Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Mkuu ningependa kuelewa zaidi mkuu.Sijazungumzia aina hii ya uharibifu pekee yake mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ningependa kuelewa zaidi mkuu.Sijazungumzia aina hii ya uharibifu pekee yake mkuu
Mweee! Ukiwa na hela ukioa wanakufiriai mbwa hawa, ukiwa huna hela wanakukwepa kama ukoma washenzy hawaSasa mzabzab wakati umefika ujibless na katoto ka elfu mbili uoe utulie.
We mtoto tema mate chini yasiruke juu..... Hujapata karenkenda na nenda ugerukeIla kwa sie wazinzi inakuwa vice versa yaani ukishakula mzigo tuu unamuona mwanamke kama likinyago flani...uzuri wote unapotea...hapo sijui kinatokeaga nini
Wee ndio lugha gani hiyo...ujue sie wazinzi akili hatuna so tumia lugha nyepesiWe mtoto tema mate chini yasiruke juu..... Hujapata karenkenda na nenda ugeruke
😄😄Kitaalamu na kiroho ni sawa na meza ya Bwana, kwa wakristo wanaoshiriki hiyo ibada wanaelewa vizuri.
Tendo la ndoa ni ibada kamili na ndo maana endapo unashiriki na hauko ndani ya ndoa tegemea uharibifu tu..
Ile ni show ya nafsi na nafsi zaidi na ndo maana ule wakati milango ya kuzama rohoni inakuwa imefunguliwa kwa ukubwa sana.
Usishangae watu wakati wa tendo wakawa wanafanya maombi.
Naomba niishie hapa furahia mke wa ujana wako Mkuu. 😁😁
Huwa nakawaida ya kumpiga matukio sana,kuna wakat huwa nalala nje au nazungumza na simu na mademu mbele yake,huwa nafanya hv ili apunguze wivu maana ana wivu sana na hasira za kuua,kuna wakat hata huwa nataman aniue tu
Ukiwa na pesa utawaona wanawake ni ndugu zako ishiwa sasa ndo utajuaMweee! Ukiwa na hela ukioa wanakufiriai mbwa hawa, ukiwa huna hela wanakukwepa kama ukoma washenzy hawa
Tendo la ndoa lifutwe tu......😹Mtaalamu wetu wa haya mambo kutokea Temeke mikoroshini Evelyn Salt atatujuza zaidi
Ndio maana limeitwa tendo la ndoa, maana linasuluhisha matatizo mengi ya kwenye ndoa.Yani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Unanikumbusha yule Mnyiramba wangu..Mume wangu mpole mpaka anakera !!!!! Muda mwingine namtibua tu anakereka then nampa kitu roho inapenda...... Yani siku hiyo nimemmnunisha akiingia tu ndani nampeleka sehemu asiyoitarajia hata kwenye banda la kuku akitaka kuongea nishafungua zipu kinachofata anajua tukimaliza anaishia kusema punguza mdomo!!!!!! Oooops nimelewa.
Ni huyo wakoYani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Et we unafikir kumfanya akojoe mtu ni rahis 😅😅😅 af umkojoleshe awe na kislan kwa kipi tenasasa siri si hiyo sex na wewe?
Siku nne zote umemvumilia ??? Dah! Watu mna moyoMke wang huwa ananuna hata siku 4 mpaka tano,nikitaka nikatishe huo mnuno fasta huwa nampiga kimoko kitamu,kesho yake asubuh mapenz kama yote mastory kama yote,ataongea ongea sana mpaka bas,hakika libolo ni dawa
Especially Kama mama amefika kibo. Akipata usingizi atakapoamka utamkuta Ni MTU mpya kabisa.Yani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Sasa utafanyajeSiku nne zote umemvumilia ??? Dah! Watu mna moyo
Ni kwasababu nyege zimeisha ila baada ya siku kadhaa nyege zikirudi utamuona mzuri kama BeyonceIla kwa sie wazinzi inakuwa vice versa yaani ukishakula mzigo tuu unamuona mwanamke kama likinyago flani...uzuri wote unapotea...hapo sijui kinatokeaga nini