Kwanini Seychelles wanavua samaki katika maeneo yetu?

Kwanini Seychelles wanavua samaki katika maeneo yetu?

Koloni letu lile nadhani. Nakumbuka kama Brigedia Ngwilizi amewahi kuwa rais wa muda kipindi fulani huko Sisheli
 
zikinunuliwa,ghafla zinageuka si kipaumbele.
Na kwa nini zinunuliwe kwa kukurupuka!! Kwani ishu ya wajanja kuvamia maeneo yetu ya bahari kuu yameanza leo? Mbona kitambo tu watjanja wanajichukulia samaki zao na pia maliasili nyingine!!! Watanzania tunachotaka ni kuona mipango yote inafanyika pasipo kuathiri maisha ya wengine.

Nitaendelea kupinga milele kitendo cha serikali yako kutunyima stahiki zetu za msingi wafanyakazi kwa kisingizio cha kununua ndege! Hivyo basi nitakua wa kwanza kupinga iwapo safari hii Wakulima watadhurumiwa mazao yao ilizinunuliwe meli za uvuvi!!

Ni kwa nini kisitafutwe chanzo kingine cha fedha ili kutoathiri maisha ya wengine?
 
Na kwa nini zinunuliwe kwa kukurupuka!! Kwani ishu ya wajanja kuvamia maeneo yetu ya bahari kuu yameanza leo? Mbona kitambo tu watjanja wanajichukulia samaki zao na pia maliasili nyingine!!! Watanzania tunachotaka ni kuona mipango yote inafanyika pasipo kuathiri maisha ya wengine.

Nitaendelea kupinga milele kitendo cha serikali yako kutunyima stahiki zetu za msingi wafanyakazi kwa kisingizio cha kununua ndege! Hivyo basi nitakua wa kwanza kupinga iwapo safari hii Wakulima watadhurumiwa mazao yao ilizinunuliwe meli za uvuvi!!

Ni kwa nini kisitafutwe chanzo kingine cha fedha ili kutoathiri maisha ya wengine?
basi waachwe waendelee kuvuna samaki,nyinyi endeleeni na biashara ya ukulima.

asilaumiwe mtu hapa,maana maamuzi atakayochukua yataumiza kundi jingine la watu.
 
Hakuna, ukifuatilia utakutana na mikataba ya ajabuajabu tuu
Nyie hamvui...mkivua mnavua kiubabaishaji
[emoji23][emoji23][emoji23]wekeni nguvu mkavuee mpk huko kwao
Rudishen tafico ikiwezekana....
Tatizo wavuvi wetu wengi nguvu ndg ndomana tunambuliaa kuvuaaa vidagaaaa
Nenda maji marefu huko kavueee samaki mwenye umbile kama langu urefu ft 6 "5
Uzito kg 90 hko na kuendeleaaaa

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Nyie hamvui...mkivua mnavua kiubabaishaji
[emoji23][emoji23][emoji23]wekeni nguvu mkavuee mpk huko kwao
Rudishen tafico ikiwezekana....
Tatizo wavuvi wetu wengi nguvu ndg ndomana tunambuliaa kuvuaaa vidagaaaa
Nenda maji marefu huko kavueee samaki mwenye umbile kama langu urefu ft 6 "5
Uzito kg 90 hko na kuendeleaaaa

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hatua kwa hatua tutafika tuu
 
Samaki wamejaa baharini juzi kati nimeenda kununua Samaki feri eti Samaki mmoja JODARI laki 3 shubamiti zao.. Wacha wanaotaka kuvua wavue sisi akili nyeusi tu wapumbafu sana.
Hasira zako zinazidi kuleta hasara sasa.
Tupambane kuboresha uvuvi, hao wanaovua bila vibali tuwauzie na bei za ndani zipungue
 
Hatua kwa hatua tutafika tuu
Mama d mm nimevua jongoo bahari mafiaaa
Kuna kisiwa kinaitwa jibondooo kiko mafia
Upande wa kaskazini ukinyooshaaaa
Unakwenda mpaka moheli comoro
Nlikuwa nakwenda na madaivaaaa mpk hko sjui komoro kufata jongoooooooo
Hapa ukizungumzia bahari naijuaa najua mapungufu ya wavuvi wa kwetu
Sekta ya uvuvi hawajawezeshwa wavuvi wengi wanatumia nguvu yaooo
Zaidi ya kuwasikia mabos wamekaa ofisini hawaijui bahari au ziwa ilivyoooo
Tuwe watu wa vitendo syo blh blh tu
Mm ningekuwa na nna nguvu ningeenda mpaka bahari ya somalia hko hata philipines hko navuaa
Nawarudisha samaki

