Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

Ishu ni sumni tu kaka. Niamini mimi makaka wakijua dada yao anabanduliwa na mtu mwenye hela hawanaga shida kabisa yaani. Wanakuwaga washkaji na mashemeji zao wanapiga mizinga na kusaidiwa kutafuta kazi
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Ni kweli kizazi hiki kinaangamia kwa kukosa heshima na busara.

Kama ni wewe uone dadako mbichi hajachumbiwa wala kuolewa analivusha huni kulileta nyumbani kwenu na kufanya ufuska, utajisikia raha, yaani amani kabisa ya moyo?

Kaka mtu anatakiwa kumchunga na kumpigania dada yake hadi atakapojitegemea huo ndiyo utamaduni wa kiAfrika.

Hapo huyo msichana hauna malengo yoyote naye, hapo unamdanganya na kumharibia future yake.

Vijana jiheshimuni, mila na desturi za waTz, haziruhusu mambo hayo.

Hiyo ni dharau kubwa sana unaionesha kwenye familia ya huyo binti tena kwa kujua kabisa.

Kosa hilo halistahili msamahana kaka mtu alikustahi sana.

Kama umempenda, haukatazwi na mtu, chumbia muoe.
 
Unaelewa maana ya shemeji dogo?

Huyo demu mpaka umuoe ndio huyo kaka yake utaanza kumuita shemeji

Kwa sasa wewe na demu wako waasherati

Ukimuoa akawa ndani ya himaya yako hakunaga kaka anayemaindi mdogo wake wa kike au dada yake kuolewa
 
Una mipango ya kumuoa au "HIT & RUN" fuata taratibu ujitambulishe bare in mind nakuambia hakuna kaka au mzazi anayependa mwanae achezewe chezewe na vivulana/vianaume uchwara.

NB.
Wadau wote humu tunakemea hiyo tabia yako mbaya 😊
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
 
Una mipango ya kumuoa au "HIT & RUN" fuata taratibu ujitambulishe na kuambia hakuna kaka au mzazi anayependa mwanae achezewe chezewe na vivulana/vianaume uchwara.
Mkuu nampenda na mpango wangu nikumfanya awe mke na mama watoto wangu in this two years
 
Mkuu nampenda na mpango wangu nikumfanya awe mke na mama watoto wangu in this two years
Ww kama una mipango ya kumfanya mke ndani ya miaka 2 basi jua kuna wengine watajitokeza au wameshajitokeza na wapo tiyari kumfanya mke ndani ya miezi 3 tu,ndo maana kaka yake hataki umuharibie mdogo wake.
 
Unadhani anajisikia kharahaa unavompelekea moto dadake ..... na ukute anakufahamu kwa kuwa kijogoo cha mtaa
 
Nadhani inauma kujua mdogo wako anawekwa na mtu na haijawa rasmi. Ukizingatia vijana wanaweka na kusepa, dada anaongeza body count tu hapo home, inauma. Ila kama mtu anajitokeza home na mambo yanafanyika kwa taratibu zote sidhani kama mtu anaweza kumind...
 
Back
Top Bottom