Kwanini si Dkt. Ali Hassan Mwinyi?

Kwanini si Dkt. Ali Hassan Mwinyi?

Nafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.

Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!

Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?

Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.

Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?

Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?

Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.

Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Wengine hawapendi kuitwa Dr. Nyerere alipenda kuitwa mwalimu.
 
Nafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.

Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!

Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?

Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.

Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?

Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?

Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.

Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Watu wenye akili huwa hawahitaji utambulisho wa kuwafanya waonekane wana akili. Ila sisi ambao tia maji tia maji tunaamini hiyo ndo inatufanya tuonekane tuna kitu kichwani.
 
Nafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.

Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!

Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?

Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.

Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?

Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?

Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.

Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Kwa kawaida title ya Dr. Ni kwa wale tuu waliopata Ph.D kwa kukaa darasani. Ndio maana wengine hawakuona sababu ya kujiita Dr. Ni siku hizi tu ndio watu wameanza kuwa address watu wenye udaktari wa heshima kama ma Dr. Labda kwa Tanzania hiyo inakubalika kitaratibu. Hata Mandela naTutu wote hawakujiita Dr.

Amandla...
 
Kwa kawaida title ya Dr. Ni kwa wale tuu waliopata Ph.D kwa kukaa darasani. Ndio maana wengine hawakuona sababu ya kujiita Dr. Ni siku hizi tu ndio watu wameanza kuwa address watu wenye udaktari wa heshima kama ma Dr. Labda kwa Tanzania hiyo inakubalika kitaratibu. Hata Mandela naTutu wote hawakujiita Dr.

Amandla...
Kwa mujibu wa taratibu huwezi kujiita Dkt kwa udaktari wa Heshima ni kosa.
 
Lucas mwashambwa
Mtukufu Mama Muheshimiwa sana Daktari msomi kabisa samia Suruhu Hasani kamanda wa majeshi na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Unanikumbusha Idd Amin wa Uganda naye aliyapenda sana haya Ma-had hi ya kujipachika. Kawaida waafrika wanapenda sana haya masifa. Na wanaomzunguka Kiongozi wa Kiafrika wakiona mkubwa anapenda sifa wanasifia mpaka wanapitiliza wanamuita "Mh Mungu"!
 
Back
Top Bottom