Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
mbona hamzungumzii singida au azam kuanza na full mkoko? Utopolo bhana, kisa unachezesha wavulana unataka na simba ifanye hivyo hivyo. Kila timu na mipango yakeUnauliza swali ambalo jibu lake liko wazi kabisa. Kwani mbadala wa hao wachezaji wako wapi? Unaweza ukaniambia alipo Mohamed Hussein na Enock Inonga? Wangekuwepo, wasingeqnza?