano ambazo waliwaandikia Polisi wa Dar ni mbili
a) Miswada ya sheria mbovu za mambo ya uchaguzi
b) Hali ya ugumu wa maisha ya Wananchi.

Katika Ajenda hizo hakuna kabisa suala la KATIBA mpya.
Sasa ukiangalia hizo Ajenda, kisiasa hakuna hata moja yenye uzito wa kisiasa wa kuitetemesha CCM. Tena ukichunguza vizuri ajenda ya kwanza inawaportray CHADEMA kama wenye uchu na chaguzi ili wapate nafasi za ubunge udiwani, ruzuku n.k

Tegemea kuanza kuona CCM wakiwageuzia kibao CHADEMA kwenye ajenda yao hiyo ya mambo ya uchaguzi, kwamba CHADEMA ni wasaka madaraka tu lakini hawako serious na mambo makubwa ya mabadiliko ya kweli.

2. Sababu ya Pili ni Kumuonyesha Samia kama mwanademokrasia

Haya maandamano, yakifanyika, kitakachofuata baada ya hapo ni kumtengenezea taswira rais Samia kama mwanademokrasia, mwanasiasa mkomavu ambaye yuko tayari kuvumilia vyama vingine kutumia haki yao ya kidemokrasia kuandamana n.k. Itamjengea taswira chanya ndani na nje.

3. Sababu ya tatu, ni kupunguza fukuto la Wataka maandamano.

Yamekuwepo majaribio ya watu kutaka kuandamana kwa mysa mrefu huku Jeshi la polisi likiyazima kikatili. Safari hii baona wameona wayaache ili kuoffload steam ( fukuto lipumue). Hii itasaidia kupunguza joto, mshawasha wa kutaka kuandamana, kitu ambacho ni dream ya wanadiasa na wanaharakati nchini.

4. Kwa kuruhusu maandamano katika ajenda nyepesi kunaipa serikali mtaji wa kukataa maandamano ya ajenda ngumu bila lawama kiviiile!

Zipo ajenda kuu nchini za mambo ya msingi.
1. Ajenda ya dhulma kwa Wamasai huko ngorongoro
2. Ajenda ya Katiba mpya
3. Ajenda ya Ufisadi, ubadhirifu na kutowajibishwa ipasavyo wanaofanya hayo
4. Ajenda ya Elimu mbovu
5. Ajenda ya kutapanya rasilimali za nchi kwa kuziuza bei chee na kuingua mikataba mibovu
6. Ajenda ya kumnyonya mkulima.

Hizo ni Ajenda ambazo CCM wanaziogopa na siyo mambo ya miswada ya uchaguzi. Kwa hiyo, kwa kuruhusu maandamano ya Ajenda dhaifu, Wanajiwekea kigingi cha kuzuia maandamano ya ajenda nzito zaidi kwa hojs za kiintelijensia.

5. Maandamano haya, yanawasaidia CCM kuwashusha mzuka watu ambao wako serious kuandamana kwa ajili ya katiba mpya.

Katika nchi yetu, jinsi mifumo ya kisiasa ilivyo. Ni vigumu kumobilise watu, au kufanya jambo lenye mguso wa kisiasa bila kupitia platform za kisiasa. Ndiyo maana akina Mwabukusi walipata shida sana kuandaa maadamano yao ya kudai katiba mpya na kupinga ugawaji wa bandari yetu. Hata hivyo fukuto la madai yao lilikuwa kubwa miongoni mwa Watanzania, kwa hiyo kingetokea chama cha siasa kikawa na guts za kuandamana jwa ajenda hizo bila shaka ingeweka pressure kubwa zaidi kwa serikali ya CCM. Sasa hakuna Chama kilichojitokeza kubeba ajenda hizo, bali CHADEMA imekuja na ajenda za kupapasapapasa bila kuifanya KATIBA MPYA kuwa ni AJENDA kuu. Matokeo yake watu watashushwa mzuka, Na hii itaisaidia CCM kubuy time katika danadana zake za kutotupatia katiba mpya!. Mpaka Joto la kuwapush watu kuingua barabarani tena kwa ajili ya katiba mpya lipande, itakuwa labda miaka mingine 10 ijayo!

KWA KUMALIZIA.
1. Maandamano ya Chadema yatamjenga Samia aonekane mwanademokrasia.

2. Maandamano ya CHADEMA yasiyobeba Katiba mpya kama ajenda kuu ni kama Controlled demolition ya kuzima hasira ya watu kimkakati ya kuingia barabarani kwa ajili ya katiba mpya.

