Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanitamanishaje hapa na nivokumisss sasaa aaawwwwwww!!
Gongwa mfululizo, acha siku za hedhi tu..!!Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.
Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.
Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Ukionana naye nawe fanya kila sikuUnanitamanishaje hapa na nivokumisss sasaa aaawwwwwww!!
Ikifika muda wa mawifi kusema anajaza choo atakufa..!!Sasa jamani mwezi mmoja tu unapagawa. Ingekuwa umeanza kujaribu hata miezi sita minimum ndio ujifikirie kuuliza swali
Ikipita miaka miwili unajaribugi tu ndio hapo sasa ungeanzisha uzi
Miss you more...Unanitamanishaje hapa na nivokumisss sasaa aaawwwwwww!!
Nenda hospitali muone daktari mtaalam wa uzazi, kuna vipimo utafanyiwa wewe na unaetaka akutie mimba.Siku zangu za kupata hedhi kila mwezi,ni kila tarehe mbili imebadilika sana hedhi yangu, naweza nikapata tarehe moja na huwa naenda siku tano tu.
Sasa basi, mwezi ulopita,yaani mwezi wa tatu, nilipata hedhi yangu tarehe 2 kama kawaida nikakutana na mume wangu tarehe 13 na 14 ya mwezi wa tatu, alikuwa ana safari ivyo tulikuwa pamoja siku hizo mbili tu, by then nilitegemea nitashika ujauzito lakini zilivyopita siku 14 kila nikipima kipimo kinasoma negative,na sio Mara moja tu kila tukikutana tuna sex kwenye tarehe kama hizi kutokana na hefhi yangu.
Tuna sex Tarehe 12, 13, 14, 15... Lakini sishiki mimba. Nina mtoto mmoja nahitaji niongeze wa pili.
Yaani bado unazidi tu kumtamanisha mtoto wa watu..!!Miss you more...
Wasichagua siku, kila siku iwe ni siku ya kufanya...
Wadada wa kazi. Akiguswa tu anayo.achana na habari za tarehe muwe mnafanya randomly bila kufuata calendar... lakini kingine kapimeni afya zenu si ajabu kuna tatizo...
mimi sijui nina balaa gani mwanamke nikiweka tu sperm zangu zikagusa hata bahati mbaya hapo nje ya uke lazima kitunge... sijui kwasababu sina kitu hivyo Mungu ameamua kunipa zawadi ya watoto 🤣🤣🤣
na watoto wangu wote nimefanana nao...!
Ndo hapo panaposhangaza..!! Yaani wale mayai njenje wallah..!! Gusa unaseWadada wa kazi. Akiguswa tu anayo.
Si keshazaa nae mtoto wa 1? Hapo ni suala la timing tu nadhani.Kam
Nenda hospitali muone daktari mtaalam wa uzazi, kuna vipimo utafanyiwa wewe na unaetaka akutie mimba.
Wanaume Wengi siku hizi mdebwedo.
mmmmmhhh sasa mbona wanafunzi ni chap tu kwa haraka hata kama ni dakika2......mm namshauri cold water avae sketi ya shule mara kwa mara ajiweke kidenti...na ikiwezekana ahudhurie tuition kama mwanafunz ili akija jamaa akiweka tu imo maana kwa wanafunz mimba huwa haikatai hata sk1🙄🙄Kushika mimba sio jambo rahisi kama watu wanavyolichulia! Ukiona imeingia, mshukuru Mungu na ingia hatua nyingine ya kuilinda isichoropoke! Nakushauri nenda hospital ukaonane na madakitari bingwa wa akina mama!
Si keshazaa nae mtoto wa 1? Hapo ni suala la timing tu nadhani.
Hakuna cha timing wala nini.Si keshazaa nae mtoto wa 1? Hapo ni suala la timing tu nadhani.
Huyo mume wa mleta mada akimshika mfanyakazi hata mkono mimba inashika.Ndo hapo panaposhangaza..!! Yaani wle mayai njenje wallah..!! Gusa unase