Kwanini Sheria za Tanzania zinalenga zaidi kulinda uovu badala ya kutetea Haki?

Kwanini Sheria za Tanzania zinalenga zaidi kulinda uovu badala ya kutetea Haki?

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:

1.

Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo sheria ili kuvibana na kuvitisha vyama vya siasa.

1. Tulikuwa na sheria inayomlinda Rais hata akifanya uovu gani asishtakiwe. Watu walikuwa wakilalamikia sheria hiyo. Wakati watu wakitaka sheria hiyo ya kinga kwa Rais kutokushtakiwa akifanya uhalifu, iondolewe, wakatunga sheria ya kuongeza watu ambao hata wafanye uovu wa namna gani dhidi ya wananchi, hawawezi kushtakiwa. Zaidi ya Rais, wakaongezwa Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu!!

2. Wakati watu wakilalamikia utendaji wa hovyo wa vyombo vya usalama, hasa polisi na TISS, wakatunga sheria kuwa sasa TISS waruhusiwe kuwakamata watu wanaowataka kwa njia za kificho, wanaweza kuwashikilia, na hata wakiwafanyia uovu wowote ule, na hata ikithibitika hao watu waliofanyiwa uovu hawakuwa na hatia yoyote, hao maofisa wa TISS, kamwe hawawezi kushtakiwa kwa huo uovu walioufanya.

3. Hivi karibuni tumeshuhudia tena, serikali ikitunga kanuni za uchaguzi ambazo zinatamka wazi kuwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi, hata wakitenda jinai wakati wa zoezi la uchaguzi, kamwe hawawezi kushtakiwa!!

Swali la kujiuliza wewe mwananchi: Hivi hii serikali ipo kwaajili ya kulinda uovu wa wakuu wa Serikali? Hivi hii Serikali ina maana ipo kwaajili ya kutenda uovu dhidi ya wananchi ndiyo maana wakati wote inaunda sheria za kulinda uovu na waovu?

FIkiria kuwa hizo sheria za kulinda waovu wa serikali, kabla ya kuwa sheria, mswada uliandaliwa na Serikali. Hivi Serikali iliyoandaa miswada ya kulinda uovu, ni serikali kweli, au genge la maharamia dhidi ya wananchi lilipo ndani ya Serikali? Baada ya mswada kuandaliwa, ulipelekwa bungeni, halafu na hao wabunge wakapitisha, hivi hao ni wabunge wa wananchi au genge linalotumika na wahalifu kuhalalisha uhalifu wao? Baada ya Bunge, miswada hiyo ilipelekwa kwa Rais, na Rais akaridhia na kusaini. Hivi huyu Rais ni Rais kwaajili ya watu gani? Ni Rais kwaajili ya wananchi au makundi ya kihalifu ndani ya Serikali? Rais unasaini vipi mswada unaolenga kufuta haki za watu unaowaongoza?

Fikiria Rais anayehalalisha TISS kuwakamata watu kwa kificho, kuwafanya lolote hao watu, halafu hao maafisa wa TISS hata ikidhihirika wamemfanyia mtu uovu, hairihusiwi kuwashtaki!! Matokeo yake, ndiyo haya tunayoyaona.

Kwa mazingira ya sasa, na sheria hizo mbaya za kulinda waovu dhidi ya wananchi, wacha wananchi wawalinde, maana waliotakiwa kuwalinda wamegeuka na kuwa dhidi yao.
 
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:

1.

Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo sheria ili kuvibana na kuvitisha vyama vya siasa.

1. Tulikuwa na sheria inayomlinda Rais hata akifanya uovu gani asishtakiwe. Watu walikuwa wakilalamikia sheria hiyo. Wakati watu wakitaka sheria hiyo ya kinga kwa Rais kutokushtakiwa akifanya uhalifu, iondolewe, wakatunga sheria ya kuongeza watu ambao hata wafanye uovu wa namna gani dhidi ya wananchi, hawawezi kushtakiwa. Zaidi ya Rais, wakaongezwa Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu!!