3. Maandamano yasiyoogopwa na CCM hayo siyo maandamano halisi.

4. Maandamano haya yanaweza kutumika kuwaportray CHADEMA kama Flip-Floppers wakubwa. Leo wanazungumza habari za sheria za uchaguzi, wakati miaka michache iliyopita walikuwa wanasema kuwa hakuna reform yoyote ya sheria za kawaida inayoweza kusaidia uchaguzi huru na haki. Leo wanaandamana kwa ajili ya reform ya sheria hizohizo!.

Kwa maoni yangu, bila ya KATIBA MPYA kuwa ndiyo Ajenda kuu ya kila kitu, basi madai yetu yote mengine ni bure!
Siasa za Tanzania sio precision politics kama za wenzetu. Maandamano yenye impact yanapaswa kuishinikiza serikali ifanye mabadiliko. Kwa haya ya kesho hayatakuwa na nguvu isipokuwa tu a practice of democracy kwa pande mbili. Iwapo wapinzani watarudia maandamano hayo say every month yanaweza kuwa na impact lakini serikali haitaruhusu. Lakini hakuna shida tuanzie hapo.
 
Pengine tunaweza kujiuliza, kwa nini serikali ya raisi Samia wakati huu imeamua kupotezea na kuruhusu CHADEMA wafanye maandamano wakati inafahamika kuwa siku zote unapoleta ajenda ya maandamano basi serikali ya CCM huwa wanakuwa wagumu na wakali kama pilipili kuyaruhusu. Nitaeleza hapa chini kwa nini safari hii Samia na serikali yake wameamua kuyaacha yafanyike. Sababu zenyewe ni hizi.

1. Sababu ya kwanza ni kuwa , ajenda kuu za maandamano hazina athari kubwa kisiasa kwa Samia na CCM yake.

Kwa mujibu wa taarifa iliyosonwa na katibu mkuu John Mnyika mbele ya waandishi wa habari, Ajenda kuu za maandamano ambazo waliwaandikia Polisi wa Dar ni mbili
a) Miswada ya sheria mbovu za mambo ya uchaguzi
b) Hali ya ugumu wa maisha ya Wananchi.

Katika Ajenda hizo hakuna kabisa suala la KATIBA mpya.
Sasa ukiangalia hizo Ajenda, kisiasa hakuna hata moja yenye uzito wa kisiasa wa kuitetemesha CCM. Tena ukichunguza vizuri ajenda ya kwanza inawaportray CHADEMA kama wenye uchu na chaguzi ili wapate nafasi za ubunge udiwani, ruzuku n.k

Tegemea kuanza kuona CCM wakiwageuzia kibao CHADEMA kwenye ajenda yao hiyo ya mambo ya uchaguzi, kwamba CHADEMA ni wasaka madaraka tu lakini hawako serious na mambo makubwa ya mabadiliko ya kweli.

2. Sababu ya Pili ni Kumuonyesha Samia kama mwanademokrasia

Haya maandamano, yakifanyika, kitakachofuata baada ya hapo ni kumtengenezea taswira rais Samia kama mwanademokrasia, mwanasiasa mkomavu ambaye yuko tayari kuvumilia vyama vingine kutumia haki yao ya kidemokrasia kuandamana n.k. Itamjengea taswira chanya ndani na nje.

3. Sababu ya tatu, ni kupunguza fukuto la Wataka maandamano.

Yamekuwepo majaribio ya watu kutaka kuandamana kwa mysa mrefu huku Jeshi la polisi likiyazima kikatili. Safari hii baona wameona wayaache ili kuoffload steam ( fukuto lipumue). Hii itasaidia kupunguza joto, mshawasha wa kutaka kuandamana, kitu ambacho ni dream ya wanadiasa na wanaharakati nchini.

4. Kwa kuruhusu maandamano katika ajenda nyepesi kunaipa serikali mtaji wa kukataa maandamano ya ajenda ngumu bila lawama kiviiile!

Zipo ajenda kuu nchini za mambo ya msingi.
1. Ajenda ya dhulma kwa Wamasai huko ngorongoro
2. Ajenda ya Katiba mpya
3. Ajenda ya Ufisadi, ubadhirifu na kutowajibishwa ipasavyo wanaofanya hayo
4. Ajenda ya Elimu mbovu
5. Ajenda ya kutapanya rasilimali za nchi kwa kuziuza bei chee na kuingua mikataba mibovu
6. Ajenda ya kumnyonya mkulima.

Hizo ni Ajenda ambazo CCM wanaziogopa na siyo mambo ya miswada ya uchaguzi. Kwa hiyo, kwa kuruhusu maandamano ya Ajenda dhaifu, Wanajiwekea kigingi cha kuzuia maandamano ya ajenda nzito zaidi kwa hojs za kiintelijensia.

