Red Giant
Kwanza kwanini wabongo mnapoongelea mizungu lazima muanze na 'wenzetu'? Mizungu haiwezi kusema hivi hata kwa bahati mbaya ila watanganyika kila siku lazima mjinasibishe nao si viongozi au watu mitaani utasikia 'wenzetu'. So annoying.
Pili, sio kweli kwamba mizungu inajua madini kwa kuona tu, tunaishi nao tunawajua vizuri wengi hawajui hata nchi zinazozizunguka nchi zao let alone mabara au madini.
Wanaojua mambo ya madini ni ambao wamejiongeza wenyewe tokana na interests zao kitu ambacho mwanafunzi yeyote yule anaweza kukifanya TZ kama that interests them hasa ukizingatia tayari wamepewa basics kwenye masomo kama Geography na Chem.
Kazi ya shule ni kukupa basics sio kukutafunia kila kitu, wakati madini interests you mwingine interest yake ni magari nae atauliza kwanini shuleni hatufundishwi ufundi? So long as wote mna basics za kuanzia mengine jiongezeni wenyewe tuache kulaumu serikali kwa kila kitu.