2. Wakati watu wakilalamikia utendaji wa hovyo wa vyombo vya usalama, hasa polisi na TISS, wakatunga sheria kuwa sasa TISS waruhusiwe kuwakamata watu wanaowataka kwa njia za kificho, wanaweza kuwashikilia, na hata wakiwafanyia uovu wowote ule, na hata ikithibitika hao watu waliofanyiwa uovu hawakuwa na hatia yoyote, hao maofisa wa TISS, kamwe hawawezi kushtakiwa kwa huo uovu walioufanya.

3. Hivi karibuni tumeshuhudia tena, serikali ikitunga kanuni za uchaguzi ambazo zinatamka wazi kuwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi, hata wakitenda jinai wakati wa zoezi la uchaguzi, kamwe hawawezi kushtakiwa!!

Swali la kujiuliza wewe mwananchi: Hivi hii serikali ipo kwaajili ya kulinda uovu wa wakuu wa Serikali? Hivi hii Serikali ina maana ipo kwaajili ya kutenda uovu dhidi ya wananchi ndiyo maana wakati wote inaunda sheria za kulinda uovu na waovu?

FIkiria kuwa hizo sheria za kulinda waovu wa serikali, kabla ya kuwa sheria, mswada uliandaliwa na Serikali. Hivi Serikali iliyoandaa miswada ya kulinda uovu, ni serikali kweli, au genge la maharamia dhidi ya wananchi lilipo ndani ya Serikali? Baada ya mswada kuandaliwa, ulipelekwa bungeni, halafu na hao wabunge wakapitisha, hivi hao ni wabunge wa wananchi au genge linalotumika na wahalifu kuhalalisha uhalifu wao? Baada ya Bunge, miswada hiyo ilipelekwa kwa Rais, na Rais akaridhia na kusaini. Hivi huyu Rais ni Rais kwaajili ya watu gani? Ni Rais kwaajili ya wananchi au makundi ya kihalifu ndani ya Serikali? Rais unasaini vipi mswada unaolenga kufuta haki za watu unaowaongoza?

Fikiria Rais anayehalalisha TISS kuwakamata watu kwa kificho, kuwafanya lolote hao watu, halafu hao maafisa wa TISS hata ikidhihirika wamemfanyia mtu uovu, hairihusiwi kuwashtaki!! Matokeo yake, ndiyo haya tunayoyaona.

Kwa mazingira ya sasa, na sheria hizo mbaya za kulinda waovu dhidi ya wananchi, wacha wananchi wawalinde, maana waliotakiwa kuwalinda wamegeuka na kuwa dhidi yao.
Wanaotawala ni wema au waovu?
 
sheria ya wake za viongozi wakuu kupokea mafao ya uzeeni ,maana serikali inatambua mchango wao wa kuishi na jitu ambalo halijielewi linataka nini kwa maslahi ya nchi yake ni kazi kubwa na uvumilivu mkubwa zaidi alionao mke wa mlevi.
 
sheria ya wake za viongozi wakuu kupokea mafao ya uzeeni ,maana serikali inatambua mchango wao wa kuishi na jitu ambalo halijielewi linataka nini kwa maslahi ya nchi yake ni kazi kubwa na uvumilivu mkubwa zaidi alionao mke wa mlevi.
Na hii ndiyo Rais Obama alisema kuwa watawala wa Afrika wakati wote wanafikiria namna watakavyoendelea kubakia madarakani, wakati viongozi wa mabara mengine wakati wote wanafikiria ni namna gani watayaletea maendeleo mataifa yao.

Mbaya zaidi watawala wa Afrika, hasa hapa Tanzania, viongozi wapo tayari kuteka, kutesa na kuua watu kwa sababu ya kubakia madarakani. Ona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa walivgowatumia polisi kuua, na kukamata wapinzani ili tu wapate ushindi bandia wa 99%.
 