5. Maandamano haya, yanawasaidia CCM kuwashusha mzuka watu ambao wako serious kuandamana kwa ajili ya katiba mpya.

Katika nchi yetu, jinsi mifumo ya kisiasa ilivyo. Ni vigumu kumobilise watu, au kufanya jambo lenye mguso wa kisiasa bila kupitia platform za kisiasa. Ndiyo maana akina Mwabukusi walipata shida sana kuandaa maadamano yao ya kudai katiba mpya na kupinga ugawaji wa bandari yetu. Hata hivyo fukuto la madai yao lilikuwa kubwa miongoni mwa Watanzania, kwa hiyo kingetokea chama cha siasa kikawa na guts za kuandamana jwa ajenda hizo bila shaka ingeweka pressure kubwa zaidi kwa serikali ya CCM. Sasa hakuna Chama kilichojitokeza kubeba ajenda hizo, bali CHADEMA imekuja na ajenda za kupapasapapasa bila kuifanya KATIBA MPYA kuwa ni AJENDA kuu. Matokeo yake watu watashushwa mzuka, Na hii itaisaidia CCM kubuy time katika danadana zake za kutotupatia katiba mpya!. Mpaka Joto la kuwapush watu kuingua barabarani tena kwa ajili ya katiba mpya lipande, itakuwa labda miaka mingine 10 ijayo!

KWA KUMALIZIA.
1. Maandamano ya Chadema yatamjenga Samia aonekane mwanademokrasia.

2. Maandamano ya CHADEMA yasiyobeba Katiba mpya kama ajenda kuu ni kama Controlled demolition ya kuzima hasira ya watu kimkakati ya kuingia barabarani kwa ajili ya katiba mpya.

3. Maandamano yasiyoogopwa na CCM hayo siyo maandamano halisi.

4. Maandamano haya yanaweza kutumika kuwaportray CHADEMA kama Flip-Floppers wakubwa. Leo wanazungumza habari za sheria za uchaguzi, wakati miaka michache iliyopita walikuwa wanasema kuwa hakuna reform yoyote ya sheria za kawaida inayoweza kusaidia uchaguzi huru na haki. Leo wanaandamana kwa ajili ya reform ya sheria hizohizo!.

Kwa maoni yangu, bila ya KATIBA MPYA kuwa ndiyo Ajenda kuu ya kila kitu, basi madai yetu yote mengine ni bure!
Una hoja ya msingi sana.

Tangu Mbowe akutane na viongozi wa Ccm baada ya kuachiwa huru, ajenda ya katiba mpya ilishazikwa kitambo.

Huenda Ccm wameruhusu haya maandamano ili pia kumpunguzia Mbowe shinikizo la wapinzani wake ndani ya Chadema ili aonekana bado ana amshaamsha.

Kiufupi sera za Mbowe kuelekea kudai katiba mpya ndicho Ccm wanachokitaka, huenda ndicho walichokubaliana kwenye yale mazungumzo ya maridhiano.

JokaKuu econonist zitto junior Nguruvi3 brazaj Rabbon

Tindo
 
Una hoja ya msingi sana.

Tangu Mbowe akutane na viongozi wa Ccm baada ya kuachiwa huru, ajenda ya katiba mpya ilishazikwa kitambo.

Huenda Ccm wameruhusu haya maandamano ili pia kumpunguzia Mbowe shinikizo la wapinzani wake ndani ya Chadema ili aonekana bado ana amshaamsha.

Kiufupi sera za Mbowe kuelekea kudai katiba mpya ndicho Ccm wanachokitaka, huenda ndicho walichokubaliana kwenye yale mazungumzo ya maridhiano.

JokaKuu econonist zitto junior Nguruvi3 brazaj Rabbon

Tindo
Kuna jambo hamlioni hapo,

Hiyo agenda ya Tume HURU ya UCHAGUZI ambayo inamuondoa Rais kuteua Election commissionals inataka uje muswada wa Mabadiliko ya SHERIA mama kwanza ambayo ni Katiba iliyopo ibadilishwe kuruhusu kumuondolea Rais mamlaka ya kuteua wajumbe wa kusimama uchaguzi.

Neno Tume HURU, maana yake lazima uguse Katiba na kubadili Ili kumuondoa Rais kuingilia TUME.

Kwa maana ingine, KATIBA iliyopo itatiwa kiraka kipya Ili kupata Tume HURU iliyopendekezwa kwenye Rasimu ya Warioba.

Tunaelekea pazuri sana.
 
Una hoja ya msingi sana.

Tangu Mbowe akutane na viongozi wa Ccm baada ya kuachiwa huru, ajenda ya katiba mpya ilishazikwa kitambo.

