Kwanini siponi Amoeba? Je, kuna uhusiano gani kati ya Amoeba na Minyoo ya Ascaris?

Kwanini siponi Amoeba? Je, kuna uhusiano gani kati ya Amoeba na Minyoo ya Ascaris?

Ndugu pole sana kwa hilo tatizo. Mbegu za papai ni dawa nzuri sana ya amoeba. Zianike zikauke vizuri then zisage uchanganye kwenye chai kijiko kimoja cha chakula asubuhi na jioni kwa kama siku 3 hivi. Amoeba pamoja na malaria na minyoo yote itatoka. Ila uwe na limau karibu manake zina kichefuchefu. Pole sana ndugu. Ukifanikiwa tupe taarifa
 
Sorry for asking tena Dumelambegu, last episode ya kuharisha ilikuwa lini? Yalikuwa majimaji au choo laini? Umeshawahi fanyiwa stool culture? Na umri wako(if you dont mind)? na afya yako ikoje,any signs za kupungua-? Unajua mtu anayetumia dawa za minyoo kama kweli ipo ikifa inatolewa kwa njia ya haja. Kama unatumia choo cha maji(indian type) utaiona tu unless uwe unalenga kwenye kashimo. Na mtu anayekuwa na minyoo kwa muda mrefu kunakuwa na competition ya nutrient ko unajikuta unakula lakini unapungua ndo maana kwa watoto ambao ni vulnerable unaona kabisa kwamba afya yake ni mgogoro. I can suggest colonoscopy kujua what is exactly going on in your colon(utumbo mpana). Happy new year!!

Ndugu yangu Nyalotsi usijali kabisa kwa kuniuliza maswali mengi hata kama yanajirudia. Kimsingi, nipo hapa kupata suluhisho la tatizo lililonisibu muda mrefu sana. Kila maelezo utakayohitaji kwangu utayapata kadri ninavyofahamu. Sasa ningependa kujibu maswali yako kama ifuatavyo:-

Muda mrefu umepita tangu nilipoharisha kwa maana halisi ya kuharisha. Mara kwa mara nimekuwa nikipata choo cha kawaida yaani siyo kigumu wala laini sana. Ni mara chache sana napata choo kigumu kiasi cha kuumia.

Kuna wakati nilifanyiwa culture na walibaini typhoid na aina ya dawa ambayo ingefaa. Nilipata tiba na ilinisaidia. Baada ya wiki kama moja hivi niliendelea kujisikia vibaya. Nilipopima niliambiwa nina amoeba.

Umri wangu ni miaka 45.

Afya yangu kwa ujumla kimwonekano ni nzuri. Kwa kuniona, ni vigumu kubaini kama ndiye mwenye hayo matatizo. Nina haiba nzuri tu labda ni kwa sababu nakula chakula kama kawaida ingawa nateseka na maumivu ya tumbo. Kumbuka pia, nimepima mara kadhaa vidonda vya tumbo na kuambiwa sina kabisa.

Kuhusu kuona minyoo, kwa kweli sijawahi kuona. Choo ninachotumia siyo cha shimo. Hivyo, nimekuwa nikikiona choo mara kwa mara na mara zote sijawahi kuona minyoo.

Kuhusu colonoscopy ningependa kujua undani wa kipimo hicho na ni wapi kinapoweza kufanyika nifanye.

Otherwise, nikushukuru kwa kutenga muda wako wa kufuatilia tatizo langu.
 