Hizo sheria zitawageuka vibaya sana. Kuna jamaa miaka fulani waliibuka tukawaona wajinga kumbe tulipaswa kuwaunga mkono. Ipo siku inshallah
 
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:

1.

Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo sheria ili kuvibana na kuvitisha vyama vya siasa.

1. Tulikuwa na sheria inayomlinda Rais hata akifanya uovu gani asishtakiwe. Watu walikuwa wakilalamikia sheria hiyo. Wakati watu wakitaka sheria hiyo ya kinga kwa Rais kutokushtakiwa akifanya uhalifu, iondolewe, wakatunga sheria ya kuongeza watu ambao hata wafanye uovu wa namna gani dhidi ya wananchi, hawawezi kushtakiwa. Zaidi ya Rais, wakaongezwa Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu!!

2. Wakati watu wakilalamikia utendaji wa hovyo wa vyombo vya usalama, hasa polisi na TISS, wakatunga sheria kuwa sasa TISS waruhusiwe kuwakamata watu wanaowataka kwa njia za kificho, wanaweza kuwashikilia, na hata wakiwafanyia uovu wowote ule, na hata ikithibitika hao watu waliofanyiwa uovu hawakuwa na hatia yoyote, hao maofisa wa TISS, kamwe hawawezi kushtakiwa kwa huo uovu walioufanya.

3. Hivi karibuni tumeshuhudia tena, serikali ikitunga kanuni za uchaguzi ambazo zinatamka wazi kuwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi, hata wakitenda jinai wakati wa zoezi la uchaguzi, kamwe hawawezi kushtakiwa!!

Swali la kujiuliza wewe mwananchi: Hivi hii serikali ipo kwaajili ya kulinda uovu wa wakuu wa Serikali? Hivi hii Serikali ina maana ipo kwaajili ya kutenda uovu dhidi ya wananchi ndiyo maana wakati wote inaunda sheria za kulinda uovu na waovu?

FIkiria kuwa hizo sheria za kulinda waovu wa serikali, kabla ya kuwa sheria, mswada uliandaliwa na Serikali. Hivi Serikali iliyoandaa miswada ya kulinda uovu, ni serikali kweli, au genge la maharamia dhidi ya wananchi lilipo ndani ya Serikali? Baada ya mswada kuandaliwa, ulipelekwa bungeni, halafu na hao wabunge wakapitisha, hivi hao ni wabunge wa wananchi au genge linalotumika na wahalifu kuhalalisha uhalifu wao? Baada ya Bunge, miswada hiyo ilipelekwa kwa Rais, na Rais akaridhia na kusaini. Hivi huyu Rais ni Rais kwaajili ya watu gani? Ni Rais kwaajili ya wananchi au makundi ya kihalifu ndani ya Serikali? Rais unasaini vipi mswada unaolenga kufuta haki za watu unaowaongoza?

Fikiria Rais anayehalalisha TISS kuwakamata watu kwa kificho, kuwafanya lolote hao watu, halafu hao maafisa wa TISS hata ikidhihirika wamemfanyia mtu uovu, hairihusiwi kuwashtaki!! Matokeo yake, ndiyo haya tunayoyaona.

Kwa mazingira ya sasa, na sheria hizo mbaya za kulinda waovu dhidi ya wananchi, wacha wananchi wawalinde, maana waliotakiwa kuwalinda wamegeuka na kuwa dhidi yao.
Kwakweli tumepigwa na kitu kizito, wananchi hatuna mtetezi, hata wabunge wetu wametupa kisogo.
 
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:

1.

Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo sheria ili kuvibana na kuvitisha vyama vya siasa.

