uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Duh,ifm tena?IMFUkitaka kujua tulifikaje hapa inabidi uanzie kwenye vita ya kagera na after effects zake then uje kwenye masharti ya ifm na wb kwa Nyerere kutaka serikali ishushe thamani ya shilingi yake ili ipate misaada..since then tumeweza ku maintain the gape difference bt not catch up to them.
Lakini ina advantage hiyo difference. Utaiona difference wote mki exchange na dollar kununua kituMimi huwa naona ni digits tu ndio huwa tunatofautiana,ila sio Uchumi kukua.kwa mfano,
Shilingi 10000 ya Tanzania ni Sawa na Ksh 450 lakini hapo haimaanishi hiyo 450 ni rahisi kupatikana ukiwa kenya.ni kwamba malipo yaleyale ya tsh 10000 kwa tanzania na kwa kenya ni 450.yani mzazi fukara wa kenya hawezi kumpa mwanae 450 akatumie shuleni ni hela kubwa pia kwao.
Hapana, mkenya akinunua huku mahindi hapati advantage nawew ukinunua mahindi kenya hupati hasara. Maana pesa zitabadilishwa na utanunua kwa bei husika. Yaan ipo hivi fedha ya nchi fulani kuwa juu hapo ni kurahisisha "Transportation" (ubebaji wa pesa) na wala sio kwenye "expenditures" (matumiz). Kwa mfano Gari inauzwa Tsh mil 100, yaan hapo mtanzania atakuwa na noti nyingi sana yaani zimejaa begi lakini Mkenya thamani ya pesa yake ya kununua gari hilo anaweka kwenye wallet tuu. Bei ni moja ila ubebwaji wa pesa ndo shida. Pia unaweza kutoka dar mpka mombasa kwa Tsh Elf 50 yaan hapo umetoa noti karibia 5 za elf 10 lakin yeye akatoa noti moja tuu ya ksh elf 5 Yaan hapo wote mmelipa nauli saw kwa umbali huo huo.Wakuu turejee.
Huwa najiuliza. Wanaohusika ku adjust (kupandisha na kushusha) thamani ya pesa kwenye mataifa ya kidunia ni nani (najua hii process haifanyei na mungu inafanywa na binadamu)
Pia nilikua najiuliza, Kenya mbona sometimes uchumi wake unayumba lakini thamani yake ya pesa inanaki palepale licha ya kwamba tanzania kuna mali za kutosha na nguvu kazi. Na sisi ndo tunalisha almost east africa nzima. Kama sisi ndo tunategemewa kwa nn sisi ndo pesa yetu isiwe na value kuliko pesa ya nchi yoyote inayo tuzunguka east afrika. Tunafeli wapi.
Pia tunajua nchi kama Kenya thamani yake ya pesa ni kubwa kuliko yetu inakua na advantage kubwa sana kutulalia. Kwa maana ya kwamba. Kwa kazi ile ile atakayofanya Mkenya na Mtanzania.
Mkenya ata gain more akitumia pesa yake. Kwa maana ya kwamba mkenya akija na pesa yaje Tanzania anaweza akanunua magunia ya chakula mengi zaidi kuliko wewe ukienda kenya na tsh. Kwa hiyo hii inampa mkenya advantage ya kutofanya kazi nyingi kama mtz.
Hii ni opinion yangu. Kama una i challenge. Naomba uje kwenye mada.
Lets say mtanzania una laki moja na mkenya ana laki moja. Mkenya pesa yake ina power kuliko yako. Kwa maana ya kwamba wote mki exchange na dollar mkenya anakua ana dollar nyingi kuliko ww. So kama ana dollar nyingi inamaana anaweza akanunua vitu vingi kutoka kwako kuliko ww utakavonunua kutoka kwake. Kwa maana hiyo. Atakufanya ww ulazimike kufanya kazi nyingi kuliko yeye ili ku cover kiasi alicholuzidi kwenye biashara.Mimi huwa naona ni digits tu ndio huwa tunatofautiana,ila sio Uchumi kukua.kwa mfano,
Shilingi 10000 ya Tanzania ni Sawa na Ksh 450 lakini hapo haimaanishi hiyo 450 ni rahisi kupatikana ukiwa kenya.ni kwamba malipo yaleyale ya tsh 10000 kwa tanzania na kwa kenya ni 450.yani mzazi fukara wa kenya hawezi kumpa mwanae 450 akatumie shuleni ni hela kubwa pia kwao.
