Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo nature ila ni tamaa tu ya mwanaume mmojammoja bro.....hiyo nature mnajipa tu promoWanaume tukicheat sababu nature inaturuhusu i.e (we are polygamous by nature).
VizuriUnataka kubisha nn.
Refer vitabu vya dini (bible enzi hizo) au historia ya ma babu zetu mbona ipo wazi walikuwa na wake wengi kwenye ndoa za kimila na wote walipatiwa huduma vizuri kwa ratiba.
Hamna promo hapo mwanaume anaweza kupenda hata wanawake 16 kwa mpigo na akawahudumia wote equally kwa upendo.
Nyie wanawake hamuwezi hilo na ukiona mwanamke ana wanaume wengi huyo ni malaya tu anawapanga ili awachune na hana mapenzi ya kweli.
Siyo nature ila ni tamaa tu ya mwanaume mmojammoja bro.....hiyo nature mnajipa tu promo
Sawa1. Mwanamme anaweza tia mimba na kuzaa watoto zaidi ya 100 kwa mwaka mmoja. Je wewe unaweza zaa zaidi ya mara 1 kwa mwaka?
2. Bao moja lina mbegu zaini ya millioni 1. wewe unapata yai moja kwa kila mwezi na yai moja likirutubishwa hupati tena lingine mpaka uzae.
Nyie feminist tukiwaambia sisi by nature ni wa wengi muwe mnaelewa.