Sijawahi fika Mwanza ila Kahama siku ya kwanza kufika nilipapenda yani kupo kama Daslama tu kuna ile bar yao moja ipo karibu na stendi ya mabasi jina nimeisahau aisee iko poa sana yani nikiendaga najionaga kama vile nipo Daslama aiseee
Aman iwe juu yenu
Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa
Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa
Tena show nyingi hufanyika za one man show
Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja
Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka
Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu
Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia
Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini
Nawasilisha
Mayala B
Mweeh basi hata wale wa gamboshi nao walitimbaHahhahhaa nadhah wanajaza kwasababu wana kaushamba fulan..alipokuja diamond kahama juzi hapa nadhan ni mm tu sikua na shobo.nae..had wazee walitimba
Nao ni ushamba wa madaraka.Washamba? Ambao ndo akina bashite wanaowasumbua mjini daresalama
Manyumbu wengi huko!!...Aman iwe juu yenu
Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa
Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa
Tena show nyingi hufanyika za one man show
Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja
Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka
Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu
Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia
Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini
Nawasilisha
Mayala B
Ndo umasikin umeshakuja tayar huna la kufanya sasamkuu epukana na propaganda za TBS...tanzania breau of statistics taarifa wanapika hao..,
back to the topic..Mwanza ndo mji ambao fursa nje nje...pesa ipo umasikini ukosekane dodoma kwenye nyumba za tembe uje Mwanza kweli? uwaache waha uje kwa wanangu wasukuma kweli?
Hahhahhaa nadhah wanajaza kwasababu wana kaushamba fulan..alipokuja diamond kahama juzi hapa nadhan ni mm tu sikua na shobo.nae..had wazee walitimba
Kagongwa✌
Duuh! Nitakuja kukutembelea mkuu ili tujuane vizuri zaidi, Mimi nipo camp jirani hapa Acacia-Buzwagi gold mine.
unachimba dini gani huko?Kagongwa✌
Mkuu kwa mkutadha huu nadhani mshamba ni wewe kama unaamini mshamba ni mtu anayelipa hela kuangalia show ya msanii wa nyumbani.Mwanza wasukuma bado washamba sana kuna wasanii wao huku wanaimba kisukuma yani wanapiga hela mbaya
Wewe acha roho za kimaskini. Si ushamba mtu kuangalia show. Vipi na wale wanaohudhuria show kwa nchi zilizoendelea kisanaa na wao wa shamba eehMe nimezaliwa mwanza Mabatin,Ila kinacho fanya mwanza ijaze kwenye show za wasanii ni kutokana na uwepo wa vijana weng wanao toka vijiji vya mikoa ya jiran,kigoma,shinyanga,tabora n,k,Hawa vijana weng huja na ushamba flan, Na kutokana na upataji wa pesa ulivo rahis hapa mwanza vijana hawa hujikuta wana shobokea vitu kama hivyo,hata kahama ni hivo hvo.