[emoji23][emoji23]. Ume troll mazee.Hapana, mkenya akinunua huku mahindi hapati advantage nawew ukinunua mahindi kenya hupati hasara. Maana pesa zitabadilishwa na utanunua kwa bei husika. Yaan ipo hivi fedha ya nchi fulani kuwa juu hapo ni kurahisisha "Transportation" (ubebaji wa pesa) na wala sio kwenye "expenditures" (matumiz). Kwa mfano Gari inauzwa Tsh mil 100, yaan hapo mtanzania atakuwa na noti nyingi sana yaani zimejaa begi lakini Mkenya thamani ya pesa yake ya kununua gari hilo anaweka kwenye wallet tuu. Bei ni moja ila ubebwaji wa pesa ndo shida. Pia unaweza kutoka dar mpka mombasa kwa Tsh Elf 50 yaan hapo umetoa noti karibia 5 za elf 10 lakin yeye akatoa noti moja tuu ya ksh elf 5 Yaan hapo wote mmelipa nauli saw kwa umbali huo huo.
umesahau kua kuipata iyo KSh. 1000 ni mtiti, ni mziki, uleule sawa na kuipata TSh 22000 ukiwa TzMkenya ata gain more akitumia pesa yake. Kwa maana ya kwamba mkenya akija na pesa yaje Tanzania anaweza akanunua magunia ya chakula
Sina elimu ya uchumi ila naona umeandika vitu ambavyo havi-make sense.Lets say mtanzania una laki moja na mkenya ana laki moja. Mkenya pesa yake ina power kuliko yako. Kwa maana ya kwamba wote mki exchange na dollar mkenya anakua ana dollar nyingi kuliko ww. So kama ana dollar nyingi inamaana anaweza akanunua vitu vingi kutoka kwako kuliko ww utakavonunua kutoka kwake. Kwa maana hiyo. Atakufanya ww ulazimike kufanya kazi nyingi kuliko yeye ili ku cover kiasi alicholuzidi kwenye biashara.
Au put it this way. Imagine dunia ingekua na pesa moja. Ingekua rahidi kunielewa. Kwa sababu kungekua hakuna haja ya kutumia nguvu kukuelewesha maana mkenya sasa angetakiwa kuja na laki moja ya tanzania kununua magunia 2 ya mahindi na sisi tungeweza kwenda kenya na laki moja kununua magunia mawili ya mahindi.
Lakini kwa sababu thamani ni tofauti. Ndo maana mkemya anaweza kuja na laki moja akanunua magunia 10 ya mahindi wakati wewe ukienda na laki moja kenya unanunua gunia moja.( mfano)
[emoji23][emoji23]. Ume troll
Jamaa kaandika upupu sana..anadhani laki moja ya kenya unaweza kumhonga mchepuko wa Buza kama laki ya bongo?..Hell no.WW ndio hujaelewa. Hiyo laki moja ya Kenya imepatikana kwa kufanya kazi kubwa kuliko huyu aliye na laki ya Tz
Chegele aje ajibu maswali huku. Hii issue ya exchange rates ni mtihani kwa wachumi wengi. Utasikia export and import zimefanyaje huko halafu huyooooo ameshamalizaJamaa kaandika upupu sana..anadhani laki moja ya kenya unaweza kumhonga mchepuko wa Buza kama laki ya bongo?..Hell no.
Ni International Monentary Fund) [IMF] inachanganya mno kweli.Ukitaka kujua tulifikaje hapa inabidi uanzie kwenye vita ya kagera na after effects zake then uje kwenye masharti ya ifm na wb kwa Nyerere kutaka serikali ishushe thamani ya shilingi yake ili ipate misaada..since then tumeweza ku maintain the gape difference bt not catch up to them.
Mkuu iwe mtiti isiwe mtiti. Inatakiwa ujiulize ni kwann basi kusiwe na thamani moja basi. Swali linaanzia pale kwann kuwe na tofauti ya thamani. Swala sio ugumu wa upatikanaji. Hata dollar mbona inatuzidi thamani lakini mbona ni rahisi kuipata ukiwa marekani. Ugumu wa kupata pesa sio kipimoumesahau kua kuipata iyo KSh. 1000 ni mtiti, ni mziki, uleule sawa na kuipata TSh 22000 ukiwa Tz
issue ya uchumi haina uhusiano na izo exchange
ivi unajua 1 Japanese Yen sawa na 0.99 Ksh
ila utaonekana kituko kama mataga kusema uchumi wa Kenya umezidi Japan
jidanganyeHata dollar mbona inatuzidi thamani lakini mbona ni rahisi kuipata ukiwa marekani
So unataka kunambia kenya shilling hara ikiendelea kuongezeka thamani mara dufu bila measures zozote itakua haina athari?Sina elimu ya uchumi ila naona umeandika vitu ambavyo havi-make sense.
