Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,109
- 5,284
- Thread starter
- #61
Jitaid ufike mkuu ujionee uzur wa jiji
Sijawahi fika Mwanza ila Kahama siku ya kwanza kufika nilipapenda yani kupo kama Daslama tu kuna ile bar yao moja ipo karibu na stendi ya mabasi jina nimeisahau aisee iko poa sana yani nikiendaga najionaga kama vile nipo Daslama aiseee