Kwanini Simba huingiza kikosi kamili kwenye kombe la mapinduzi?

Kwanini Simba huingiza kikosi kamili kwenye kombe la mapinduzi?

Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita

Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.

2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.

3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu

NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
We jamaa ni Yanga mwenzangu. Ila ni kilaza sana. Mpaka kuna wakati naona aibu. Tatizo ni nini? Lishe si nzuri?
 
We jamaa ni Yanga mwenzangu. Ila ni kilaza sana. Mpaka kuna wakati naona aibu. Tatizo ni nini? Lishe si nzuri?
Mimi sina timu mkuu......sisi wachambuzi hatuna timu kazi yetu ni kuusemea mpira wa bongo......

Timu ikizingua tunaichana makavu
 
Sasa hawapo nitajuaje, hata kama mada ni ya kipuuzi kisa kaandika mwanayanga unakubaliana nayo

Anyway naona huu ujinga wa wengi jukwaani.
Kwa hiyo hata wachezaji walioitwa kwenye timu zao za Taifa kutoka Simba na Yanga, hata huwajui!! Uko dunia ya wapi mkurugenzi!!
 
Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita

Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.

2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.

3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu

NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Mimi naona Simba wako sawa Kwa wakati walionao. Kocha kaja mpya kapata bahati ya kupata mashindano yasiyo rasmi kutekeleza mbinu zake sasa afanyeje. Lakini pia ligi iko mbali huenda ikarudi mwezi wa pili naona hana cha kupoteza. Hata Yanga mwisho wa siku watalazimika tu kutafuta mechi za kirafiki ili wajiweke fiti.
 
Mimi sina timu mkuu......sisi wachambuzi hatuna timu kazi yetu ni kuusemea mpira wa bongo......

Timu ikizingua tunaichana makavu
Wewe mchaa mbuzi[emoji23][emoji23][emoji23] dah
 
Back
Top Bottom