Nimekupata dumelambegu, hicho kipimo ni kama camera ambayo inapitishwa kupitia njia ya haja kubwa ili kujua matatizo yaliyopo kwenye utumbo mkubwa. Huwa wanafanyiwa watu wenye matatizo tofauti ya utumbo mkubwa. Pia naomba nikuulize swali jingine, ulishawahi kaa na daktari mmoja kwenye matibabu yako? Kosa la mfumo wa afya wa nchi yetu unasababisha watu wawe wanaona na madaktari tofauti katika hospitali tofauti kila siku. Hii husababisha watu kutofuatiliwa vizuri kwenye maendeleo yao. Mf dr aliyeanza na wewe toka mwanzo angekuwa na mwendelezo mzuri wa vipimo pamoja na matibu kuliko ile ya leo uko na huyu kesho mwingine. Unajua consistency ya maelezo inakuwa tofauti kila siku. Na kila unayekutana naye anaanza upya kukuuliza. Ndo maana kwa wenzetu mtu anakuwa na dr wa familia ambaye anakuwa responsible kwa maendeleo ya afya yako kwani you pay him. Ushauri wangu, tafuta daktari(md au specialist wa infectious) ambaye utamuelezea vizuri tatizo lako kuanzia mwanzo mpaka mwisho aafu mjadiliane pa kuanzia. Usimfundishe kufanya kazi ila uwe kama unajadiliana naye kila hatua. (Kuna wagonjwa wanakujaga na kukuambia nahisi nna malaria niandikie dawa, inakera sana hii). Ukimpata ambaye utakuwa unamuona as a private patient ni nzuri zaidi ila ni costful kwani you have to pay for him kwani yeyed ndo ataangalia maendeleo yako kila unavyokwenda hospital.
 
Nimekupata dumelambegu, hicho kipimo ni kama camera ambayo inapitishwa kupitia njia ya haja kubwa ili kujua matatizo yaliyopo kwenye utumbo mkubwa. Huwa wanafanyiwa watu wenye matatizo tofauti ya utumbo mkubwa. Pia naomba nikuulize swali jingine, ulishawahi kaa na daktari mmoja kwenye matibabu yako? Kosa la mfumo wa afya wa nchi yetu unasababisha watu wawe wanaona na madaktari tofauti katika hospitali tofauti kila siku. Hii husababisha watu kutofuatiliwa vizuri kwenye maendeleo yao. Mf dr aliyeanza na wewe toka mwanzo angekuwa na mwendelezo mzuri wa vipimo pamoja na matibu kuliko ile ya leo uko na huyu kesho mwingine. Unajua consistency ya maelezo inakuwa tofauti kila siku. Na kila unayekutana naye anaanza upya kukuuliza. Ndo maana kwa wenzetu mtu anakuwa na dr wa familia ambaye anakuwa responsible kwa maendeleo ya afya yako kwani you pay him. Ushauri wangu, tafuta daktari(md au specialist wa infectious) ambaye utamuelezea vizuri tatizo lako kuanzia mwanzo mpaka mwisho aafu mjadiliane pa kuanzia. Usimfundishe kufanya kazi ila uwe kama unajadiliana naye kila hatua. (Kuna wagonjwa wanakujaga na kukuambia nahisi nna malaria niandikie dawa, inakera sana hii). Ukimpata ambaye utakuwa unamuona as a private patient ni nzuri zaidi ila ni costful kwani you have to pay for him kwani yeyed ndo ataangalia maendeleo yako kila unavyokwenda hospital.
Mkuu Nyalotsi, ukweli ni kwamba sijawahi kukaa na daktari mmoja kwa muda mrefu na hii inatokana na nature ya kazi yangu. Otherwide, nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja kwamba kutokuwa na daktari mmoja kumechangia kwa kiasi kikubwa kushamiri kwa tatizo langu la tumbo.

