Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

Ngoja nije zanzibar ni kuwafyatua vinyeo tu mpaka akili ziwakae sawa
Zanzibar ina watu chini ya 2M ina Per capital ya $2500,na matokeo ya form four yakitoka zeroooo nyingiiiiπŸ˜€πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜πŸ˜…
Enheee kule Kagera kwenye division one nyingi za wakristo,weka kwanza stendi yenu ya mabasi tuione
 

Attachments

  • Screenshot_20250211-181114.png
    133.4 KB · Views: 1
Rudia tena sijakuelewa
 
Saudi Arabia kafika alipofika kwa sababu ya USA, mambo ya petro dollar na kulindwa amekuwa akilindwa na USA kwa hiyo hakuna matumizi yoyote akili ya kiislam iiyochangia hayo maendeleo ya Saudia.
Term petrodollar, Uchumi wote wa mafuta na graph zake katengeneza Ibrahim Ouweiss, ambaye alikua mshauri wa Carter na mwalimu wa Clinton, Proffesor toka Egpty.


Hapo Saudia Wana Chuo cha pili Duniani cha petroli nyuma ya Austin Texas, wameweza kuvumbua mambo mbalimbali ambayo mafuta Yanaweza kufanya to the point sasa hivi Kemikali wanazo zalisha zinaingiza mapato makubwa kushinda mafuta yanayouzwa kwa ajili ya magari na matumizi mengine ya kuungiza,

Kama unafikiri ni rahisi hivyo kusaidia tu kuchimba mafuta uwe Tajiri, Dunia nzima wangefaidika, ila so far ni wao peke yao hapo Gulf wanaoishi hayo maisha.
 
Upo sahihi sanaaaa
Hata:-
1.Iran-nchi yenye reservekibwa ya gesi duniani
2.Iraq:nchi inayozalisha 5Milion barrel of oil per day(kumbuka price ya Barre Moja ni $73)πŸ˜„
3.Bahrain
4.Morroco
5.Libya
7.Egypt
8.Kuwait(Nchi yenye pesa strong zaidi duniani),1 Kuwait Dinar=3.8 $
9.Oman(nchi yenye pesa strong ya 3 duniani)
10.Qatar(ilihost kombe la Dunia bajeti,$200Bilioni=Bajeti ya D.R.C yenye wakatoliki 100M,kwa miaka 10πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜)
zoote hizo zimeendelea sababu ya U.S.A
*Upo sahihi,U.S.A anawapenda sana waislam na nchi za Kiislam
Enhe:-
1.Na wewe ni mkristo msomi?πŸ˜„πŸ˜
2.ila wewe sio mpumbavu?πŸ˜†πŸ˜†
3.kwa nini U.S.A hazofanyi nchi zenye wakristo wengi kama Venezuela,D.R
C,Colombia,Zambia,EL Salvador,Kenya,ziwe tajiri kama SAUDI ARABIA?πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜†πŸ˜…
 
Rudia tena sijakuelewa
Wakristo ni matajiri sababu wasomi,mfano D.R.C,Colombia pale kwenye Catholics 94% ,huwezi fananisha na Iran ama Iraq kwenye waislam wengi 98%,.............utaona hapo D.R.C na Colombia ni matajiri sana,πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜
 
Muulize huyo msomi wa kikristoπŸ˜†πŸ˜†
1.Kama U.S inaipenda Saudi Arabia ikaifanya iwe tajiri,mbona Vatican haijafanya D.R.C yenye wakristo 100milion kua tajiri?πŸ˜†πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜€
2.Kwa nini U.S isiifanye Zambia,nchi ya Kikristo kua TU nusu ya Saudi Arabia?πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜†
 
1.Wenzako wanashika gun kutetea mali zao wawe matajiri wewe unawaota magaidi?
Hizo ndio nchi za kiislam sasa
2.D.R.C ina wakatoliki 100M,askari wanaachia bunduki wanakimbia M23 wanajitwalia midogiπŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜†πŸ˜‰,raia kula Yao ya shida
3.Ikitokea kulinda mali zako ni ugaidi,yes hapo ndio unakuta Arabic countries zote ni rich
4.Hapo ndio unakuta Zanzibar inayoongozola kuferi NECTA Kwa zero nyingi,ina Per capital ya $2500,πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜,mara 2 Ya Tanganyika
Shule za kiislam kwanza zifungwe shule zinakazana kufundisha ugaidi tu
 
Pikeni na nyie.... Toto limeshika juzuu nzima lakini definition tu ya biology halijui na ulibebe tu .... Wabebeni nyie
Unajua biology yote unapata division one ila huduma za afya,Barbara maji,umeme shida tupu,.........kule Zanzibar kunaongoza kupata division zero ,Kuna waislam 98%,ila kunaongoza Kwa kua na madocta,shule za ghorofa,wana Hadi national hospital,vyuo vikuu etc.........watu milioni 1.8 hao,wanaoongoza kupata division ZeroπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
Enhe msomi wa kikristo unaendeleaje?
 
