Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 177
- Thread starter
-
- #41
wahenga nao inabidi wachunguzwe vizuriWahenga walisemaje? ukipenda boga penda na ua lake
Aisee mimi mpango wangu kabla mwaka huu haujaisha nataka nipate watoto 7, sasa nashangaa kamoja tu mkuu unalia lia!Nilikua nikivaa kondom anakataa anasema eti zinamuumiza, basi kwa vile nilimpenda nikaamua kua namla bila gwanda.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
Nilifungua uzi wa jamii forum nikakutana na pumba zakosasa wewe nawe kwanini unasoma na kucomment kwenye pumba? basi na ww ni pumba tu
mkuu sijajipanga bado sijui nikimaliza chuo hapa itakuaje maana natoka familia duni kabisa, chuo nimesoma kwa mkopo, ajira sijui kama nitapata au la!Aisee mimi mpango wangu kabla mwaka huu haujaisha nataka nipate watoto 7, sasa nashangaa kamoja tu mkuu unalia lia!
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Kalenda inamhusu yeye siyo mimi.msomi gani wew unayesema makalenda Yao??? mapenzi mfanye wote alafu kalenda iwe yake tofauti yako na asiyeenda shule ni nini sasa
Aya na bado unaendelea kusoma pumba zanguNilifungua uzi wa jamii forum nikakutana na pumba zako
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Daaah ! Broo mm nilitegeshewa Na Demu wangu saiv nalea Mtoto cha ajabu alijifungua kwa operation .... Kingine sikujuaga kama hana wazazi huyu Demu .... Kaniumizaga mpaka nashindwa kuelewa ilikuwaje aisee...... Ila nimejitahidi kumhudumia kadri ninavyo jaaliwa .... Jumapili anaenda Church kumbatiza Mtoto wangu .... Baba D .... Kanileteaga jembe kanitoaga copy right yaani siwezi hata kumkataa Mtoto [emoji40][emoji33][emoji33][emoji33][emoji135][emoji135][emoji135]Habari wakuu,
Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.
Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?
Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!
Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Dogo lea tu hyo mimba na mtto. Usikute huyo ndo mwanao wa pekee. Usiogope maisha mtaani. Milango ya baraka itafunguka tuu. Piga moyo konde. Pia mfariji muda wote huyo mzazi mwenzako.Tatizo siyo kufaidi nyapu, mimi nacholalamika ni kwann ategeshe kwa makusudi kabsa?
hongera sana nduguDaaah ! Broo mm nilitegeshewa Na Demu wangu saiv nalea Mtoto cha ajabu alijifungua kwa operation .... Kingine sikujuaga kama hana wazazi huyu Demu .... Kaniumizaga mpaka nashindwa kuelewa ilikuwaje aisee...... Ila nimejitahidi kumhudumia kadri ninavyo jaaliwa .... Jumapili anaenda Church kumbatiza Mtoto wangu .... Baba D .... Kanileteaga jembe kanitoaga copy right yaani siwezi hata kumkataa Mtoto [emoji40][emoji33][emoji33][emoji33][emoji135][emoji135][emoji135]
Fursa2017
Sasa akili ndo itafunguka utajishugulisha na maisha yataenda bila shaka...na utashangaa wewe ndo unapata kazi kabla ya wote...nina experience hyo..nilipita humohumo..ukitaji info zaidi njoo PMsasa ntamlea vipi hapa nilishasaini boom la mwisho na huko kitaa nasikia ajira hazipo kabisa yani nmedata
Hii kali ..asante rubiHayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
Duuuuuh! maneno yako yameniingia mkuu sawa sasa ila sijui naanzia wap ila itajulikana mbele ya safariDogo lea tu hyo mimba na mtto. Usikute huyo ndo mwanao wa pekee. Usiogope maisha mtaani. Milango ya baraka itafunguka tuu. Piga moyo konde. Pia mfariji muda wote huyo mzazi mwenzako.
Sent from my D6708 using JamiiForums mobile app
hmmmmh kweli wewe ni misstrace maana maneno yako ni kama mjerediUlivyokuwa unamkojea ndude zako huku umeregeza macho ulikuwa unaona raha kweli, vuna ulichopanda ndugu.
sawa mkuu nimekuelewaKaka tuliza moyo na akili usipanic .wala usiwaze sana haya ni mambo ya kawaida tuu.pia nakushauri usimwambie atoe maana watu wanapoteza maisha kwaajili ya kutoa mimba au kutolewa vizazi maana vizazi vinaoza mkuu wangu
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app