Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

Umesahau
Unafiki
Kufatiliwa kwa walimu na wanafunzi hasa mavazi, na kuswali swali
Yani tafrani,, nimesoma islamic seminary alooh the situation was bad...
 
Pikeni na nyie.... Toto limeshika juzuu nzima lakini definition tu ya biology halijui na ulibebe tu .... Wabebeni nyie
 
Mfumo kristo upo deep zaidi ya hapo. Hadi nchi iwe under sharia ndo mfumo kristo utaisha. Mohamed Said atakupa maelekezo zaidi na jinsi Sykes alivyohusika kupambana mfumo kristu.
That's a very stupid excuse, huyo Mohamed whatever huyo ndiyo standard unit ya facts za Tanzania. Kama kuna hujuma zozote system yote ya nchi iko mikononi mwa Muslims ina maana wao wanafurahia hizo 'hujuma'? Culture ya Kiarabu in general haizingatii elimu(ilmu dunia) na ukweli huo tumeuona kuanzia mashuleni mpaka vyuoni.
 
Ni fikra na mawazo mabovu kudhani waislamu wanafeli kwasababu ya uislamu wao. Sababu kubwa ya shule za kikiristo kifaulisha sana ni mchujo wa wanafunzi unaofanywa ili kupata the best kama unavyoweza kuona Kwa shule kama St. Francis Mbeya, na shule nyengine nyingi.

Waislamu Kwa kutambua maana na lengo la elimu, ambalo ni kubadilisha jamii kuwa jamii Bora na yenye manufaa Kwa watu, kamwe hawawezi kumkataa mwanafunzi eti Kwa sababu hawezi kuperform Kwa namna flani. Ukiona kijana kafukuzwa shule ya kiislamu basi ni kwasababu za kimaadili Tena zilizovuka mipaka.

Lengo la elimu ni kufanya jamii yetu kuwa Bora, lakin ingawa watu wanajisifu kwa kufaulisha sana Tena Kwa one za saba, lakini kama nchi Bado tunazidi kuwa masikini, Bado tunategemea nchi za Ulaya, Amaerika, na Asia kuendesha maisha yetu. Tumeshindwq hata kutengeneza vijiko vya kulia wali. Wapo wapi wasomi wetu tunaotamba nao.

Labda tungejiuliza ni Kwa namna tunaweza kuzibadilisha hizi higher performances na kuwa manufaa kwa jamii. Yapo wapi manufaa ya elimu yetu hali ya kuwa tumeshindwa hata ku-control uchafu. Ukitembea katika baadhi ya miji yetu utaona mitaro ya Maji ya mvua inatiririsha kinyesi cha binadamu, wapo wapi walijitapa Kwa ufaulu basi wayaweke mazungira yetu safi.

Wengi wa wasomi wa kiafrika, maprofesa kwa madaktari wanaishia kuwa mafisadi, yapo wapi manufaa ya elimu ambayo mnanisifia nayo enyi wakristo wa Tanzania. Tena mara nyingi wengi wa viongozi wa kiislamu, walioifahamu dini na dunia yao, wapo katika kutenda haki na ni waadilifu wa kweli.
 
Utashangaa wanalaum mfumo Kristo, badala ya kutatua changamoto zinazokabili shule zao. Ukiangalia Kwa Sasa, Katibu mkuu wa Necta ni mwisilamu, Rais, P.M mwisilamu lakini Bado wanakwambia mfumo Kristo. They are very pathetic
 
Hoja hii niyamsingi sana
 
Kwangu mimi tabia ya kupenda kusoma huanzia nyumbani or Kwa watu wanaokuzunguka Kwa shuleni ni 10-20% hiyo 80-90% unaipata Kwa vitu vilivyo nje ya chuo/shule km rafiki,genetics kuna familia ni wasomi by nature.
Hio 10-20 ukifanikiwa kuipata shuleni ndio inaweza geuka na kua 80-90 shuleni na sinje ya shule.
Kwa ufahamu wangu mdogo malezi ya watoto wa pwani/kiisalm hayajajengwa kisomi malezi ndio waliowengi wapo hovyo kumbuka sehemu kubwa ya waislam wapo Tmk,ilala,tabata. Sehemu km masaki,mbezi beach ostabay ni wachache kwakua kizazi kilochowatangia hawakua na Mali/wasomi hivyo hawawezi kua na Mali zakuishi huko
 
Sasa kama wanaajiri walimu wenye imani yao tu unategemea watoe matokeo gani? Cha kufanya waajiri walimu hata wasiokuwa waislam. Wakatoliki wanaajiri walimu wenye uwezo bila kujali kama mwalimu ni mkatoliki au sio, halafu wanapokea wanafunzi hata wasio wakatoliki. Hakuna udini mwingi kama kwa waislam unakuta shule inaitwa ya kiislam imejaza wanafunzi waislam watupu! Shule inatakiwa iwe na mchanganyiko wa dini/imani kwa wanafunzi na walimu/wafanyakazi
 
Maamuzi tu mm mbona muislam lakin form na form six nimafaulu vzr πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Siyo kwamba watoto au wanafunzi waislam huwa hawafaulu au kwamba hawana akili. Lakini ni ukweli kuwa shule zinazosimamiwa na BAKWATA hazifanyi vizuri.

Hata baadhi ya wazazi waislam hawataki kabisa kuwapeleka watoto wao wakasome shule za BAKWATA. Hata nchi za kiarabu kama Saudia, waarabu wengi wenye uwezo wanawapeleka watoto kwenda kusoma USA na nchi za Ulaya. Na ninaamini wanafanya vyema maana wanajua ni wapi watapata elimu yenye maarifa thabiti.
 
Sio kweli, Wakatoliki hawafundishi hivyo.
..nimesema ni doctrine ya dini zote, lakini wakatoliki wana taka uweze kumaster pande zote, the best wanaenda seminari kuu kubobea theology na Elimu Dunia, ndyo maana pasters wao wako broad sana kwa knowledge, mfano rahisi ni W.Slaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…