Lakini vilevile kuna tatizo la msingi la madaktari ninaokutana nao kuwa na sifa moja ya kutokuwa wafuatiliaji na wadadisi kiasi cha kutosha kwa lengo la kumsaidia mgonjwa. Siwezi kuwalaumu kwa sababu inawezekana hali hii ni mojawapo ya viashiria vya maslahi duni ya madaktari wetu hapa nchini kwa ujumla. Nasema hivi kwa sababu katika mara zote ambazo nilibahatika kuonana na madaktari tena wale wanaoitwa specialists wa magonjwa ya tumbo, nilitoa maelezo ya kina sana kuhusu historia ya tatizo langu. Nilijua kwa kuwa precise kwenye maelezo ya namna ninavyoumwa, wakati gani nilianza kujisikia hivyo na mazingira ya maisha ninayoishi kila siku, ingetoa picha nzuri kwa daktari kwanza kuelewa ukubwa wa tatizo lakini pili ku-single out tatizo kabla hata ya kufanya uchunguzi wa kina. Ajabu ni kwamba pamoja na kutoa maelezo hayo, nimekuwa nikiishia kutibiwa kwa mtindo wa kawaida kabisa usiohusisha utafiti mwendelezo. Hali hiyo imenikuta Mikocheni Hospital, Bugando na Agakhan Dar es Salaam. Mara zote nimekuwa mwoga wa kumweleza dokta namna ya kushughulikia tatizo langu kwa mwelekeo wa kiuchunguzi ulioelezwa hapo juu. Huwa naona kama ni kuingilia utaalam wa mtu tabia ambayo siyo nzuri. Pamoja na hayo, nitafanyia kazi ushauri wako.

Asante.
 
Kuhusu namna ya kupunguza gesi tumia maziwa fresh ya moto changanya na asali halisi vijiko viwili asubuhi na jioni.

Mkuu Munyangaa, nashukuru kwa ushauri wako ingawa naona kama una mwelekeo wa kutatua matokeo ya tatizo la msingi. Nadhani ni vizuri nijielekeze katika kutatua kiini cha tatizo yaani kisababishi cha gas nyingi tumboni. Bila shaka, ushauri ninaopewa wadau wengine unaweza kupelekea kupata ufumbuzi wa tatizo langu la msingi. Hata hivyo, ili gas isiniumize kwa sababu tayari ipo, nitatekeleza ushauri wako.
 
Ndugu pole sana kwa hilo tatizo. Mbegu za papai ni dawa nzuri sana ya amoeba. Zianike zikauke vizuri then zisage uchanganye kwenye chai kijiko kimoja cha chakula asubuhi na jioni kwa kama siku 3 hivi. Amoeba pamoja na malaria na minyoo yote itatoka. Ila uwe na limau karibu manake zina kichefuchefu. Pole sana ndugu. Ukifanikiwa tupe taarifa
Mkuu Dalbega, dawa hii mbadala sijawahi kuitumia. Nitajaribu kuitumia. Labda niulize, chai inatakiwa iwe nyingi kiasi gani? Nadhani dawa hii naweza kuitumia hata kama nitakuwa kwenye uchunguzi wa kina wa tumbo langu, kama alivyoshauri Nyalotsi hapo juu.
 
Mkuu dumelambegu, daktari wa jumuia ni tofauti na personal/family doctor. Unatakiwa umpate daktari ambaye utaongea naye na atakuwa anakufanyia follow up yeye, na kama hayupo basi atakueleza umuone nani ambaye atakuwa amemuachia your history. You have to pay for his time ili akutengee muda akiwa free. Hii ya kwenda na kumkuta daktari consultation room, wagonjwa wengi na malipo asubiri mwisho wa mwezi mshahara wa serikali/mwajiri inatucost tulio wagonjwa. Kwa mtu mwenye nafasi inatakiwa kuopt for loss lakini upate the best.
 
Tulipo na tunakoelekea kama huna mtu ambaye uko naye in contact afya zetu zinawekwa rehani. Na ili iwe hivyo you have to pay for him kwa hela ya kumuona katika regular basis(siyo rushwa) manake kumwajiri ni ngumu kidogo. Kusubiri madaktari wa kuonwa kama jumuia ndo inayowagharimu wajawazito wengi kwani wanakuwa hawana close follow ups za hali yake ili intervention ya mapema ifanyike
 
Mkuu labda ungeachana na dawa za Hopsitilai, jaribu kutafuta kiini cha tatizo. Inawezekana sio Amoeba ikiwa ni upungufu wa vitamini fulani. Kuna mdau kakuambia B-Complex umuhimu wake soma hapo chini. Lakini pia jaribu wakati wote unapotumia dawa kali kama Antibitic kutumia pia na Multivitamins kwa kuwa dawa nyingine zinaondoa aina fulani ya madini au vitamini mwilini. Hivyo ukipona utapata maradhi mapya ambayo yanatokana na kuathiriwa kwa cell katika damu na kina ya mwili kushuka kitaalamu inaitwa (UKIMWI) sio HIV hapana!!.


