Kuhusu nani anaudjust sijui.
kuhusu pesa fulani kua kubwa kuliko nyingine,...hio haireflect uchumi wa sehemu ama nchi husika....kinachoangaliwa ni PPP=Purchasing Power Parity,...uwezo wa hio pesa kufanya manunuzi katika sehemu husika,usd 2,ni sawa sawa na Iran rial 80,000 lakini usd 2 Iran unapata kikombe cha kahawa,marekani hupati....hapo means kwa value ile ile purchasing power ya rial ipo juu Kuliko US dollar.......ukubwa wa pesa haupimwi kwa wingi wa masifuri bali hupimwa kwa wingi wa uwezo wa manunuzi