Ndio nachozungumzia kuwatumia wapumbavu kuwa tajiri sio kosa kwenye uislam,na hii Karume aliitumia vizuri sana ama haujui kua Mali za Tanzania bara ni za zanzibar pia,ila Mali za Zanzibar kwenye waislam 99% ni Zanzibar pekeeπŸ˜ƒπŸ˜„
..but it's insignificant wealth, ilifanyika hivo ku-protect minority
 
..but it's insignificant wealth, ilifanyika hivo ku-protect minority
1.Kua Nyerere aliwaonea huruma wazanzibar?
2.Enh mbona hatuionei huruma Kagera,Geita,Shinyanga ziwe kama Zanzibar?πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜†
3.Sisi si tuna rohi nzuri?
 
Mimi ninesoma shule Moja Mwanza ya kiislan shule zile za kipumbavu sana. Wanabagua wanafunzi kidini, Wana program za kupoteza muda, wanatanguliza malezi zaidi kuliko kufundisha wanafunzi masomo ya shule, wananyanyasa sana. Wanaleta au mazingira ya kutunza ni mabovu sana. Yani utatamani kufa Kule.

Siwezi Shauri mzazi amsomeshe mtoto wake Thaqaafa au Taqwa, shule za kipumbavu sana zile
 
Per Capita income doesn't translate to individual
Zanzibar ni minority, uchumi wake ni sawa na DSM + Arusha tu! , na bila muungano ingekuwa ni conflict zote zaidi ya DRC (Wapemba vs others), why zanzibaris residing in mainland wana enjoy kuliko wangekuwa Zanzibar?
 
Nitajie Nchi ya kiislam ambayo watu wake wanatumia dini Yao kimaendeleo alafu tuanze kujiuliza hili swali Kwa Nini shule za kiislam zinafeli sana
 
Uc
1.Kua Nyerere aliwaonea huruma wazanzibar?
2.Enh mbona hatuionei huruma Kagera,Geita,Shinyanga ziwe kama Zanzibar?πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜†
3.Sisi si tuna rohi nzuri?
Uchumi wa Geita, Shinyanga, na Kagera ni zaidi ya Zanzibar (GDP) na Wapemba wako huko wana enjoy kuliko wangekuwa Pemba
 
Tatizo ni Waislam wa Tanzania.... Feza ni ya Waturuki(Waislam) na moja kati ya shule bora kabisa nchini
 
Uzuri hujabisha nilichoandika.Ni ukweli uli dhahiri pasi na chembe ya shaka bila ya US saudia asingkuwa hapo alipo leo hii kwani kabla ya petrodollar mafuta hawakuwa nayo? akili za kiislam hawakuwa nazo? mbona hawakuwa na maendeleo hayo?
 
Uzuri hujabisha nilichoandika.Ni ukweli uli dhahiri pasi na chembe ya shaka bila ya US saudia asingkuwa hapo alipo leo hii kwani kabla ya petrodollar mafuta hawakuwa nayo? akili za kiislam hawakuwa nazo? mbona hawakuwa na maendeleo hayo?
Uingereza Kafika Dubai miaka hio hajaanzisha ukoloni Kaomba urafiki, karibia nchi zote Duniani zimetawaliwa na Uingereza why aombe urafiki hapo na kuwasaidia?

Walikua ni wafanyabiashara, watu ambao wanajua Kuzalisha hela, ukimpa 1000 anaizalisha inakuwa 10,000.

Mpaka leo hela za hao waarabu ndio zinawasaidia hao wazungu leo London inaitwa 8th Emirate, funds zao zikikaribia kufirisika anategemea waarabu wa inject hela etc.

So hizo Nchi zimekua Tajiri sababu mbuzi kafia kwa muuza Supu. Leo hii mafuta yakigunduliwa nyumbani kwa Mchaga na nyumbani kwa mzaramo baada ya miaka 50 utajiri utakua tofauti.
 
Kwenye nyuzi kama hizi huwezi kumuona Mohammed Said akija kuchangia. Anapiga kimya kama haoni kitu.
Kwenye nyuzi hizi makobaaz wengi huwa vipofu ghafla maana ukweli unauma, na hata wakijibu huwa pumba nyingi sana maana huwa hawataki kukiri ukweli huwa wanazunguuka. Muanzilishi wa dini hajui kusoma wala kuandika halafu utegemee taasisi za dini ya muanzilishi zifanye vizuri thubutuu mlinganyo unakataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…