Jaribu kununua pia Multi vitamins inatwa "21st Century Dietary Supplements" zainapatikana katika maduka makubwa ya Dawa muhimu kama Nakiete, S.H Amon, Amazon, na mengine mengi tu. Zipo za "Men" na "Women" tumia hizo za "Men" sambamba na B-Complex zitasaidie mwili kuweka sawa.

P775090170.jpg


Tafuta Unga wa Dona uwe unatumia kwa ugali,

Here are HOME REMEDY FOR AMOEBA TREATMENT:

Amoebiasis Home Relief Cures | Amoebiasis Alternative Remedies

1 Comments

[TABLE="class: pagenav, align: center"]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TH="class: pagenav_prev, bgcolor: transparent"]< Prev[/TH]
[TD][/TD]
[TH="class: pagenav_next, bgcolor: transparent"]Next >[/TH]
[/TR]
[/TABLE]


Fast Relief Home Remedies for Amoebiasis

Amoebiasis_home_remedy.jpg


Amoebiasis is characterized by frequent bowel movements which is caused due to bacterial or amoeba infection in the intestine.


Characteristic Symptoms


1. Semisolid stools containing mucous and blood in some cases. This has to be given great care and taken to the doctor immediately.
2. Amoebiasis is characterized by pain or recurring diarrhea in the abdomen. It's generally characterized by frequent diarrhea and hand to hand constipation.
3. The causing organism can be found in the fresh stool and this could even from medium for spreading if not properly disposed.
AYURVEDIC VIEW


The 4 types are:

1. Fire humor problem - This distortion is caused due to the pitta or digestive and excretory system problems.
2. Pitta disorder - Pitta disease is caused due to Blood flow disorders. This will create more dullness and increase in argumentative tempore and general emotional imbalance.
3. Phlegm Body Humor vitiation - This is caused due to the irregularities in body fluid supply or loss of water in the body.
4. Air body humor - This could be translated as caused due to the dosha or irregularities in the air cavity.
Amoebiasis Relief | Cures at Home


1. Dried power of bilgri is mixed with honey is to be taken twice a day. Take approximately 1tbsp of dried bilgiri for the best results.
2. A combination mix of approx ½ gm powdered nutmeg in buttermilk has to taken twice a day.
3. Fresh Juice extracted from young neem leaves and flowers serves as a perfect remedy for amebosis. This hs to taken twice a day till the cure.
4. A fruit of bael has to mixed with jaggery to form a pul like material. This remedy is found to great benificial effects.
5. Take the pulp fo the fruit of bael mixed with some jaggery.
6. Lemon Juice on an empty stomach is good to increase the fighting qualty agianst amebeosis.
7. A mix of isabgol powder and yougurt, cumin seeds serves is an excellent ayurvedic cure for ambeosis. This recipe serves excellently 2 to 3 times a day.
8. Acute Ayurvedic Amoebiasis Remedy - Here roast the unripe furity of bael and mix it with dried ginger powder. This has to taken with buttermilk 2 or 3 times a week.
9. Take jamun preparations or eat the fruit during the season.
10. Isbgol is found to be an excellent remedy for constipation. This could be taken for acute ambeosis. This holds together the stool and facilitate for the smooth passage of stool.
11. Fried Mango tree flowers is an excellent remedy for amebeosis.
______________________________________________________________________________________________________________


This article can also be accessed through



Amoebiasis Home Relief, Alternative Remedies, Amoebiasis Alternative Medicines, Amoebas Relief at Home, Stomach Infection Cures at Home



