Tunakodisha Bunduki
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 822
- 1,280
Mimba haitegeshwi!
Kwanini usingevaa kondom?
Condom inakata utamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimba haitegeshwi!
Kwanini usingevaa kondom?
Hayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
Hahahaha pole mkuu mpaka umefungua id mpya? Ila najua mwandiko wako, haya yanatokea mkuu jipange kimajukumu pia hongeraHabari wakuu,
Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.
Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?
Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!
Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Hahaha kuntuHayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
Mkuu yaan wanakera sana, mm mwenyewe yamenikuta demu huko nyuma alikuwa hataki et atafanya dhambi, ila ajabu mwshon tunakarbia kumalza chuo nashangaa anakubal krahis.Daaah kilichotokea mpaka sasa hv namumind sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndiyo ukome, kufika mto ngono na wadada wanaokuwa wanakukataza kisha wewe unajitoa ufahamu hadi kutaka kuhamia room kwao ili tu uwapate.
Na ulipokuwa , unagonoka bila magwanda ulijua mtoto hatazaliwa eeeh!? .
Mdada wa hivyo, natamani sana nimuone nimpe zawadi ya ushindi.
Unalia lia nn we ulipoenda kulala nae ulitegemea nini? Jinga sana wewe hayo ndo matokeo ya tendo ulilofanya naeHabari wakuu,
Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.
Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?
Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!
Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Unasimamia kuchaaaHayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
Hayo ni matokeo ya ule utamu uliokua unaupata wakati unasimamia kucha.
Acha zako bhana, mtu anakuingiza kwny majukum ambayo hukupanga utafurah kama ni ww?! . Halafu kibaya zaid nina mke kijijin kwetu yaan ninawaza kwel daaahKuwa mwanaume ni pamoja na kuwajibika kwa matendo yako. Usinge mgusa asingepata hiyo mimba, naamini unajua inachukua watu wawili ili mimba ipatikane. Hivyo, mmoja atabeba mimba, akijifungua mwingine atalea mpaka mtoto atakapokuwa na umri wa kujitegeme. Jipange uwajibike Ndugu.
sasa ntamlea vipi hapa nilishasaini boom la mwisho na huko kitaa nasikia ajira hazipo kabisa yani nmedata