Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Huna hela dogo ukiwa na hela hawakugombezi wanakuwa machawa wako kila sehemu wapo nyuma..
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Anakujua wewe ni mhuni. Hakuna anayetaka Dada yake achezewe na wahuni.
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Nyuma ya pazia umri wenu bado mdogo halafu hujafuata utaratibu.Kaka mtu ni jukumu lake kufuatilia usalama wa ndugu yake ukimchapa mimba huyo bila kumuoa taabu zinahamia kwa ndugu zake na ndugu pekee atakayeelemewa ni ndugu wa kiume.

Uwe muelewa.
 
Nyuma ya pazia umri wenu bado mdogo halafu hujafuata utaratibu.Kaka mtu ni jukumu lake kufuatilia usalama wa ndugu yake ukimchapa mimba huyo bila kumuoa taabu zinahamia kwa ndugu zake na ndugu pekee atakayeelemewa ni ndugu wa kiume.

Uwe muelewa.
Ndugu yeyote anayejielewa anawalinda Dada zake na wadogo zake kwa gharama yoyote... Akishakuwa mkubwa sasa atajibeba hana lawama.
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Shemeji asiye na manufaa hapendeki.
 
Wakuu tujadiliane hili kidogo

Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara ooh! achana na dada yangu.

Na hii hali sio tu mimi imenikuta, mara nyingi nimeona hili hata kwa watu wengine wakikumbana na hisia za chuki kutoka kwa mashemeji wa kiume.

Kwa nini hali hii hutokea?
Wewe huna dada yako utupe uzoefu

??
 
Wanaume wooote isipokuwa wewe wakiume (wewe mtoa mada) ni WAFALME,ni WATAWALA.
Kama hutaki tabu fuata taratibu oa SIYO kudharau HIMAYA YA MFALME unachezea WATAWALIWA WAKE alafu unataka pongezi,hayo fanya wewe.
 
Back
Top Bottom