Kwanini Simba haijazindua jezi zake ikiwa zimebaki siku 4 kabla ya Siku ya Simba?

Kwanini Simba haijazindua jezi zake ikiwa zimebaki siku 4 kabla ya Siku ya Simba?

Yaani Uongozi unafanya Uzembe kabisa mnaleta siasa nyingi tu..leo hii mimi nionekane hater, muongo? kwani kuna ukweli gani mwingine tofauti na huo niliosema? Hamuoni kwamba hizo changamoto za uzalishaji na sababu zilizo nje ya uwezo wenu ndio tatizo? kwa maana siamini Klabu hiyo inashindwa kumlipa mzabuni kiasi sahihi cha pesa

Na sijawalazimisha muelewe ninavyofahamu mimi
Jamaa yangu mambo ya Simba hayakuhusu..Baki na Utopolo wako
 
Siku ya Mwananchi jezi utamuuzia nani wakati Simba wenyewe ni wananchi. Hakuna ata Mwananchi mmoja katika Nchi hii atakubali kupitwa na jambo la kitaifa.
Siku ya Mwananchi ni siku ya kitaifa Kwa wananchi kupitia redio,television n.k kujumuika katika matukio ya Uwanjani.
Soma Avarar yako kwanza.
 
Kuna mgongano wa kimaslahi kidogo na ucheleweshaji wa oda kutokana na kuchelewa kwa jina la mdhamini mpya M BET... kwa hiyo wanaharakisha ndani ya wiki hii zitatoka
Umeshaishiwa porojo, huna jipya tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti
 
Siku ya Mwananchi jezi utamuuzia nani wakati Simba wenyewe ni wananchi. Hakuna ata Mwananchi mmoja katika Nchi hii atakubali kupitwa na jambo la kitaifa.
Siku ya Mwananchi ni siku ya kitaifa Kwa wananchi kupitia redio,television n.k kujumuika katika matukio ya Uwanjani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka mnooo, unalazimisha furaha na venye hamna lol

Byuti byuti
 
Walitoa advance, wamekosa pesa ya kumaliza ili wachukue mzigo, Fred analalamika biashara ya hizo jezi msimu uliopita ilimkata.
 
Biashara hapo inafanyika wakitangaza tarehe 5 usiku tukio la tarehe 6 litafunikwa na jezi zitatafutwa maana demand ni kubwa sana utaona foleni zitakazopangwa kwenye maduka ya vunjabei

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Jezi za Simba hazijawahi kuwa na demand kubwa kushinda za Yanga. Hata hivyo vitambaa vyenu viko tayari na napambana hapa kuna mwanangu alipiga picha zote, nikuhakikishie ni MBOVU.
 
Kwa ambao tulikua space ya simba barbra alisema hawatotangaza muda wa kuzindua jezi maana last season walipotangaza kuna watu wakampata mtengenezaji wa jezi huko china aliekua na big order wakamlaghai kidogo zikavuja ikabidi wabadilishe ghafla kusave mauzo
Hawataki hilo lijirudie wamesema
Ishu sio kuvuja, UBORA. usijitoe ufahamu zikivuja wakati ni BORA hazitouzika? Utetezi wa kifala sana mlioambiwa na mlivyo mambumbumbu mkakubali, hamna akili kichwani.
 
Back
Top Bottom