The vitamin B-complex refers to all of the known essential water-soluble vitamins except for vitamin C. These include thiamine (vitamin B1), riboflavin (vitamin B2), niacin(vitamin B3), pantothenic acid (vitamin B5), pyridoxine (vitamin B6), biotin, folic acidand the cobalamins (vitamin B12).
"Vitamin B" was once thought to be a single nutrient that existed in extracts of rice, liver, or yeast. Researchers later discovered these extracts contained several vitamins, which were given distinguishing numbers. Unfortunately, this has led to an erroneous belief among non-scientists that these vitamins have a special relationship to each other. Further adding to confusion has been the "unofficial" designation of other substances as members of the B-complex, such as choline, inositol, and para-aminobenzoic acid (PABA), even though they are not essential vitamins.
Each member of the B-complex has a unique structure and performs unique functions in the human body. Vitamins B1, B2, B3, and biotin participate in different aspects of energy production, vitamin B6 is essential for amino acid metabolism, and vitamin B12 and folic acid facilitate steps required for cell division. Each of these vitamins has many additional functions. However, contrary to popular belief, no functions require all B-complex vitamins simultaneously.
Human requirements for members of the B-complex vary considerably from 3 mcg per day for vitamin B12 to 18 mg per day for vitamin B3 in adult males, for example. Therefore, taking equal amounts of each one as provided in many B-complex supplements makes little sense. Furthermore, there is little evidence supporting the use of megadoses of B-complex vitamins to combat everyday stress, boost energy, or control food cravings, unless a person has a deficiency of one or more of them. Again, contrary to popular belief, there is no evidence indicating people should take all B vitamins to avoid an imbalance when one or more individual B vitamin is taken for a specific health condition.
Most multi vitamin products contain the B-complex along with the rest of the essential vitamins and minerals. Since they are more complete than B-complex vitamins alone, multiple vitamin-mineral supplements are recommended to improve overall micronutrient intake and prevent deficiencies.







Vitamin B Complex has been used in connection with the following health conditions:

[TABLE="class: hni_RelTable, width: 940"]
[TR]
[TH="class: hni_RelTableHeader hni_RelConceptNameColumn, align: center"]Used for[/TH]
[TH="class: hni_RelTableHeader hni_RelShadedColumn, align: center"]Amount[/TH]
[TH="class: hni_RelTableHeader hni_RelLastColumnText, align: center"]Why[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Wound Healing[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Follow label directions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.3Star.gif
Thiamine (vitamin B1), pantothenic acid (vitamin B5), and other B vitamins have all been shown to play a role in wound healing. For this reason, some healthcare practitioners recommend a high-potency B vitamin supplement to promote wound healing.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Canker Sores[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]300 mg B1 daily, 20 mg B2 daily, 150 mg B6 daily[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.2Star.gif
People with recurrent canker sores may have a B vitamin deficiency. Supplementing with vitamins B1, B2, and B6 has been reported to provide relief.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Acne Rosacea[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
The relationship between B vitamins and rosacea is unclear, one study found it caused rocacea-like symptoms, other preliminary reports have found benefits.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Alcohol Withdrawal[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
Research suggests it is possible that successful treatment of B-complex vitamin deficiencies may actually reduce alcohol cravings, because animals crave alcohol when fed a B-complex-deficient diet.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Anxiety[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
Double-blind research suggests that supplementing with vitamin B-complex multivitamin may reduce feelings of anxiety, perceived stress, and tiredness.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Athletic Performance[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
B-complex vitamins are needed to produce energy from carbohydrates. Exercisers may have slightly increased requirements for some of the B vitamins, including vitamins B2, B6, and B5, athletic performance can suffer if these slightly increased needs are not met.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Attention Deficit Hyperactivity Disorder[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
B vitamins have been used for ADHD. High amounts of B vitamins have shown mixed results in relieving ADHD symptoms.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Hives[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
In one study, treatment with a hydrochloric acid supplement and a vitamin B-complex supplement helped to treat people with hives.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Indigestion, Heartburn, and Low Stomach Acidity, and Vitamin B12 Deficiency[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
For people who have inadequate absorption of vitamin B12 due to low stomach acid, supplementing with vitamin B complex can help correct a deficiency.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Osteoporosis[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
In one trial postmenopausal women who combined hormone replacement therapy with B vitamins and other nutrients and dietary changes increased their bone density by a remarkable 11%.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Premenstrual Syndrome[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
Research has linked B vitamin deficiencies to PMS, so some women may benefit from supplementing with B-complex vitamins for symptom relief.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Tardive Dyskinesia[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
In some studies, taking vitamin B-complex along with other nutrients appeared to prevent the development of tardive dyskinesia.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: hni_RelConceptNameColumn"]Vitiligo[/TD]
[TD="class: hni_RelShadedColumn, bgcolor: #E8E8E8"]Refer to label instructions[/TD]
[TD="class: hni_RelLastColumnText"]
master.k.m.us.1Star.gif
PABA, a compound commonly found in B-complex vitamins, has been shown to repigment skin affected by vitiligo.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

References
 
Mkuu dumelambegu, daktari wa jumuia ni tofauti na personal/family doctor. Unatakiwa umpate daktari ambaye utaongea naye na atakuwa anakufanyia follow up yeye, na kama hayupo basi atakueleza umuone nani ambaye atakuwa amemuachia your history. You have to pay for his time ili akutengee muda akiwa free. Hii ya kwenda na kumkuta daktari consultation room, wagonjwa wengi na malipo asubiri mwisho wa mwezi mshahara wa serikali/mwajiri inatucost tulio wagonjwa. Kwa mtu mwenye nafasi inatakiwa kuopt for loss lakini upate the best.
Asante sana ndugu yangu Nyalotsi na Mungu akubariki sana kwa mchango wako. Believe me, maelezo yako ya-create a new erra ya maisha yangu kiafya. Nitajitahidi nimpate daktari siyo kwa ajili yangu bali kwa ajili ya familia nzima. Kwangu mimi, sijali sana gharama ilimradi kugharamika huko kutaniletea afya njema kwangu, kwa mke na watoto wangu pia.
 
Mkuu Ngoswe,

Katika dawa aina za Dietary Supplements nimenunua na kuanza kutumia NEUROSUPPORT. Je, hiyo inafaa? Je, naweza kuendelea kutumia hiyo pamoja na B-Complex?

Asante.
 
Ndugu yangu Nyalotsi usijali kabisa kwa kuniuliza maswali mengi hata kama yanajirudia. Kimsingi, nipo hapa kupata suluhisho la tatizo lililonisibu muda mrefu sana. Kila maelezo utakayohitaji kwangu utayapata kadri ninavyofahamu. Sasa ningependa kujibu maswali yako kama ifuatavyo:-

Muda mrefu umepita tangu nilipoharisha kwa maana halisi ya kuharisha. Mara kwa mara nimekuwa nikipata choo cha kawaida yaani siyo kigumu wala laini sana. Ni mara chache sana napata choo kigumu kiasi cha kuumia.

Kuna wakati nilifanyiwa culture na walibaini typhoid na aina ya dawa ambayo ingefaa. Nilipata tiba na ilinisaidia. Baada ya wiki kama moja hivi niliendelea kujisikia vibaya. Nilipopima niliambiwa nina amoeba.

Umri wangu ni miaka 45.

Afya yangu kwa ujumla kimwonekano ni nzuri. Kwa kuniona, ni vigumu kubaini kama ndiye mwenye hayo matatizo. Nina haiba nzuri tu labda ni kwa sababu nakula chakula kama kawaida ingawa nateseka na maumivu ya tumbo. Kumbuka pia, nimepima mara kadhaa vidonda vya tumbo na kuambiwa sina kabisa.

Kuhusu kuona minyoo, kwa kweli sijawahi kuona. Choo ninachotumia siyo cha shimo. Hivyo, nimekuwa nikikiona choo mara kwa mara na mara zote sijawahi kuona minyoo.

Kuhusu colonoscopy ningependa kujua undani wa kipimo hicho na ni wapi kinapoweza kufanyika nifanye.

