Kwanini Simba haijazindua jezi zake ikiwa zimebaki siku 4 kabla ya Siku ya Simba?

Jamaa yangu mambo ya Simba hayakuhusu..Baki na Utopolo wako
 
Soma Avarar yako kwanza.
 
Kuna mgongano wa kimaslahi kidogo na ucheleweshaji wa oda kutokana na kuchelewa kwa jina la mdhamini mpya M BET... kwa hiyo wanaharakisha ndani ya wiki hii zitatoka
Umeshaishiwa porojo, huna jipya tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka mnooo, unalazimisha furaha na venye hamna lol

Byuti byuti
 
Walitoa advance, wamekosa pesa ya kumaliza ili wachukue mzigo, Fred analalamika biashara ya hizo jezi msimu uliopita ilimkata.
 
Biashara hapo inafanyika wakitangaza tarehe 5 usiku tukio la tarehe 6 litafunikwa na jezi zitatafutwa maana demand ni kubwa sana utaona foleni zitakazopangwa kwenye maduka ya vunjabei

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Jezi za Simba hazijawahi kuwa na demand kubwa kushinda za Yanga. Hata hivyo vitambaa vyenu viko tayari na napambana hapa kuna mwanangu alipiga picha zote, nikuhakikishie ni MBOVU.
 
Ishu sio kuvuja, UBORA. usijitoe ufahamu zikivuja wakati ni BORA hazitouzika? Utetezi wa kifala sana mlioambiwa na mlivyo mambumbumbu mkakubali, hamna akili kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…