Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Familia za uswahilini ndo wana hizo mentalityYa kweli haya Mpaji Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia za uswahilini ndo wana hizo mentalityYa kweli haya Mpaji Mungu?
Huna hela dogo ukiwa na hela hawakugombezi wanakuwa machawa wako kila sehemu wapo nyuma..Wakuu tujadiliane hili kidogo
Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.
Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.
Kwa nini hali hii hutokea?
😀😀😀😀ukiunga doti unavyowafanyia dada za wenzako lazima hasira ikupande uwaze na wa kwako anafanyiwa hivyo
Anakujua wewe ni mhuni. Hakuna anayetaka Dada yake achezewe na wahuni.Wakuu tujadiliane hili kidogo
Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.
Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.
Kwa nini hali hii hutokea?
Hahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dawa yake ni kumtumia hela shemeji yako. Sio unapiga free Kendez
😀😀😀 kuwa na ushkaji na shemeji jau sana.Unamdate dadaangu afu uje kunitambishia na kunitania aisee tutakosana fanyeni yenu ila mipaka iheshimiwe sio nakukuta unakula korosho unanipiga kijembe nakukuta kwenye pweza hutulii unanirushia vimaneno Atoto
Nyuma ya pazia umri wenu bado mdogo halafu hujafuata utaratibu.Kaka mtu ni jukumu lake kufuatilia usalama wa ndugu yake ukimchapa mimba huyo bila kumuoa taabu zinahamia kwa ndugu zake na ndugu pekee atakayeelemewa ni ndugu wa kiume.Wakuu tujadiliane hili kidogo
Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.
Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.
Kwa nini hali hii hutokea?
Ndugu yeyote anayejielewa anawalinda Dada zake na wadogo zake kwa gharama yoyote... Akishakuwa mkubwa sasa atajibeba hana lawama.Nyuma ya pazia umri wenu bado mdogo halafu hujafuata utaratibu.Kaka mtu ni jukumu lake kufuatilia usalama wa ndugu yake ukimchapa mimba huyo bila kumuoa taabu zinahamia kwa ndugu zake na ndugu pekee atakayeelemewa ni ndugu wa kiume.
Uwe muelewa.
Sasa hapo ukute sister ako nae kichwani hazimo😀😀😀 kuwa na ushkaji na shemeji jau sana.
Sahihi mkuuNdugu yeyote anayejielewa anawalinda Dada zake na wadogo zake kwa gharama yoyote... Akishakuwa mkubwa sasa atajibeba hana lawama.
Shemeji asiye na manufaa hapendeki.Wakuu tujadiliane hili kidogo
Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.
Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.
Kwa nini hali hii hutokea?
Wewe huna dada yako utupe uzoefuWakuu tujadiliane hili kidogo
Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.
Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.
Kwa nini hali hii hutokea?