Kwanini Simba wamesherehekea mno kuifunga Yanga?

Unajifariji tu utopolo. Timu haipo hata top 20 Bora barani Afrika halafu ndio iwe goliath?
Kaka timu Zina kupanda na kushuka, Simba imeshuka inasaidiwa na takwimu za zamani wakati Iko juu, hata hivyo hakuna asiyejua kuwa Simba waliwasha moto kiwanjani kule SA. Sasa kama waliweza kufanya vile kule SA je kwamkapa walifanya mangapi?
 
Naona ndugu wa marehemu mliotuchelewesha tusizike ndiyo mnaingia mnaamsha vilio tena
 
Kosa walilolifanya Simba ni kutowafunga 5.Hizi kelele zilizobaki zingekoma.Kocha Nabi amechanganyikiwa.
Kiboko yake yupo alipotajiwa akaweweseka na kumtaja Mourinho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: Tui
Kwani Simba ameipataje nafasi ya kushiri champions, alikuwa bigwa wa nini msimu uliopita? Simba imeshuka viwango, hata kufika hapo alipo alipangiwa uchochoro wa big bullets, de agosto, kisha Vipers vibonde kwenye mashindano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kweli umevurugwaaa, na nyie Zalan Fc ?? Poleeeeeh
 
Kaka timu Zina kupanda na kushuka, Simba imeshuka inasaidiwa na takwimu za zamani wakati Iko juu, hata hivyo hakuna asiyejua kuwa Simba waliwasha moto kiwanjani kule SA. Sasa kama waliweza kufanya vile kule SA je kwamkapa walifanya mangapi?
Endelea kujifariji.Hata juzi uliwashwa Moto ndio maana mkakandamizwa. Hata mlipopigwa 5G, 4G ilikuwa ni moto. Timu inatajwa kuwa bora kutokana na mafanikio kwenye mashindano au ligi kubwa inayoshiriki. Sasa nyinyi ni Bora kutokana na mashindano au ligi ipi?
 
Reactions: Tui
Kwani Simba ameipataje nafasi ya kushiri champions, alikuwa bigwa wa nini msimu uliopita? Simba imeshuka viwango, hata kufika hapo alipo alipangiwa uchochoro wa big bullets, de agosto, kisha Vipers vibonde kwenye mashindano.
Duh hizi hoja zako zinafurahisha.Kwani Raja Casablanca amepataje nafasi champions alikuwa bingwa wa nini? Mnajivunia kumfunga TP Mazembe Ila Vipers aliemtoa TP Mazembe mnamuona ni kibonde. Hakuna timu Bora halafu inashiriki shirikisho.Jueni huo ukweli.
 
Reactions: Tui
Tangu kuanzishwa rasmi Kwa ligi kuu Tanzania Bara au iliyokua Ligi ya Muungano.
Simba si mshindani wa Yanga ila ni timu inayo ipa Yanga changamoto katika kutwaa Mataji/Makombe.
Na itabaki kuwa hivyo kwakua kiasili Simba ni mfupa katika mifupa ya Yanga.
 
Hata watopolo wenzako wamekupotezea tu. Kubali mlizidiwa kimchezo,hakuna maelezo zaidi ya ukweli huu,wote mchezo tuliushuhudia.
 
Reactions: Tui
Kuna wakati unajikuta tu umeshasoma post kutoka kwa mtu mpumbavu. Mpumbavu wa Moira, asiyejua anaongea Nini.

Ila Nina mashaka na unachotumia kufikiri si kichwa.

Utopoloni wenye maarifa Ni wawili tu!
Kaongezeka mmoja Haji Manara wamekuwa watatu
 
Reactions: Tui
Bado mnaweweseka tu? Kuna rivers wanawasubiri huko.
 
Reactions: Tui
Hata Yanga wangeshinda wangefanya kama wanavyofanya Simba tena inawezekana ingekuwa ni zaidi ya wanavyofanya Simba

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Eti Yanga ni nini kuliko Simba? Twende kwenye takwimu za kimataifa tukianzia CAF Yanga ni ya ngapi na Simba ni ya ngapi? Au ubora upi unaouzungumzia?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Tui
Eti Yanga ni nini kuliko Simba? Twende kwenye takwimu za kimataifa tukianzia CAF Yanga ni ya ngapi na Simba ni ya ngapi? Au ubora upi unaouzungumzia?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Akijibu kwa takwimu ni tag.Sana sana atakuambia ohh tutachukua ubingwa.Walichukua ubingwa msimu uliopita na matokeo wakaangukia kwenye Losers Cup.
Bila bahasha na marefa wa michongo Uto angekuwa wa 3 mpaka sasa.Wakibisha wape namba ya Kibu D.
 
Eti Yanga ni nini kuliko Simba? Twende kwenye takwimu za kimataifa tukianzia CAF Yanga ni ya ngapi na Simba ni ya ngapi? Au ubora upi unaouzungumzia?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kweli Mbumbumbu ni mbumbumbu tu, kimataifa hakuna dhana ya timu Yangu Inashika nafasi ya ngapi katika rank za CAF kwakua Kila mwaka tangu mashindano ya anzishwe izo namba hubadilika.
CAF timu zinashindana Kwa kutwaa Mataji.
Sio kama uku kwetu Simba inajivunia kushika nafasi ya pili chini ya Yanga, kule CAF hakuna upuuzi huo, kusema wewe wa pili au watatu kule ni aibu, kule yanaongelewa Mataji tu.
Inshallah soon Yanga tunakwenda kutwaa Taji la kwanza kule CAF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…