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Hasira zako zinazidi kuleta hasara sasa.
Tupambane kuboresha uvuvi, hao wanaovua bila vibali tuwauzie na bei za ndani zipungue
Upambane na nani..? Labda upambane na ujinga na upumbafu wetu DSM mji mzima umezungukwa na bahari na misamaki kibao imejaa baharini lakini hakuna kitoweo ghali kama samaki dsm m. Ata nyama ya ng'ombe ni nafuu licha ya kwamba wanafungwa mbali.

Serikali ina umri wa kusitafu haijawhi ata kuunda wembe kwenye elimu inayotoa kwa watu wake. Unamanisha hatuna ata billion 100 kununua meli ya UVUVI..?
 
Mama d mm nimevua jongoo bahari mafiaaa
Kuna kisiwa kinaitwa jibondooo kiko mafia
Upande wa kaskazini ukinyooshaaaa
Unakwenda mpaka moheli comoro
Nlikuwa nakwenda na madaivaaaa mpk hko sjui komoro kufata jongoooooooo
Hapa ukizungumzia bahari naijuaa najua mapungufu ya wavuvi wa kwetu
Sekta ya uvuvi hawajawezeshwa wavuvi wengi wanatumia nguvu yaooo
Zaidi ya kuwasikia mabos wamekaa ofisini hawaijui bahari au ziwa ilivyoooo
Tuwe watu wa vitendo syo blh blh tu
Mm ningekuwa na nna nguvu ningeenda mpaka bahari ya somalia hko hata philipines hko navuaa
Nawarudisha samaki

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Waliouwa viwanda vyetu ili wajinufaishe binafsi Mungu atawalaani popote walipo

mrangi kumbe unafanyaga hizo mambo za hatariiii. Mimi naiogopa bahari mnoooo
 
Upambane na nani..? Labda upambane na ujinga na upumbafu wetu DSM mji mzima umezungukwa na bahari na misamaki kibao imejaa baharini lakini hakuna kitoweo ghali kama samaki dsm m. Ata nyama ya ng'ombe ni nafuu licha ya kwamba wanafungwa mbali.

Serikali ina umri wa kusitafu haijawhi ata kuunda wembe kwenye elimu inayotoa kwa watu wake. Unamanisha hatuna ata billion 100 kununua meli ya UVUVI..?
Zamani ilikuwa TANZANIA FISHERIES ila ndy hivyo ilikuwa,ila kama wavuvi wanawezeshwa
Nguvu wanaweza kwenda kuvua kina kirefu na sehemu zenye mazalia wengi wa samaki wakubwa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Zamani ilikuwa TANZANIA FISHERIES ila ndy hivyo ilikuwa,ila kama wavuvi wanawezeshwa
Nguvu wanaweza kwenda kuvua kina kirefu na sehemu zenye mazalia wengi wa samaki wakubwa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hii sector inakera sana..! Jumamosi nimeenda feri eti Samaki mmoja JODARI naambiwa laki 300000 kwetu Chato hapo unanunua dume la ng'ombe la kula kijiji kabisa.

Nchi hii ina wapumbavu sana walioko maofisini asiei, kwa dsm tunapata taabu sana kupata kitoweo cha samaki.
 
Waliouwa viwanda vyetu ili wajinufaishe binafsi Mungu atawalaani popote walipo

mrangi kumbe unafanyaga hizo mambo za hatariiii. Mimi naiogopa bahari mnoooo
Mimi ni zaidi ya fieldmarshal ohoooo
Cv yngu mjeda mwenyewe anasubiri[emoji23][emoji23][emoji23]
Yah nishavua jongoo tena wle jongoo wakubwa na wa hela pauni,barango,spinyo nlikuwa nakwenda na madaiva umbali kdg na kina kirefu
Sema badaye longolongo ikatokea
Tukaenda lamu kdg twnde somalia hko nkaona sasa uhai ntapoteza[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom