Kwanini Simba SC ikizifunga Timu Pinzani (ikiwemo Yao) Goli Nyingi (Dazani) haitambi Kishamba kama Wao?

Kwanini Simba SC ikizifunga Timu Pinzani (ikiwemo Yao) Goli Nyingi (Dazani) haitambi Kishamba kama Wao?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wao wenyewe Wameshakula (Wameshafungwa) mno nasi Goli 6 kwa 0, Goli 5 kwa 0 huku hizi Goli Nne Nne (4) akiwa ameshafungwa mara nyingi tu ila Watu wa Simba SC wala Hawawehuki hovyo na Kishamba kama Wao.

Wakimbahatisha tu Kumfunga Mjinga Mjinga Goli nyingi Wataanza Kutamba Mitaani, Mitandaoni na Redioni kama vile hata Robo Fainali tu ya CAFCL wameshawahi Kuinusa / Kuiingia hata mara moja wakati Wenzao (Simba SC) hiyo hatua tumeshafika mara Tatu mpaka sasa tumeikinai na tunataka ama tuivuke tuingie Nusu.

Fainali au Fainali kabisa.
 
Wao wenyewe Wameshakula (Wameshafungwa) mno nasi Goli 6 kwa 0, Goli 5 kwa 0 huku hizi Goli Nne Nne (4) akiwa ameshafungwa mara nyingi tu ila Watu wa Simba SC wala Hawawehuki hovyo na Kishamba kama Wao...
Swali lako linge eleweka vizuri zaidi ungeandika hivi "Kwa nini kila mechi Yanga ikishinda wapinzani wanasepa Yanga kashinda kwa kutumia bahasha",.

Ama

"Mechi 49 za Yanga kushinda bila kupoteza ali shinda kwa sababu ya kutumia bahasha"

Ila huku makolo nao ukiwaweka kwa sababu kila mechi wakikutana nae anagongwa.
 
Hivi ni mwaka gani ambao yanga alimbeba Simba?
Acha uongo Simba alijinusuru mwenyewe kwa kutoa sare na African Sport
Sijasema Yanga alimbeba Simba! Yanga hawezi kumbeba Simba abadan! Walikuwepo na wapo wanaombeba Simba hata leo. Yanga ana hadhi kubwaaa buannaaaa!!!
 
Sijasema Yanga alimbeba Simba! Yanga hawezi kumbeba Simba abadan! Walikuwepo na wapo wanaombeba Simba hata leo. Yanga ana hadhi kubwaaa buannaaaa!!!
Kuna vilaza wanawapotosha watu eti yanga aliibeba simba kwa kuruhusu simba washinde
 
Wao wenyewe Wameshakula (Wameshafungwa) mno nasi Goli 6 kwa 0, Goli 5 kwa 0 huku hizi Goli Nne Nne (4) akiwa ameshafungwa mara nyingi tu ila Watu wa Simba SC wala Hawawehuki hovyo na Kishamba kama Wao.

Wakimbahatisha tu Kumfunga Mjinga Mjinga Goli nyingi Wataanza Kutamba Mitaani, Mitandaoni na Redioni kama vile hata Robo Fainali tu ya CAFCL wameshawahi Kuinusa / Kuiingia hata mara moja wakati Wenzao (Simba SC) hiyo hatua tumeshafika mara Tatu mpaka sasa tumeikinai na tunataka ama tuivuke tuingie Nusu.

Fainali au Fainali kabisa.
upofu wa mawazo
 
Timu isiyoshiriki ligi ya mabingwa unaitajataja ili iwe nini?
 
Wao wenyewe Wameshakula (Wameshafungwa) mno nasi Goli 6 kwa 0, Goli 5 kwa 0 huku hizi Goli Nne Nne (4) akiwa ameshafungwa mara nyingi tu ila Watu wa Simba SC wala Hawawehuki hovyo na Kishamba kama Wao.

Wakimbahatisha tu Kumfunga Mjinga Mjinga Goli nyingi Wataanza Kutamba Mitaani, Mitandaoni na Redioni kama vile hata Robo Fainali tu ya CAFCL wameshawahi Kuinusa / Kuiingia hata mara moja wakati Wenzao (Simba SC) hiyo hatua tumeshafika mara Tatu mpaka sasa tumeikinai na tunataka ama tuivuke tuingie Nusu.

Fainali au Fainali kabisa.
Kama ambavyo sisi huwa hatushangilii nyinyi mkiweka mpira kwapani na kutokomea mitaani.[emoji16][emoji23][emoji23]
 
Wao wenyewe Wameshakula (Wameshafungwa) mno nasi Goli 6 kwa 0, Goli 5 kwa 0 huku hizi Goli Nne Nne (4) akiwa ameshafungwa mara nyingi tu ila Watu wa Simba SC wala Hawawehuki hovyo na Kishamba kama Wao.

Wakimbahatisha tu Kumfunga Mjinga Mjinga Goli nyingi Wataanza Kutamba Mitaani, Mitandaoni na Redioni kama vile hata Robo Fainali tu ya CAFCL wameshawahi Kuinusa / Kuiingia hata mara moja wakati Wenzao (Simba SC) hiyo hatua tumeshafika mara Tatu mpaka sasa tumeikinai na tunataka ama tuivuke tuingie Nusu.

Fainali au Fainali kabisa.
Wewe unatokea mitaa ipi ambayo simba hawashangilii wakishinda? Utakuwa mburundi wewe
 
Wakati huohuo pia bwana GENTAMYCINE Wananchi wanajiuliza pia, kwanini Yanga SC ikizifunga timu pinzani (ikiwemo wao), haivui mashati na kubaki kifua wazi kishamba kama wao (Makolo)!

Okrah vs Yanga

Dogo Mohammed Mussa vs African Sport

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom