Kwanini siasa za Tanzania zimeegamia kujadili yaliyopita

JPM alifanya makosa makubwa na yalifichwa sasa makosa hayo yameanza kuwekwa wazi na bado sana mtaona na mtashangaa.


Sababu hawana sera zao kuisaidia nchi. Sera ni divide and rule kuwatenganisha Watz ili kuwatawala na kutumbua pesa zao kirahisi.

Hao wanaompenda nao waje wamsifie au kumtetea, wale waliokuwa wanaona ni ibilisi ngoja wampe ukweli wake.

Hata dhalimu aliiba serekalini, alipokuwa akitendea wengine ukatili na kupora haki ya watu kupata viongozi wawatakao, hakujua kuwa iko siku atakuwa marehemu?

Tena wizi mkubwa ulifanyika kipindi cha dikteta

Wanaotaka kuimba nyimbo za kumsifu,na waendelee.Na wanaoona bado wana dukuduku na marehemu nao waendelee kumsimanga.Msiingiliane wala kuoneana gere katika utendaji wenu.
 
Hakuna ukweli hapo,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jamaa kafanya mengi mazuri.Kama mtu alikufa kama wanavyodai ni uzembe wake mwenyewe V8 ipo speed 180 full light kitamba chekundu hewani unaleta mzaa barabarani utagongwa tu hakuna namna

Hakufanya mazuri bali alitekeleza wajibu wake kiasi fulani, ufahamu kuwa alikuwa analipwa mshahara na sio kujitolea.
 
Ukiona mtu yeyote alimpenda Magufuli au anamtetea basi ujuwe ni mnyonya damu muabudu mizimu na mtu asiyestaarabika wala hajui dunia ya wastaarabu watu wanaishi vipi.
Exactly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…