Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,160
- 1,359
Anakuwaje Hater, na msemaji Ahmed ndio kasema hivyo kuhusu issue ya badiliko la mdhamini.We jamaa ni hater mbaya sana
Mtazamo wangu: Jezi ikiwa nzuri watauza vizuri kwa namna mashabiki wanavyoisubiri... kibongo bongo unauza jersey vizuri ndani ya wiki ya release mpaka miezi mitatu, tukisogea vizuri klabu bingwa inaongezeka.
Hii biashara bila ujanja unapigwa sana na watu wa piracy.