mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Utaweweseka Sana!! Naona mnajiandaa kutafuta sababu na visingizio mapema!! Hakuna timu yenue wachezaji 11 tu.Anazingua.... kweli mapinduzi cup ndiyo ya kuwapeleka mastaa kina Phil.... ayubu
We jamaa ni Yanga mwenzangu. Ila ni kilaza sana. Mpaka kuna wakati naona aibu. Tatizo ni nini? Lishe si nzuri?Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita
Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.
2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.
3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu
NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Tuliongea sisi mpaka tukachoka..jamaa yenu ana wehuka..We jamaa ni Yanga mwenzangu. Ila ni kilaza sana. Mpaka kuna wakati naona aibu. Tatizo ni nini? Lishe si nzuri?
Mimi sina timu mkuu......sisi wachambuzi hatuna timu kazi yetu ni kuusemea mpira wa bongo......We jamaa ni Yanga mwenzangu. Ila ni kilaza sana. Mpaka kuna wakati naona aibu. Tatizo ni nini? Lishe si nzuri?
Wewe MCHA - MBUZI labda. Sisi Yanga tunawafagia Vilaza wote.Mimi sina timu mkuu......sisi wachambuzi hatuna timu kazi yetu ni kuusemea mpira wa bongo......
Timu ikizingua tunaichana makavu
HahahahaHiyo namba mbili ndo jibu sahihi hapo Mkuu.
Kwa hiyo hata wachezaji walioitwa kwenye timu zao za Taifa kutoka Simba na Yanga, hata huwajui!! Uko dunia ya wapi mkurugenzi!!Sasa hawapo nitajuaje, hata kama mada ni ya kipuuzi kisa kaandika mwanayanga unakubaliana nayo
Anyway naona huu ujinga wa wengi jukwaani.
Mimi naona Simba wako sawa Kwa wakati walionao. Kocha kaja mpya kapata bahati ya kupata mashindano yasiyo rasmi kutekeleza mbinu zake sasa afanyeje. Lakini pia ligi iko mbali huenda ikarudi mwezi wa pili naona hana cha kupoteza. Hata Yanga mwisho wa siku watalazimika tu kutafuta mechi za kirafiki ili wajiweke fiti.Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita
Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.
2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.
3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu
NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Vijana wenu kina MzizeThat's y anawapa nafasi vijana
sawa nilitaka tu ujichanganye ndo ulichofanya. wewe ulikuja yanga na manara bila shakaSawa Mr kolo
Wewe ni mpuuzi...Tunazingua mkuu.....huu ulikuwa ni muda wa kuwaamini vijana
Unatumia nguvu kubwa kujibu hoja za vichaa wasio na akiliAbdallah khamisi, Kennedy, Israel ni wachezaji ambao huwa wanaanza?
Punguzeni shobo,msitupangie cha kufanya....[emoji23][emoji23]Unauliza swali ambalo jibu lake liko wazi kabisa. Kwani mbadala wa hao wachezaji wako wapi? Unaweza ukaniambia alipo Mohamed Hussein na Enock Inonga? Wangekuwepo, wasingeqnza?
Mbona nyie mmesajili kabisa chapombe kwa ajili ya hilo kombe,Anazingua.... kweli mapinduzi cup ndiyo ya kuwapeleka mastaa kina Phil.... ayubu
Wewe mchaa mbuzi[emoji23][emoji23][emoji23] dahMimi sina timu mkuu......sisi wachambuzi hatuna timu kazi yetu ni kuusemea mpira wa bongo......
Timu ikizingua tunaichana makavu