Kwanini Simba haijazindua jezi zake ikiwa zimebaki siku 4 kabla ya Siku ya Simba?

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Kwanini Simba haijazindua jezi zake ikiwa zimebaki siku 4 kabla ya Siku ya Simba?
 
Biashara hapo inafanyika wakitangaza tarehe 5 usiku tukio la tarehe 6 litafunikwa na jezi zitatafutwa maana demand ni kubwa sana utaona foleni zitakazopangwa kwenye maduka ya vunjabei

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Nawaambia jamaa zangu hapa hizi ni jezi za Simba sio kama flana za CWT(Utoooo..de...Atletico) so watulie na pesa tukafanye manunuzi usikuu
 
Wewe Utopolo mambo ya Simba unayapenda sana.
Tumechelewa kutoa jezi kutokana na suala la mdhamini..yaani mabadiliko yaliyofanyika kutoka sports....kwenda Mbet
Kuna mgongano wa kimaslahi kidogo na ucheleweshaji wa oda kutokana na kuchelewa kwa jina la mdhamini mpya M BET... kwa hiyo wanaharakisha ndani ya wiki hii zitatoka
 
We jamaa ni hater mbaya sana

kiwanda cha uongo hiki hapa
Wewe Utopolo mambo ya Simba unayapenda sana.
Tumechelewa kutoa jezi kutokana na suala la mdhamini..yaani mabadiliko yaliyofanyika kutoka sports....kwenda Mbet

Yaani Uongozi unafanya Uzembe kabisa mnaleta siasa nyingi tu..leo hii mimi nionekane hater, muongo? kwani kuna ukweli gani mwingine tofauti na huo niliosema? Hamuoni kwamba hizo changamoto za uzalishaji na sababu zilizo nje ya uwezo wenu ndio tatizo? kwa maana siamini Klabu hiyo inashindwa kumlipa mzabuni kiasi sahihi cha pesa

Na sijawalazimisha muelewe ninavyofahamu mimi
 
Jezi zitatoka usiku kabla ya siku ya uto day ili tuwavuruge vizuri
 
Safari hii zitauzwa Stika tu, jezi ni zilezile. Tunabandua Stika za Sport pesa tuna Bandika M-bet.
Tutazindua jezi zetu siku ya wananchi, ili tuwavuruge vizuri.
 
Tutazindua jezi zetu siku ya wananchi, ili tuwavuruge vizuri.
Siku ya Mwananchi jezi utamuuzia nani wakati Simba wenyewe ni wananchi. Hakuna ata Mwananchi mmoja katika Nchi hii atakubali kupitwa na jambo la kitaifa.
Siku ya Mwananchi ni siku ya kitaifa Kwa wananchi kupitia redio,television n.k kujumuika katika matukio ya Uwanjani.
 
Kwa ambao tulikua space ya simba barbra alisema hawatotangaza muda wa kuzindua jezi maana last season walipotangaza kuna watu wakampata mtengenezaji wa jezi huko china aliekua na big order wakamlaghai kidogo zikavuja ikabidi wabadilishe ghafla kusave mauzo
Hawataki hilo lijirudie wamesema
 
Kwanini Simba haijazindua jezi zake ikiwa zimebaki siku 4 kabla ya Siku ya Simba?
Uongozi wa simba s.c umepanga namna nzuri zaidi ya kufanya uzinduzi huo.
Kawaida watu wanatakiwa kupanga mipango yao vile watakavyoona inafaa na siyo kwa kuangalia mihemko ya Jirani yao.
 
Simba wamekuwa wasiri mno, hadi sasa maadui hawajapata sampo
 
Simba wamekuwa wasiri mno, hadi sasa maadui hawajapata sampo
Simba Kuna mapungufu makubwa kwenye uongozi, Kuna mambo yanaendeshwa ayafanani na uhalisia wa mpira wa miguu.
Ni swala la muda tu kilakitu kitakua Hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…