1. Tulikuwa na sheria inayomlinda Rais hata akifanya uovu gani asishtakiwe. Watu walikuwa wakilalamikia sheria hiyo. Wakati watu wakitaka sheria hiyo ya kinga kwa Rais kutokushtakiwa akifanya uhalifu, iondolewe, wakatunga sheria ya kuongeza watu ambao hata wafanye uovu wa namna gani dhidi ya wananchi, hawawezi kushtakiwa. Zaidi ya Rais, wakaongezwa Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu!!

2. Wakati watu wakilalamikia utendaji wa hovyo wa vyombo vya usalama, hasa polisi na TISS, wakatunga sheria kuwa sasa TISS waruhusiwe kuwakamata watu wanaowataka kwa njia za kificho, wanaweza kuwashikilia, na hata wakiwafanyia uovu wowote ule, na hata ikithibitika hao watu waliofanyiwa uovu hawakuwa na hatia yoyote, hao maofisa wa TISS, kamwe hawawezi kushtakiwa kwa huo uovu walioufanya.

3. Hivi karibuni tumeshuhudia tena, serikali ikitunga kanuni za uchaguzi ambazo zinatamka wazi kuwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi, hata wakitenda jinai wakati wa zoezi la uchaguzi, kamwe hawawezi kushtakiwa!!

Swali la kujiuliza wewe mwananchi: Hivi hii serikali ipo kwaajili ya kulinda uovu wa wakuu wa Serikali? Hivi hii Serikali ina maana ipo kwaajili ya kutenda uovu dhidi ya wananchi ndiyo maana wakati wote inaunda sheria za kulinda uovu na waovu?

FIkiria kuwa hizo sheria za kulinda waovu wa serikali, kabla ya kuwa sheria, mswada uliandaliwa na Serikali. Hivi Serikali iliyoandaa miswada ya kulinda uovu, ni serikali kweli, au genge la maharamia dhidi ya wananchi lilipo ndani ya Serikali? Baada ya mswada kuandaliwa, ulipelekwa bungeni, halafu na hao wabunge wakapitisha, hivi hao ni wabunge wa wananchi au genge linalotumika na wahalifu kuhalalisha uhalifu wao? Baada ya Bunge, miswada hiyo ilipelekwa kwa Rais, na Rais akaridhia na kusaini. Hivi huyu Rais ni Rais kwaajili ya watu gani? Ni Rais kwaajili ya wananchi au makundi ya kihalifu ndani ya Serikali? Rais unasaini vipi mswada unaolenga kufuta haki za watu unaowaongoza?

Fikiria Rais anayehalalisha TISS kuwakamata watu kwa kificho, kuwafanya lolote hao watu, halafu hao maafisa wa TISS hata ikidhihirika wamemfanyia mtu uovu, hairihusiwi kuwashtaki!! Matokeo yake, ndiyo haya tunayoyaona.

Kwa mazingira ya sasa, na sheria hizo mbaya za kulinda waovu dhidi ya wananchi, wacha wananchi wawalinde, maana waliotakiwa kuwalinda wamegeuka na kuwa dhidi yao.
Kwa sababu wengi wa watunga sheria na wenye mamlaka ndio ni waovu.
 
Ndo ujue waliopo bungeni hawapo kwa ajili ya wananchi. Hii nchi ni yao wanaimiliki na kuiendesha kwa faida yao.

Ipo siku wenye nchi halisi wataamka na hakutakalika
 
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:

1.

Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo sheria ili kuvibana na kuvitisha vyama vya siasa.

1. Tulikuwa na sheria inayomlinda Rais hata akifanya uovu gani asishtakiwe. Watu walikuwa wakilalamikia sheria hiyo. Wakati watu wakitaka sheria hiyo ya kinga kwa Rais kutokushtakiwa akifanya uhalifu, iondolewe, wakatunga sheria ya kuongeza watu ambao hata wafanye uovu wa namna gani dhidi ya wananchi, hawawezi kushtakiwa. Zaidi ya Rais, wakaongezwa Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu!!

