Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Ukiangalia wanasiasa wetu nchini, wengi, ima ni wababaishaji au watu waliofeli katika karibu kila jambo. Je ni kwa sababu siasa huwa haina miiko kama vile viwango vya elimu, uadilifu, uzoefu na mengine kama haya?
Je ni kwa sababu siasa ni haramu iliyohalalishwa ili wachache kuwatawala, kuwaibia na kuwaumiza wengine?
Je ni kwa sababu ni rahisi watu kuficha madhaifu yao kwenye siasa?
Je ni kwa sababu ndiko kuna ulaji wa dezo ambapo mtu anaweza kuingia kapuku leo kesho akaamka tajiri?
Je ni kwa sababu wanasiasa wetu huwa hawaambiani ukweli, kujichunguza, na kuchunguzana?
Je ni kwa sababu watu wetu walio wengi wamekata tamaa na kuwaachia wanasiasa kila kitu?
Je ni kwa sababu siasa ni kitu rahisi kufanywa hata na mjinga yeyote kwa vile ahitaji busara wala elimu?
Je ni kwanini?
Je ni kwa sababu siasa ni haramu iliyohalalishwa ili wachache kuwatawala, kuwaibia na kuwaumiza wengine?
Je ni kwa sababu ni rahisi watu kuficha madhaifu yao kwenye siasa?
Je ni kwa sababu ndiko kuna ulaji wa dezo ambapo mtu anaweza kuingia kapuku leo kesho akaamka tajiri?
Je ni kwa sababu wanasiasa wetu huwa hawaambiani ukweli, kujichunguza, na kuchunguzana?
Je ni kwa sababu watu wetu walio wengi wamekata tamaa na kuwaachia wanasiasa kila kitu?
Je ni kwa sababu siasa ni kitu rahisi kufanywa hata na mjinga yeyote kwa vile ahitaji busara wala elimu?
Je ni kwanini?