🤝👊👏👏👏!Habari wandugu,
Wenzetu wazungu wanujuzi sana wa madini, wanafundishwa shuleni. Mzungu nu rahisi kutambua Ruby, dhahabu au almasi akiiona.
Lakini mbongo hata anafika form six hawezi tambua madini aina yoyote. Kama elimu inamuwezesha mtu kupambana na mazingira yake, na mazingira yetu yamejaa madini, kwa nini hatufundishi somo la madini, upatikanaji na uchimbaji wake shuleni?
Elimu ambayo itamuwezesha mhitimu kujijiri kwenye uchimbaji akimaliza.
Extraction ni uchenjuaji na sio uchimbajiKifupi Ni kwamba si kwamba Hamna masomo hayo, laa hashaa!
Kama ulikuwa msomaji mzuri wa masomo ya sayansi, utakuja kugundua kwamba madini tumeyasoma vzr TU mpaka uchimbwaji wake!
O'level, Chemistry form3 Kuna topic inaitwa extraction of Metals (Sijui kwa Sasa)
Tulijifunza aina nyng za metals na uchimbwaji wake, mfano Iron, copper nk
Vilevile kulikua na mafundisho ya carbon (upande wa non-metal) na aina zake! Haya yote Ni sehemu ya madini!
A'level chemistry ndyo usiseme kabisaaah!
Sema hawajayachulia seriously, ila yapo vzr tu, ni ufuatiliaji wako TU!
Umesomea shule za Tanzania hii hii?Kwanini mkazo uwe madini tu? Me nadhani inabidi wafundishe kila kitu kuanzia uvuvi, kilimo, ufugaji, ufundi, uashi, ushonaji, upishi nk... ikiwezekana hata uhandisi, udaktari, sheria na kada zingine zote zifundishwe katika ngazi ya awali na sekondari ili mtu akimaliza form 6 awe anajua kila kitu. Hapo vp?
Mfumo wa elimu wa Tanzania upo kwa ajili ya kumfanya mwanafunzi awe fukara, ndio maana watoto wao wanasomeshwa nje ya nchiHabari wandugu,
Wenzetu wazungu wanujuzi sana wa madini, wanafundishwa shuleni. Mzungu nu rahisi kutambua Ruby, dhahabu au almasi akiiona.
Lakini mbongo hata anafika form six hawezi tambua madini aina yoyote. Kama elimu inamuwezesha mtu kupambana na mazingira yake, na mazingira yetu yamejaa madini, kwa nini hatufundishi somo la madini, upatikanaji na uchimbaji wake shuleni?
Elimu ambayo itamuwezesha mhitimu kujijiri kwenye uchimbaji akimaliza.
Hata form two angetulia angejua methods of extracting minerals, angejua metallic minerals na non metallic minerals n.k
Nionesheni mtu mmoja aliesoma vizuri kemia ya sekondari akaielewa na sasa ana extract chuma, dhahabu nk.Hata form two angetulia angejua methods of extracting minerals, angejua metallic minerals na non metallic minerals n.k
Sasa wewe umesoma heading ya swali au unaenda nje ya mada, ameuliza kuwa "kuna topic inayofundisha madini na uchimbaji? "Nionesheni mtu mmoja aliesoma vizuri kemia ya sekondari akaielewa na sasa ana extract chuma, dhahabu nk.
Ingekua hivyo elemu ya TZ isingelalamikiwa.
Extraction of metal zinafanyika hovyo hovyo bila elimu husika kwenye migodi ya wabongo tena wamerithi elimu mtaa kutoka migodi ya wazungu.
Tunatetea ujinga, JPM alihoji sana usafirishaji wa mchanga kwenda ulaya. sababu ni kwamba wabongo hawana ujuzi wa kutosha wa kutoa mabaki ya madini yaliyomo.
Hakuna shule yenye BLAST FINANCE TZ !
Watu wanajibu pumba tu hapa.
Utachimba madini bila kufanya extraction(kutenganisha pumba na mchele) ?Sasa wewe umesoma heading ya swali au unaenda nje ya mada, ameuliza kuwa "kuna topic inayofundisha madini na uchimbaji? "
Jibu ni kuwa ipo inafundishwa na kinachokosekana ni practical kwa watoto katika ngazi ya Sekondari.
Naomba unitajie walau subtopic au content ya uchimbaji madini nimefanya kazi ya kufundisha jiografia for some years mpaka 2016. Yani uchimbaji madini kama unaofanyika kakola unafundishwa shule za msingi na sekondari ? Naomba unipe huo ushahidi. Nina kitabu kipya cha MJ itabidi nipitie mada zake nione ila sitaki kuamini inawezekana wewe umesomea Kenya sio TZ.Sasa wewe umesoma heading ya swali au unaenda nje ya mada, ameuliza kuwa "kuna topic inayofundisha madini na uchimbaji? "
Jibu ni kuwa ipo inafundishwa na kinachokosekana ni practical kwa watoto katika ngazi ya Sekondari.
Extraction ni uchenjuaji na sio uchimbaji
Ni process katika uchimbaji, uta extact nini bila kuchimba udongo au mwamba. Ardhi yote tunayotembea ina madini ila huwezi kuyatoa kirahisi hata uchimbe vipi ispokuwa kwa extraction.Extraction ni uchenjuaji na sio uchimbaji