Kwanini show nyingi za wasanii wa muziki hufanyika sana Mwanza na Kahama?

Kwanini show nyingi za wasanii wa muziki hufanyika sana Mwanza na Kahama?

Jitaid ufike mkuu ujionee uzur wa jiji
Sijawahi fika Mwanza ila Kahama siku ya kwanza kufika nilipapenda yani kupo kama Daslama tu kuna ile bar yao moja ipo karibu na stendi ya mabasi jina nimeisahau aisee iko poa sana yani nikiendaga najionaga kama vile nipo Daslama aiseee
 
Sijui umetumia tafiti ipi kuwa mwanza na kahama kiujumla kanda ya ziwa,, ni tajiri mno sio utajiri wa maghorofa kama Dar. Jiulize why dodoma inakusanya pesa nyingi kuliko Dar utapata jibu kuwa utajiri ni watu na sio majengo rasilimali tulizonazo hasa madini na mwanza uvuvi ndiyo yanayofanya wasanii wenu wa Dar kushoboka na kanda ya ziwa Cause kuna madoni pia kuna mataita yanamiliki mabasi nadhani kuliko mikoa yote
Aman iwe juu yenu

Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa

Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa

Tena show nyingi hufanyika za one man show

Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja

Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka

Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu

Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia

Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini

Nawasilisha

Mayala B
 
Aman iwe juu yenu

Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa

Je kahama kwa masikin kuna nini mbona show nyingi hufanyika sana pale na tena show za bei kubwa kubwa

Tena show nyingi hufanyika za one man show

Alianza alikiba akajaza uwanja kaja diamond kajaza uwanja nandy naye alijaza uwnja chege na wasanii wengi pia hujaza uwaja

Tukija kwa jiji kubwa na la pili kwa ukubwa nchi nzima ambalo kwa mujibu wa takwimu za taifa ni jiji masikin sana. Napo show hufanyika za kibabe sana tena za kila mwaka

Mwanza kunaweza fanyika show hata tano kwa siku na kila show ikajaza watu

Moja inaweza kuwa isamilo ikajaza na nyingine inaweza kuwa jembe ikajaza na nyingine inaweza kuwa villa ikajaza na nyingine inaweza gold crest ikajaza pia

Je sasa kwanini sehemu hizi masikin hutema sana pesa kushinda sehemu tajili nchini

Nawasilisha

Mayala B
Manyumbu wengi huko!!...
 
mkuu epukana na propaganda za TBS...tanzania breau of statistics taarifa wanapika hao..,
back to the topic..Mwanza ndo mji ambao fursa nje nje...pesa ipo umasikini ukosekane dodoma kwenye nyumba za tembe uje Mwanza kweli? uwaache waha uje kwa wanangu wasukuma kweli?
Ndo umasikin umeshakuja tayar huna la kufanya sasa
 
Sehemu nyingine soko limeshakuwa 'saturated' hawana jipya
 
Mwanza wasukuma bado washamba sana kuna wasanii wao huku wanaimba kisukuma yani wanapiga hela mbaya
Mkuu kwa mkutadha huu nadhani mshamba ni wewe kama unaamini mshamba ni mtu anayelipa hela kuangalia show ya msanii wa nyumbani.
 
Me nimezaliwa mwanza Mabatin,Ila kinacho fanya mwanza ijaze kwenye show za wasanii ni kutokana na uwepo wa vijana weng wanao toka vijiji vya mikoa ya jiran,kigoma,shinyanga,tabora n,k,Hawa vijana weng huja na ushamba flan, Na kutokana na upataji wa pesa ulivo rahis hapa mwanza vijana hawa hujikuta wana shobokea vitu kama hivyo,hata kahama ni hivo hvo.
Wewe acha roho za kimaskini. Si ushamba mtu kuangalia show. Vipi na wale wanaohudhuria show kwa nchi zilizoendelea kisanaa na wao wa shamba eeh
 
Back
Top Bottom