Laki ya Kenya unadhani kuipata ni sawa sawa na kuipata ya Tanzania?..
Umeenda chaka ndungu. Kuhusu kurahisisha ubebaji wa pesa siku hizi kuna e wallet kibao, digital currencies, watu wana swap tu kadi kufanya miamala ya mamilion, paypal etc.Hapana, mkenya akinunua huku mahindi hapati advantage nawew ukinunua mahindi kenya hupati hasara. Maana pesa zitabadilishwa na utanunua kwa bei husika. Yaan ipo hivi fedha ya nchi fulani kuwa juu hapo ni kurahisisha "Transportation" (ubebaji wa pesa) na wala sio kwenye "expenditures" (matumiz). Kwa mfano Gari inauzwa Tsh mil 100, yaan hapo mtanzania atakuwa na noti nyingi sana yaani zimejaa begi lakini Mkenya thamani ya pesa yake ya kununua gari hilo anaweka kwenye wallet tuu. Bei ni moja ila ubebwaji wa pesa ndo shida. Pia unaweza kutoka dar mpka mombasa kwa Tsh Elf 50 yaan hapo umetoa noti karibia 5 za elf 10 lakin yeye akatoa noti moja tuu ya ksh elf 5 Yaan hapo wote mmelipa nauli saw kwa umbali huo huo.
Hara=hata( typing error)So unataka kunambia kenya shilling hara ikiendelea kuongezeka thamani mara dufu bila measures zozote itakua haina athari?
Maana ndo opinion za wengi humu. Kwamba ongezeko la thamani ya pesa kwa nchi fulani halina impact kwenye uchumi.
Obvious. Mtania ataumia na kulaliwa/kupumzikiwa na kenyaUmeenda chaka ndungu. Kuhusu kurahisisha ubebaji wa pesa siku hizi kuna e wallet kibao, digital currencies, watu wana swap tu kadi kufanya miamala ya mamilion, paypal etc.
Hizi variation kwenye value za pesa baina ya nchi zinaathari kubwa sana kiuchumi, ndio maana kila nchi inapambana na vitu kama inflation kulinda thamani ya pesa yake.
Nadhani bado hujanielewa ngoja nikupe mfano leo thamani ya tzs against us dollar ikiporomoka kutoka 2300 ikafika 2500 tutakao umia ni sisi watanzania maana kama ulikuwa unalipa nauli let say from tz to usa 230k itabidi utafute extra ya 20k ujazilishie kwenye nauli.
Ebu jiulize mfano leo pesa ya tz against usd ikapanda kutoka 2300 ikarudi 1500 halafu pesa ya Kenya against usd ikaporomoka kutoka 108 hadi 150 unadhani nini kitatokea kati ya tzs to ksh unadhani nani ataumia?
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
True. Obvious mtanzania ndo atakae umia.Umeenda chaka ndungu. Kuhusu kurahisisha ubebaji wa pesa siku hizi kuna e wallet kibao, digital currencies, watu wana swap tu kadi kufanya miamala ya mamilion, paypal etc.
Hizi variation kwenye value za pesa baina ya nchi zinaathari kubwa sana kiuchumi, ndio maana kila nchi inapambana na vitu kama inflation kulinda thamani ya pesa yake.
Nadhani bado hujanielewa ngoja nikupe mfano leo thamani ya tzs against us dollar ikiporomoka kutoka 2300 ikafika 2500 tutakao umia ni sisi watanzania maana kama ulikuwa unalipa nauli let say from tz to usa 230k itabidi utafute extra ya 20k ujazilishie kwenye nauli.
Ebu jiulize mfano leo pesa ya tz against usd ikapanda kutoka 2300 ikarudi 1500 halafu pesa ya Kenya against usd ikaporomoka kutoka 108 hadi 150 unadhani nini kitatokea kati ya tzs to ksh unadhani nani ataumia?
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app