Huenda Ccm wameruhusu haya maandamano ili pia kumpunguzia Mbowe shinikizo la wapinzani wake ndani ya Chadema ili aonekana bado ana amshaamsha.

Kiufupi sera za Mbowe kuelekea kudai katiba mpya ndicho Ccm wanachokitaka, huenda ndicho walichokubaliana kwenye yale mazungumzo ya maridhiano.

JokaKuu econonist zitto junior Nguruvi3 brazaj Rabbon

Tindo

..wamewaogopa MABALOZI.

..Na Maza kaalikwa Vatican hawezi kwenda kule akiwa na damu za Watanzania.
 
Kuna jambo hamlioni hapo,

Hiyo agenda ya Tume HURU ya UCHAGUZI ambayo inamuondoa Rais kuteua Election commissionals inataka uje muswada wa Mabadiliko ya SHERIA mama kwanza ambayo ni Katiba iliyopo ibadilishwe kuruhusu kumuondolea Rais mamlaka ya kuteua wajumbe wa kusimama uchaguzi.

Neno Tume HURU, maana yake lazima uguse Katiba na kubadili Ili kumuondoa Rais kuingilia TUME.

Kwa maana ingine, KATIBA iliyopo itatiwa kiraka kipya Ili kupata Tume HURU iliyopendekezwa kwenye Rasimu ya Warioba.

Tunaelekea pazuri sana.

..kuruhusu maandamano.

..hajaruhusu mabadiliko madogo ya katiba yatakayomuengua kuteua tume ya uchaguzi.
 
Kuna jambo hamlioni hapo,

Hiyo agenda ya Tume HURU ya UCHAGUZI ambayo inamuondoa Rais kuteua Election commissionals inataka uje muswada wa Mabadiliko ya SHERIA mama kwanza ambayo ni Katiba iliyopo ibadilishwe kuruhusu kumuondolea Rais mamlaka ya kuteua wajumbe wa kusimama uchaguzi.

Neno Tume HURU, maana yake lazima uguse Katiba na kubadili Ili kumuondoa Rais kuingilia TUME.

Kwa maana ingine, KATIBA iliyopo itatiwa kiraka kipya Ili kupata Tume HURU iliyopendekezwa kwenye Rasimu ya Warioba.

Tunaelekea pazuri sana.
Mkuu tunahitaji katiba mpya, kujaza viraka kwenye nguo Chakavu ni sawa sawa na kuiharibu zaidi.

Kiufupi Ccm wamefanikiwa kuzima vuguvugu la katiba mpya kwa kutumia mabavu ya dola, kutumia wapinzani mamluki na kumtumia Mbowe.
 
..kuruhusu maandamano.

..hajaruhusu mabadiliko madogo ya katiba yatakayomuengua kuteua tume ya uchaguzi.
Kuruhusu maandamano ni kuruhusu HOJA za CDM zisikike na Watawala,

Jambo ambalo bungeni walikuwa hawaruhusuwi hata kuongea.

Wingi wa waandamanaji, utalazimisha miswada IRUDISHWE na kupata mabadiliko wananchi wayatakayo.
 
..wamewaogopa MABALOZI.

..Na Maza kaalikwa Vatican hawezi kwenda kule akiwa na damu za Watanzania.
Ila mkuu unakubali haya maandamano hayana jipya cha kuitisha Ccm, maana wameshapata walichokitaka yaani kuua vuguvugu la katiba mpya tena walizawadiwa na Mbowe
 
Mkuu tunahitaji katiba mpya, kujaza viraka kwenye nguo Chakavu ni sawa sawa na kuiharibu zaidi.

Kiufupi Ccm wamefanikiwa kuzima vuguvugu la katiba mpya kwa kutumia mabavu ya dola, kutumia wapinzani mamluki na kumtumia Mbowe.
No unakosea.

Maandamano ndiyo yataibua HOJA zote ikiwamo whether tuingie uchaguzi Kwa kubadili baadhi ya vipengele au kusubiri tupate Katiba mpya ndipo uchaguzi ufuate.

Jambo muhimu hapo, Andika bango lako lisemalo,

"BILA KATIBA MPYA, HAUTAFANYIKA UCHAGUZI WOWOTE WA HAKI"

Hakuna atakayezuia ujumbe wako kusikika.

Alika na majirani wajitokeze Kwa wingi katika maandamano.
 
Mkuu tunahitaji katiba mpya, kujaza viraka kwenye nguo Chakavu ni sawa sawa na kuiharibu zaidi.

Kiufupi Ccm wamefanikiwa kuzima vuguvugu la katiba mpya kwa kutumia mabavu ya dola, kutumia wapinzani mamluki na kumtumia Mbowe.

..vuguvugu si hayo maandamano na mikutano ya hadhara? Au?
 
Back
Top Bottom