Otherwise, nikushukuru kwa kutenga muda wako wa kufuatilia tatizo langu.

mkuu, colonoscopy inapatikana pale hindu mandal dsm lakini sikushauri kwa sababu nami nina tatizo kama lako na nimeshawahi kufanya colonoscopy haijaonyesha kitu...kipimo pekee cha kujua tatizo lako ni choo tu. Na ni vyema kila mwezi au kila baada ya wiki mbili upime choo chako maabara.
 
Mkuu Munyangaa, nashukuru kwa ushauri wako ingawa naona kama una mwelekeo wa kutatua matokeo ya tatizo la msingi. Nadhani ni vizuri nijielekeze katika kutatua kiini cha tatizo yaani kisababishi cha gas nyingi tumboni. Bila shaka, ushauri ninaopewa wadau wengine unaweza kupelekea kupata ufumbuzi wa tatizo langu la msingi. Hata hivyo, ili gas isiniumize kwa sababu tayari ipo, nitatekeleza ushauri wako.

nadhani nilikutumia post mbili, ya kwanza nimekushauri kuhusu tatizo la msingi ambalo ni amoeba na ya pili ndio hii ya kuhusu kuondoa gesi....asali na maziwa ukinywa haikupunguzii kitu chochote mwilini zaidi ya kuwa chakula na dawa kwa wakati mmoja
 
haya maradhi hayaonekani kama ni tishio lakini kiuhalisia yanatumaliza mno.
 
hawa madaktari wa tanzania ni incapable sana, wanapima magonjwa na kujua tatizo lakini wanakosa tiba sahihi ya kumpa mgonjwa
 
Ndugu Pole sana maana hata nimeshindwa nikushauri nini maana madawa umetumia mengi na kuendelea kuyatumia unazidi kuusumisha mwili na solution hajapatikana. kiukweli mimi vitunguu shaumu vilinisaidia ndio maana mpaka leo ni rafiki wa nyumba yangu yaani hakosekani kwenye matumizi mbalimbali ya mapishi. ila ninachohisi unatakiwa kwanza uujengee mwili wako kinga yaani kula matunda na vitamins mbalimbali.

Naona hapo juu kweli wamekushauri mengi sasa ni bora uanze na kimoja usichange kila kitu usijetengeneza sumu bure.

Halafu kwa wewe kama ndio imeshakuwa sugu usiende pupa. Nenda taratibu. Maana waweza fanya yote lakini still mswaki unapiga na maji yasichemshwa.

Nakuombea upone:
 
Madaktari wetu tanzania hawako seriuos na afya za wagonjwa mana unaenda kupima tatizo linaonekana lakini hupati dawa kukutibu upone
 
Tiba sahihi ya kutibu amoeba ni hii.

tumia kwa pamoja dawa hizi

1.dawa ya minyoo ie zentel au vumtrex
2.Antibiotic = DOXCYCILLIN
3.FLAGYL
4.ARITHROMYCIN
5.PANADOL
6.VITAMIN B
7.YOMESAN...........HAIPATIKANI ILA DUKA MOJA TU HAPA MJINI LA WAHINDI LINAITWA SHAMSUDIN PHARMACY LIPO POSTA ULIZA KUANZIA JMO, INGIA KATI APO MTAA WA SAMORA/UPANGA KARIBU NA MSIKITI MMOJA WA WAHINDI (muslim hindus)

kwann utumie hizi dawa kwa pamoja??????

1.Amoeba anaishi ndani ya minyoo so unatibu mzizi wa tatizo sio matokeo ie carrier. au unaua mama.

2.Yomesan inatibu hookworm kwa kuua kichwa chake badala ya kiwiliwili.kumbuka huwa wanakatika kichwa kinabaki na kuji form upya.
3.flagyl na erithromizin ndio tiba sahihi ya amoeba mwenyewe
4.antibiotic ni kwa ajili ya combination/ various bacterias/minyoo/askaris etc incl magonjwa ya zinaa au nyemelezi
5.vitamin b kukuletea hamu ya chakula.
 
Back
Top Bottom