Kwanini siku hizi vyuoni wanawake mnatega mimba?

Kwanini siku hizi vyuoni wanawake mnatega mimba?

Habari wakuu,

Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.

Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?

Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.

Wewe sio mwana kondoo bali ni mwana shetani... hamna zambi kubwa kama kumshauri mwanamke kutoa mimba.[emoji30][emoji30][emoji30]
 
mkuu sijajipanga bado sijui nikimaliza chuo hapa itakuaje maana natoka familia duni kabisa, chuo nimesoma kwa mkopo, ajira sijui kama nitapata au la!
Wakati unamgegeda ulikua ukumbuki yote hayo.. Ukawa unazid kupump tena unaongeza na speed mpka ukamwagia papuchini

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
"yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.:"

Yaani hata sielewi kama umeweza kufikiri ulichokiandika. kweli dhambi huwa inawasumbua watu, yaani umefanya uasherati halafu bado unataka kuua? aisee kweli linadhihirika wazi sasa kazi ya shetani ni kuvunja kuiba na kuua, umevunja umeiba sasa imebaki kuua. Kijana acha uzinzi kumbuka mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima na amani. Acha dhambi mrudie muumba mlee huyo mtoto umejitakia mwenyewe sio lazima muoane maana kupata mtoto nae sio tiketi ya ndoa mtasumbuana kama hukumpenda, mchukue mtoto mlee ila kama unaona ni vema sana mwoe japo sio lazima. Kumbuka Acha uasherati.
 
Acheni ngono zembe, tumia kondom

Sent from my HUAWEI P8max using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu,

Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.

Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?

Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Umenivunja mbavu mkuu.

Ila umenisikitisha sana hiyo sentence yako kuwa unamng'ang'aniza atoe.weee.haiwezekani upande mchicha uvune bangi.kunali matokeo hakuna namna
 
Hayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji85] Rubii ume tisha lol ngoja nicheke kwa raha mie yaani kiuno amkatie na utamu apate matokeo ayakatae hovyo kabisa huyu kijana

Sent from my HTC Desire X using JamiiForums mobile app
 
Hapo Mwenyezi Mungu usimtaje!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu,

Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.

Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?

Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Wakati unambato husemi amekutegea maku ila mimba amekuteshea. Shamba unapolima lazima mazao yaote na ni lazima yavunwe. Wanaume huwa hatulii juu ya mimba. Mtoto wa watu alikuwa katulia kiherehere chako na nyege zako zikakupeleka kwake. Lea mimba tunza mtoto na mama yake muoe konyooo kabisa wewe dadeki. Mabinti ongezeni kazi kama wahudumu pale bar alaaaah
 
basi ungekua unammwagia usoni sio papuchini
Hili lijamaaa sidhani Hata kama kweli lilikuwa linakumbuka ndomu hapa litakuwa linajitetea. Kwani zimwagwe usoni na wakati ndani ya papuchi ndio sehemu yake? Jamaa akomae
 
Habari wakuu,

Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.

Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?

Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Mkuu hapo hakuna shida wew waache watege si watakuwa Singln mothers
 
Acha uoga bablai. Mwanaume kama hujapitia stress za kulea ujauzito hasa wa mwanamke msumbufu, utakuwa bado hujakua.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom