Kwanini Shilingi ya Kenya ina thamani kuliko Shilingi ya Tanzania?

Wakuu hapa nina noti ya 2mil ya zimbabwe sema imechakaa
Msaada nikipeleka kuchange napata sh ngapi?
2,000,000 zimbwabwe dollar=tsh?
 
Maelezo hayatoshi mkuu
 
Nadhani umezungumzia kwenye ground (uhalisia), safi sana. Hata mtu ambaye hana background of economics ataelewa πŸ‘πŸ½
 
Uzuri hela ya Kenya inaenda kushuka mdogo mdogo sema huwezi kunufaika na hili Kama huna inshu kununua kutoka kenya kuja kuuza Tanzania Mana we utanunua kwa gharama chini Kenya na kuja kuuza kwa bei Ile Ile ulokuwa unauza awali.

Saiz exchange rate n Ksh 1 kwa Tsh 21.45
 
Kulingana na nadharia ya Purchasing Power Parity (PPP), fedha za nchi zina thamani inayolingana. Thamani ya pesa inapimwa kulingana na baskets of goods and services it can buy. Kama mbuzi mmoja kwa pesa ya Kenya anauzwa sh elf moja na mbuzi 'huyo huyo' kwa Tanzania akawa anauzwa kwa Tsh elfu ishirini then 1,000 ya Kenya itakuwa sawa na Tsh 20,000 ya Tanzania.
 
Mkenya mwenye laki ni sawa na matanzani mwenye milioni mbili na laki tatu,zingatia hilo kwanza.

Yaani nguvu na thamani ya kuitafuta hiyo pesa inakwenda kwa ratio hiyo.
Usiseme mkenya akiwa na laki na mtanzania akiwa na laki.
 
Ndio maana pesa ya biashara ikawa $.
Lakini kuna mahela kibao yanaizidi thamani.

Lengo ni kuweka rula kwenye biashara.ukiona unazipata $ kwa urahisi tu,ujue uko pazuri.
 
Umuhimu wa kusoma unaonekanaga kwenye mada kama hizi.
Umuhimu wa kusoma nini? Kama ni kusoma hii elimu ya darasani basi usimlaumu aliyetoa hiyo comment. Huwezi kujua kila kitu hapa duniani hata wewe binafsi hujui mambo mengi tu tena basic kwenye profession ambazo hujazisomea au hata kwenye profession yako pia. Hivyo usimdhihaki mtu mwingine ambaye ameuliza swali kwa lengo la kujifunza.
 
Yeye mwenyewe alielewa...nan amebeza? Khaa hebu punguza hate za ajabu ajabu ...mie nimelerate na yanayoendelea sasa jf wasomi vs vilaza! Hebu nitue
 
[emoji23][emoji23]
 
Aje Zitto hapa atudadavulie hii mada
 
Hujajibu
 
Yeye hajui ,mjibuni ache mbwembwe
 
Kuhusu nani anaudjust sijui.
kuhusu pesa fulani kua kubwa kuliko nyingine,...hio haireflect uchumi wa sehemu ama nchi husika....kinachoangaliwa ni PPP=Purchasing Power Parity,...uwezo wa hio pesa kufanya manunuzi katika sehemu husika,usd 2,ni sawa sawa na Iran rial 80,000 lakini usd 2 Iran unapata kikombe cha kahawa,marekani hupati....hapo means kwa value ile ile purchasing power ya rial ipo juu Kuliko US dollar.......ukubwa wa pesa haupimwi kwa wingi wa masifuri bali hupimwa kwa wingi wa uwezo wa manunuzi
 
N nouma juzi nilituma pesa kwenda kenya kupitia m-pesa. Mambo yalikuwa hivi
1.100,000tsh=4,444ksh
2.350,000tsh=15,400ksh.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hio 4,444ksh ni pesa ya mshahara mkubwa tu wa mtu Kenya,na huwezi kumiliki hata kipande cha ardhi kulima.
Ila laki 1 Tanzania ni mshahara wa kibarua tu,na hio laki moja unaweza kodi/kununua ardhi mwaka mzima na kulima.....hapo utaona pesa ipi ina thamani Kati ya Ksh ama Tsh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…