Kwanini siku(days) zilipewa majina ya kiislamu..?

Kwanini siku(days) zilipewa majina ya kiislamu..?

Habari zenu wanajf ,kama kichwa cha habari kinavyosema ni hivi..

Jumatatu
apo kuna majina mawili juma na tatu,juma linafaamika sana na tatu linafaamika pia nilakike katika zunguka yangu nilkutana na tatu kama wanne wote waisilamu.

Jumanne
ili linafaamika ingawa pia kunawakristu hulitumia lakini wengi wao waisilamu.

Jumatano
Apa juma kamakawaida lakini tano sijawai liskia popote.

Alhamisi
Apa kunamajina mawili kuna Ali na Hamisi.

Ijumaa
Apa nilshakutana na watu wanaitwa "jumaa"kama wa tatu ivi ni waisilamu.

Jumamosi
Apa lipo jina la "juma" ila "mosi"sijawai kuliskia

Jumapili
Apa yapo majina mawili tena kuna "juma" na "Pili"nilishakutana na jina la Pili mala tatu wote waislamu.

Kwa ayo majina hakuna tatzo lolote ila tu kwanini yatoke upande mmoja

Karibuni ndugu mnipe majibu.....


Kwa nini umeandika ,,siku (days)" Kwa nini haujaandika ,,siku" tu bila days?
 
Shule zinafunguliwa lini huyu akawaulize walimu wake wa historia,lugha na dini?
 
Wanaisimu hawakubali kuwa Kiswahili ni Kiarabu. Wanasema ni kibantu. Lakini ukweli Kiswahili (sahel) in Kiarabu kwa 90%.
Tukubali tu kibantu ni 5% na 5% iliyobaki ni matoholewa kutoka lugha zingine.
Hii mpya kama kiswahili ni kiarabu! !! Yaani nikiingia uarabuni napiga kiswahili nao wanapiga kiarabu tunaelewana! !!!! Sidhani hata kama kuna maneno lukuki ya kiarabu.
 
Habari zenu wanajf ,kama kichwa cha habari kinavyosema ni hivi..

Jumatatu
apo kuna majina mawili juma na tatu,juma linafaamika sana na tatu linafaamika pia nilakike katika zunguka yangu nilkutana na tatu kama wanne wote waisilamu.

Jumanne
ili linafaamika ingawa pia kunawakristu hulitumia lakini wengi wao waisilamu.

Jumatano
Apa juma kamakawaida lakini tano sijawai liskia popote.

Alhamisi
Apa kunamajina mawili kuna Ali na Hamisi.

Ijumaa
Apa nilshakutana na watu wanaitwa "jumaa"kama wa tatu ivi ni waisilamu.

Jumamosi
Apa lipo jina la "juma" ila "mosi"sijawai kuliskia

Jumapili
Apa yapo majina mawili tena kuna "juma" na "Pili"nilishakutana na jina la Pili mala tatu wote waislamu.

Kwa ayo majina hakuna tatzo lolote ila tu kwanini yatoke upande mmoja

Karibuni ndugu mnipe majibu.....


Nilifikiri kuna tofauti kati ya kiarabu lugha na uislamu dini. Pili hata mimi nisiejua kiarabu najua juma ni kitambulisho cha mwanzo cha siku fulani ndani ya wiki. Mosi, pili, tatu, nne na tano ni namba. Labda alhamisi na Ijumaa ndio tofauti. Ni vizuri tujue kama haya yana maana gani au imekuwaje yasiitwe jumasita na jumasaba? Nawasilisha.
 
Kiswahili asili yake ni kiarabu. Hili halina utata hata kidogo
 
Wanaisimu hawakubali kuwa Kiswahili ni Kiarabu. Wanasema ni kibantu. Lakini ukweli Kiswahili (sahel) in Kiarabu kwa 90%.
Tukubali tu kibantu ni 5% na 5% iliyobaki ni matoholewa kutoka lugha zingine.

Souahil or Sahel means coast in arabic, maneno ya lugha hii yanayotumika katika tafsida ya dini ya kiisalam 90% ni ya kiarabu ila kwa ujumla wa lugha yenyewe asilimia kubwa ni kibantu..
 
Back
Top Bottom