Kwanini sishiki mimba?

Kwanini sishiki mimba?

Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.

Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.

Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Gongwa mfululizo, acha siku za hedhi tu..!!
 
Kam
Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.

Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.

Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Nenda hospitali muone daktari mtaalam wa uzazi, kuna vipimo utafanyiwa wewe na unaetaka akutie mimba.
Wanaume Wengi siku hizi mdebwedo.
 
achana na habari za tarehe muwe mnafanya randomly bila kufuata calendar... lakini kingine kapimeni afya zenu si ajabu kuna tatizo...

mimi sijui nina balaa gani mwanamke nikiweka tu sperm zangu zikagusa hata bahati mbaya hapo nje ya uke lazima kitunge... sijui kwasababu sina kitu hivyo Mungu ameamua kunipa zawadi ya watoto 🤣🤣🤣

na watoto wangu wote nimefanana nao...!​
Wadada wa kazi. Akiguswa tu anayo.
 
Mwambie Mzee apige sana korosho,karanga,tende,maji kwa wingi halafu akae siku 7 bila kudo ndio aje kufanya mambo siku ya hatari iwe kuanzia siku ya 11......Mkishafanya yenu siyo fasta tu umeenda kunawa tulia kwanza hata dakika 20.
 
Kam

Nenda hospitali muone daktari mtaalam wa uzazi, kuna vipimo utafanyiwa wewe na unaetaka akutie mimba.
Wanaume Wengi siku hizi mdebwedo.
Si keshazaa nae mtoto wa 1? Hapo ni suala la timing tu nadhani.
 
Kushika mimba sio jambo rahisi kama watu wanavyolichulia! Ukiona imeingia, mshukuru Mungu na ingia hatua nyingine ya kuilinda isichoropoke! Nakushauri nenda hospital ukaonane na madakitari bingwa wa akina mama!
mmmmmhhh sasa mbona wanafunzi ni chap tu kwa haraka hata kama ni dakika2......mm namshauri cold water avae sketi ya shule mara kwa mara ajiweke kidenti...na ikiwezekana ahudhurie tuition kama mwanafunz ili akija jamaa akiweka tu imo maana kwa wanafunz mimba huwa haikatai hata sk1🙄🙄
 
Si keshazaa nae mtoto wa 1? Hapo ni suala la timing tu nadhani.
Si keshazaa nae mtoto wa 1? Hapo ni suala la timing tu nadhani.
Hakuna cha timing wala nini.

Waende gospitali tu. Usikute anaogoI a hospitali pengine hata huyo mmoja siyo wa mwanamme anaetaka kuzaa nae sasa, alimbambikia tu.
 
Back
Top Bottom