2. Wakati watu wakilalamikia utendaji wa hovyo wa vyombo vya usalama, hasa polisi na TISS, wakatunga sheria kuwa sasa TISS waruhusiwe kuwakamata watu wanaowataka kwa njia za kificho, wanaweza kuwashikilia, na hata wakiwafanyia uovu wowote ule, na hata ikithibitika hao watu waliofanyiwa uovu hawakuwa na hatia yoyote, hao maofisa wa TISS, kamwe hawawezi kushtakiwa kwa huo uovu walioufanya.

3. Hivi karibuni tumeshuhudia tena, serikali ikitunga kanuni za uchaguzi ambazo zinatamka wazi kuwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi, hata wakitenda jinai wakati wa zoezi la uchaguzi, kamwe hawawezi kushtakiwa!!

Swali la kujiuliza wewe mwananchi: Hivi hii serikali ipo kwaajili ya kulinda uovu wa wakuu wa Serikali? Hivi hii Serikali ina maana ipo kwaajili ya kutenda uovu dhidi ya wananchi ndiyo maana wakati wote inaunda sheria za kulinda uovu na waovu?

FIkiria kuwa hizo sheria za kulinda waovu wa serikali, kabla ya kuwa sheria, mswada uliandaliwa na Serikali. Hivi Serikali iliyoandaa miswada ya kulinda uovu, ni serikali kweli, au genge la maharamia dhidi ya wananchi lilipo ndani ya Serikali? Baada ya mswada kuandaliwa, ulipelekwa bungeni, halafu na hao wabunge wakapitisha, hivi hao ni wabunge wa wananchi au genge linalotumika na wahalifu kuhalalisha uhalifu wao? Baada ya Bunge, miswada hiyo ilipelekwa kwa Rais, na Rais akaridhia na kusaini. Hivi huyu Rais ni Rais kwaajili ya watu gani? Ni Rais kwaajili ya wananchi au makundi ya kihalifu ndani ya Serikali? Rais unasaini vipi mswada unaolenga kufuta haki za watu unaowaongoza?

Fikiria Rais anayehalalisha TISS kuwakamata watu kwa kificho, kuwafanya lolote hao watu, halafu hao maafisa wa TISS hata ikidhihirika wamemfanyia mtu uovu, hairihusiwi kuwashtaki!! Matokeo yake, ndiyo haya tunayoyaona.

Kwa mazingira ya sasa, na sheria hizo mbaya za kulinda waovu dhidi ya wananchi, wacha wananchi wawalinde, maana waliotakiwa kuwalinda wamegeuka na kuwa dhidi yao.
Hadi kujiwekea kinga mbalimbali wasishitakiwe kwa wanayoyafanya, ndio maana kila mmoja anajifanyia tu mambo maana anajua hatashitakiwa.
 
Hadi kujiwekea kinga mbalimbali wasishitakiwe kwa wanayoyafanya, ndio maana kila mmoja anajifanyia tu mambo maana anajua hatashitakiwa.
Kile kitendo cha kujiwekea kinga tu, ina maana wamejiandaa kufanya uovu dhidi ya wananchi.

Mtu anayepanga uovu ana uhalali gani wa kuitwa kiongozi?
 
Ndo ujue waliopo bungeni hawapo kwa ajili ya wananchi. Hii nchi ni yao wanaimiliki na kuiendesha kwa faida yao.

Ipo siku wenye nchi halisi wataamka na hakutakalika
Ni kweli kabisa, haiwezekani watu waukubali uovu milele. Kuna siku lazima wananchi wataamka dhidi yao hawa waovu.
 
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:

1.

Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo sheria ili kuvibana na kuvitisha vyama vya siasa.

1. Tulikuwa na sheria inayomlinda Rais hata akifanya uovu gani asishtakiwe. Watu walikuwa wakilalamikia sheria hiyo. Wakati watu wakitaka sheria hiyo ya kinga kwa Rais kutokushtakiwa akifanya uhalifu, iondolewe, wakatunga sheria ya kuongeza watu ambao hata wafanye uovu wa namna gani dhidi ya wananchi, hawawezi kushtakiwa. Zaidi ya Rais, wakaongezwa Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu!!

