mnajidhalilisha. hivi unafikiri mwanaume gani utampa 0713 halafu akuoe?. sio wote wanene ambao hawaolewi, wanao jielewa wameolewa. mabonge wengi wavivu. unakuta ananawa miguu, mikono na uso kisha anaondoka bila hata kuoga sana sana atajipulizia manukato. acheni kujirahisisha. mabonge nmapenda kula ovyo ovyo, mahindi,karanga,papai, twist, parachichi, soda nk tena barabarani huku akitembea. mtu bonge nyama zimebebana kiasi kwamba akioga inabidi awe anainua nyama za tumbo na kusugua vingenevyo atanuka. mia