Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

Wakatoliki si unajua wana Mou na serikali?
 
Yesu alisoma chuo kikuu gani duniani? Au taja shule aliosoma std 1 tu
 
Kama hakusoma shule alijua vipi
Vizuri unakiri kabisa kuwa Yesu alienda shule na ukumbuke hiyo ilikuwa miaka mingi sana kabla ya mtume wako mudi kuwepo duniani sasa jiulize ilikuwaje mtume wako mudi aliyezaliwa miaka mingi sana baadae asijue kusoma wala kuandika yaani alikuwa mbumbumbu kiasi gani asijue hayo! na bado kaleta dini ya mchongo na wewe hushtuki tu unamuamini shtuka wewe kabla hujafa ukaenda kuzimu.
 
Hizo shule shida kubwa ni management

Yaani mkuu wa shule kachaguliwa na Bakwata ambapo huko Bakwata kuna mjomba wake ndiyo kamleta hapo

Halafu mkuu wa shule anaanza sasa kuleta maostazi ndugu zake katika imaan ndiyo wafundishe!
Wengine nj form 6 tu ila anawapa mashavu waje wafundishe watoto wa dada zake .

Pili hawana moral ethics kazini, unakuta teacher jumatatu mpaka ijumaa kapiga tu kanzu na makobazi na fimbo mkononi anasimamisha kipindi ili aende akaswali dua aje aendelee..

Mimi nilisomaga shule ya jamhuri Dodoma ile inamilikiwa na bakwata ya siku nyingi sana tangu 1982 huko ila hata kufaulu pale advance ilikuwa ni juhudi zetu tu, hakuna maboresho yoyote yale mpaka leo siwezi kukubali mwanangu aende pale au shule yoyote ya kiislamu.

Kwenye interview zao za ualimu kama huitwi juma. Mahamud au darwesh tu basi huna kazi hapo.

Malipo wanalipwa kiduchu sana na kwa mafungu mafungu mpaka labda wanafunzi walipe ada .

Mkuu wa shule mwenyewe unakjta kachoka mwenyewe vipi walimu wake si wamechakaa kabisa?
 
Well said,. Wanaamisha Kwa lazima Ili kubalance matokeo ya mwisho. Yani wanabakisha cream pekee
 
Popote wanapotaka kufankiwa kwa viwango vya juu basi mchujo lazima ndiyo maana hata university utaambiwa kuna GPA fulani inabidi mwanafunzi awe nayo ili aweze endelea na masomo kutoka mwaka hata mwaka ni mchujo huo. Ndiyo maana kwenye makampuni au taasisi zinazozingatia best practice za HRM lazima kuna performance appraisal na kuna rating unapewa kila mwaka ukipata rating ya chini unawekwa kwenye performance improvement plan ya muda fulani hujaimprove unaondolewa kazini, mchujo huo.
Kwa hiyo shule za wakatoliki kwa mwanafunzi asiyependa ushindani aliyezoea kubweteka lazima mchujo umuondoe. Kwa hiyo wakatoliki wanazingatia best academic practices.
Hata kwenye academy za soka wana mchujo kamsome wyne rooney, c.ronaldo kwenye akademy walizojifunza soka walianza wangapi na wangapi waliishia njiani na wangapi walifika mwisho na kufanikiwa kupata club za maana za kucheza soka.
Kwenye dunia ya ushindani hakuna huruma eti wenye uwezo mdogo wakasome wapi? ingekuwa hivyo basi waalimu wa vyuo vikuu wangekuwa wanachukuliwa wowote tu wale wasingekuwa wanaangalia ufaulu.
 
Nisijue nilichokiandika? kweli una tatizo kwenye uelewa wako na kufikiri kwako kuna walakini mkubwa sana ndiyo maana huutaki ushindani wa viwango vya juu na unauogopa kabisaa. Wewe ni aina ya mtu unayetaka huruma huruma badala ya kupambana full kudai kamserereko. Yaani unataka kupangia kila taasisi ya elimu iwe sadakalawe aingie tu kila mwenye ufaulu unaoutaka wewe. Kwa akili yako ulitaka course kama computer engineering wachukuliwe tu hata wenye ufaulu wa chini? Nakumbuka miaka kadhaa kozi kama hiyo ya computer engineering pale UDSM ilikuwa wanaingia wanafunzi chini ya 40 Tanzania nzima hii ni kumaanisha vipanga tu tena wale cream ndo walikuwa wanafaulu kusoma hiyo kozi na katika hao wanaomaliza unakuta labda 10+ wameshindwa kufikia ufaulu uliowekwa yaani wamechujwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…