2. Wakati watu wakilalamikia utendaji wa hovyo wa vyombo vya usalama, hasa polisi na TISS, wakatunga sheria kuwa sasa TISS waruhusiwe kuwakamata watu wanaowataka kwa njia za kificho, wanaweza kuwashikilia, na hata wakiwafanyia uovu wowote ule, na hata ikithibitika hao watu waliofanyiwa uovu hawakuwa na hatia yoyote, hao maofisa wa TISS, kamwe hawawezi kushtakiwa kwa huo uovu walioufanya.

3. Hivi karibuni tumeshuhudia tena, serikali ikitunga kanuni za uchaguzi ambazo zinatamka wazi kuwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi, hata wakitenda jinai wakati wa zoezi la uchaguzi, kamwe hawawezi kushtakiwa!!

Swali la kujiuliza wewe mwananchi: Hivi hii serikali ipo kwaajili ya kulinda uovu wa wakuu wa Serikali? Hivi hii Serikali ina maana ipo kwaajili ya kutenda uovu dhidi ya wananchi ndiyo maana wakati wote inaunda sheria za kulinda uovu na waovu?

FIkiria kuwa hizo sheria za kulinda waovu wa serikali, kabla ya kuwa sheria, mswada uliandaliwa na Serikali. Hivi Serikali iliyoandaa miswada ya kulinda uovu, ni serikali kweli, au genge la maharamia dhidi ya wananchi lilipo ndani ya Serikali? Baada ya mswada kuandaliwa, ulipelekwa bungeni, halafu na hao wabunge wakapitisha, hivi hao ni wabunge wa wananchi au genge linalotumika na wahalifu kuhalalisha uhalifu wao? Baada ya Bunge, miswada hiyo ilipelekwa kwa Rais, na Rais akaridhia na kusaini. Hivi huyu Rais ni Rais kwaajili ya watu gani? Ni Rais kwaajili ya wananchi au makundi ya kihalifu ndani ya Serikali? Rais unasaini vipi mswada unaolenga kufuta haki za watu unaowaongoza?

Fikiria Rais anayehalalisha TISS kuwakamata watu kwa kificho, kuwafanya lolote hao watu, halafu hao maafisa wa TISS hata ikidhihirika wamemfanyia mtu uovu, hairihusiwi kuwashtaki!! Matokeo yake, ndiyo haya tunayoyaona.

Kwa mazingira ya sasa, na sheria hizo mbaya za kulinda waovu dhidi ya wananchi, wacha wananchi wawalinde, maana waliotakiwa kuwalinda wamegeuka na kuwa dhidi yao.
Very bright.
 
Madhara ya sheria za aina hiyo yatakuja kuonekana mtaani. Ishu ya wafanyakazi wa TRA kushambuliwa na raia, ni mwanzo tu bila shaka.
 
Madhara ya sheria za aina hiyo yatakuja kuonekana mtaani. Ishu ya wafanyakazi wa TRA kushambuliwa na raia, ni mwanzo tu bila shaka.
Wananchi wanapojua kuwa sheria zote zipo kwaajili ya kuwalinda waovu wa serikali dhidi yao, lazima watajilinda dhidi ya uovu wa Serikali, na kufanya hivyo ni sahihi kabisa, hawawezi kulaumiwa, na kwa kweli wanastahili kutiwa moyo kujilinda.
 
Wananchi amkeni msitegemee wabunge wala vyama
Na kwa kweli wananchi kama wakiacha kujilinda, kwa aina ya serikali tuliyo nayo na aina ya viongozi tulio nao, watazidi kuangamia na kuuliwa hovyo na serikali.
 
Back
Top Bottom