mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Duh kna shida sana hyo sektaHii sector inakera sana..! Jumamosi nimeenda feri eti Samaki mmoja JODARI naambiwa laki 300000 kwetu Chato hapo unanunua dume la ng'ombe la kula kijiji kabisa.
Nchi hii ina wapumbavu sana walioko maofisini asiei, kwa dsm tunapata taabu sana kupata kitoweo cha samaki.
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app