Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
ukiunga doti unavyowafanyia dada za wenzako lazima hasira ikupande uwaze na wa kwako anafanyiwa hivyo
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Utakuta washaharibu sana mabinti za watu hivyo huhisi uharibishu unahamia kwenye familia zao. Ni watu washamba flani hivi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume tunajuana, kwahio anakujua kama wewe nikitombi unamuharibia dada yake. Lakini ungeenda kwao ukaonyesha lengo la kutaka kumuoa angefurahia.Akijua labda unataka utulie tu kwa dada yake.

Jiulize pia kwa nini watoto wakiume wakijua Mzee wao unachepuka au mama yao anachepuka hua wanaumia sana kuliko watoto wa kike?.
 
Utakuta washaharibu sana mabinti za watu hivyo huhisi uharibishu unahamia kwenye familia zao. Ni watu washamba flani hivi 🤣🤣🤣🤣🤣
😀 😀 😀 afu hasira wanahamishia kwa watu wa Mungu
 
Anajua mtaishia kupeana gono tu na uti hamna lolote zaidi ya umalaya katika umri mdogo.
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Mwanafunzi soma achana na mapenzi kwa sasa.
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dawa yake ni kumtumia hela shemeji yako. Sio unapiga free Kendez
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Ni kwaajili ya kumlinda kifamilia dhidi ya wahuni (waharibifu), ni instinct tuliyoumbiwa nayo wanaume juu ya wadogo zetu wakike tu na sio kwa dada zetu, na hii ni kwa wanaume wenye umri fulani(5-29) na huyo mdogo wa kike umri wake ni kuanzia (5-24) akivuka hapo instict inaishiwa nguvu, kunakua hakuna uchungu.

Mkuu una mdogo wa kike?
 
Hapo sio hisia za chuki kumbuka mtoto wa kiume ni kama baba anachofanya ni kumlinda mdogo wake ili asiharibikiwe saana akaja kuwa mzigo nyumbani na ndio maana hakuna kaka mtu ambaye anakuwa mkali kwa mtu aliekuja kutoa posa ila hawa wa kutaka kupima oil na kusepa lazima viumane
Sasa suala la posa au kujulikana nyumbani kwa wakwe haliwezi kuwa la muda mfupi toka kuanzishwa kwa mahusiano mkuu
 
Unamdate dadaangu afu uje kunitambishia na kunitania aisee tutakosana fanyeni yenu ila mipaka iheshimiwe sio nakukuta unakula korosho unanipiga kijembe nakukuta kwenye pweza hutulii unanirushia vimaneno Atoto
Punguza wivu kaka🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom